Vpi kuhusu sarpongSIJAWAHI KUONA JITU TAHIRAA KIASI HIKI.
PATRIC MAFISANGO ALIWANYUKA 5-0.
HARUNA NYONZIMA.
MBUYU TWITE
HAWA WOYE WAMECHEZA RWANDA INAMAANA WALIKUWA WABOVU?????
Mashabiki WA Yanga wenye akili ni wawili tu.
WEWE NI JUHAA....
yeahTutarud mkuu
Baleke yupo bado mzeeIla katika suala walilonisikitisha Simba SC ni kutomsajili huyu Mwamba Jean Baleke. Imekuwaje wameshindwa kumsajili wakati kulikuwa na clause ya kumnunua kati yao na TP Mazembe, na sasa nimeona kwenye mitandao ameenda kuibukia Raja Casablanca. Dah nimesikitika sana. Jamaa alikuwa anajua, hasa nikikumbuka mechi ya mkondo wa pili ya mwaka 2022/23 alivyowasumbua mabeki wa Yanga. Vilevile, alivyoiwezesha Simba SC kuwa bora kwa kipindi kifupi.
Patric Mutesa Mafisango ,Haruna Hakizimana Niyonzima watu Hawa walitoka wapi?ππππ ππΏπππ ππΌππ πΌππΌππ πππππΌ πππ πππππ.
Yaan hiyo Ligi ya Rwanda akicheza MZIZE anachukua tuzo zote. Ukiona Umbo la Onana na Sarpong unaogopa ila kazi zao sasa alafu wote huwa wanatokea RAYON SPORT[emoji2296].
Yaani kwa Rwanda angalau mchezaji atoke APR kama Niyonzima na Twite lakin Rayon ambayo kila mwaka imejitahidi ni Nafasi ya pili ni bomu tu.
Yale Yale ya kina sawa kubwa
NIMEKAA PALEEEEEEEE
Hatakuwa wa kwanza endapo ikitokea hivyo. Iliisha tokea kwa Sarpong, Shevchenko, Mateja Kezman, hata akina Torres from Liverpool to Chelsea na juzi kabisa Eden Hazard. Kuhama na kiwango kushuka regardless league aliyotekea.ππππ ππΏπππ ππΌππ πΌππΌππ πππππΌ πππ πππππ.
Yaan hiyo Ligi ya Rwanda akicheza MZIZE anachukua tuzo zote. Ukiona Umbo la Onana na Sarpong unaogopa ila kazi zao sasa alafu wote huwa wanatokea RAYON SPORT[emoji2296].
Yaani kwa Rwanda angalau mchezaji atoke APR kama Niyonzima na Twite lakin Rayon ambayo kila mwaka imejitahidi ni Nafasi ya pili ni bomu tu.
Yale Yale ya kina sawa kubwa
NIMEKAA PALEEEEEEEE
Muda utaongeaHakuna kitu rahisi kama kujibu hoja za wanayanga, Wana tabia ya kuuliza kitu huku majibu wanayo. Wanadai ;ligi nyepesi hapahapo wanajitetea kumsajili Nyonzima aliyetokea ligi ileile ndio maana Kila kesi inayoenda CAS na FIFA wanashindwa.
Yaaah mkuu ...umeongea vyema sanaHatakuwa wa kwanza endapo ikitokea hivyo. Iliisha tokea kwa Sarpong, Shevchenko, Mateja Kezman, hata akina Torres from Liverpool to Chelsea na juzi kabisa Eden Hazard. Kuhama na kiwango kushuka regardless league aliyotekea.
But wapo waliotoka league ndogo na kukiwasha league kubwa vizuri sana. Mfano Leandro Trossard, Miquissone mwenyewe alitoka kwao league ndogo akaja kukiwasha hapa.
Itategemeana na
1. Mfumo
2. Afya
3. Psychology
4. Starehe nk
Vpi kuhusu sarpong
Yule wa nyu kesto yuko wapi?ππππ ππΏπππ ππΌππ πΌππΌππ πππππΌ πππ πππππ.
Yaan hiyo Ligi ya Rwanda akicheza MZIZE anachukua tuzo zote. Ukiona Umbo la Onana na Sarpong unaogopa ila kazi zao sasa alafu wote huwa wanatokea RAYON SPORT[emoji2296].
Yaani kwa Rwanda angalau mchezaji atoke APR kama Niyonzima na Twite lakin Rayon ambayo kila mwaka imejitahidi ni Nafasi ya pili ni bomu tu.
Yale Yale ya kina sawa kubwa
NIMEKAA PALEEEEEEEE