Uchambuzi: Kwanini Simba kwa Onana wamepigwa

Uchambuzi: Kwanini Simba kwa Onana wamepigwa

SIJAWAHI KUONA JITU TAHIRAA KIASI HIKI.

PATRIC MAFISANGO ALIWANYUKA 5-0.

HARUNA NYONZIMA.

MBUYU TWITE

HAWA WOYE WAMECHEZA RWANDA INAMAANA WALIKUWA WABOVU?????

Mashabiki WA Yanga wenye akili ni wawili tu.

WEWE NI JUHAA....
Vpi kuhusu sarpong
 
Ila katika suala walilonisikitisha Simba SC ni kutomsajili huyu Mwamba Jean Baleke. Imekuwaje wameshindwa kumsajili wakati kulikuwa na clause ya kumnunua kati yao na TP Mazembe, na sasa nimeona kwenye mitandao ameenda kuibukia Raja Casablanca. Dah nimesikitika sana. Jamaa alikuwa anajua, hasa nikikumbuka mechi ya mkondo wa pili ya mwaka 2022/23 alivyowasumbua mabeki wa Yanga. Vilevile, alivyoiwezesha Simba SC kuwa bora kwa kipindi kifupi.
Baleke yupo bado mzee
 
𝙇𝙄𝙂𝙄 𝙉𝘿𝙊𝙂𝙊 𝙃𝘼𝙄𝙅𝘼𝙒𝘼𝙃𝙄 𝙆𝙐𝙏𝙊𝘼 𝙈𝙏𝙐 𝙈𝙕𝙐𝙍𝙄.

Yaan hiyo Ligi ya Rwanda akicheza MZIZE anachukua tuzo zote. Ukiona Umbo la Onana na Sarpong unaogopa ila kazi zao sasa alafu wote huwa wanatokea RAYON SPORT[emoji2296].

Yaani kwa Rwanda angalau mchezaji atoke APR kama Niyonzima na Twite lakin Rayon ambayo kila mwaka imejitahidi ni Nafasi ya pili ni bomu tu.

Yale Yale ya kina sawa kubwa

NIMEKAA PALEEEEEEEE
Patric Mutesa Mafisango ,Haruna Hakizimana Niyonzima watu Hawa walitoka wapi?
 
Hakuna kitu rahisi kama kujibu hoja za wanayanga, Wana tabia ya kuuliza kitu huku majibu wanayo. Wanadai ;ligi nyepesi hapahapo wanajitetea kumsajili Nyonzima aliyetokea ligi ileile ndio maana Kila kesi inayoenda CAS na FIFA wanashindwa.
 
𝙇𝙄𝙂𝙄 𝙉𝘿𝙊𝙂𝙊 𝙃𝘼𝙄𝙅𝘼𝙒𝘼𝙃𝙄 𝙆𝙐𝙏𝙊𝘼 𝙈𝙏𝙐 𝙈𝙕𝙐𝙍𝙄.

Yaan hiyo Ligi ya Rwanda akicheza MZIZE anachukua tuzo zote. Ukiona Umbo la Onana na Sarpong unaogopa ila kazi zao sasa alafu wote huwa wanatokea RAYON SPORT[emoji2296].

Yaani kwa Rwanda angalau mchezaji atoke APR kama Niyonzima na Twite lakin Rayon ambayo kila mwaka imejitahidi ni Nafasi ya pili ni bomu tu.

Yale Yale ya kina sawa kubwa

NIMEKAA PALEEEEEEEE
Hatakuwa wa kwanza endapo ikitokea hivyo. Iliisha tokea kwa Sarpong, Shevchenko, Mateja Kezman, hata akina Torres from Liverpool to Chelsea na juzi kabisa Eden Hazard. Kuhama na kiwango kushuka regardless league aliyotekea.

But wapo waliotoka league ndogo na kukiwasha league kubwa vizuri sana. Mfano Leandro Trossard, Miquissone mwenyewe alitoka kwao league ndogo akaja kukiwasha hapa.
Itategemeana na
1. Mfumo
2. Afya
3. Psychology
4. Starehe nk
 
Hakuna kitu rahisi kama kujibu hoja za wanayanga, Wana tabia ya kuuliza kitu huku majibu wanayo. Wanadai ;ligi nyepesi hapahapo wanajitetea kumsajili Nyonzima aliyetokea ligi ileile ndio maana Kila kesi inayoenda CAS na FIFA wanashindwa.
Muda utaongea
 
Hatakuwa wa kwanza endapo ikitokea hivyo. Iliisha tokea kwa Sarpong, Shevchenko, Mateja Kezman, hata akina Torres from Liverpool to Chelsea na juzi kabisa Eden Hazard. Kuhama na kiwango kushuka regardless league aliyotekea.

But wapo waliotoka league ndogo na kukiwasha league kubwa vizuri sana. Mfano Leandro Trossard, Miquissone mwenyewe alitoka kwao league ndogo akaja kukiwasha hapa.
Itategemeana na
1. Mfumo
2. Afya
3. Psychology
4. Starehe nk
Yaaah mkuu ...umeongea vyema sana
 
Jamaa UNABOA sana.

Natamani niku ignore nisiwe nasoma content zako.

Una Akili ya Ajabu mno, Nakuona una UPUMBAVU ule WA Jimy KINDOKI.

JiSAHIHISHE MZEE.
 
𝙇𝙄𝙂𝙄 𝙉𝘿𝙊𝙂𝙊 𝙃𝘼𝙄𝙅𝘼𝙒𝘼𝙃𝙄 𝙆𝙐𝙏𝙊𝘼 𝙈𝙏𝙐 𝙈𝙕𝙐𝙍𝙄.

Yaan hiyo Ligi ya Rwanda akicheza MZIZE anachukua tuzo zote. Ukiona Umbo la Onana na Sarpong unaogopa ila kazi zao sasa alafu wote huwa wanatokea RAYON SPORT[emoji2296].

Yaani kwa Rwanda angalau mchezaji atoke APR kama Niyonzima na Twite lakin Rayon ambayo kila mwaka imejitahidi ni Nafasi ya pili ni bomu tu.

Yale Yale ya kina sawa kubwa

NIMEKAA PALEEEEEEEE
Yule wa nyu kesto yuko wapi?
 
Jamaa UNABOA sana.

Natamani niku ignore nisiwe nasoma content zako.

Una Akili ya Ajabu mno, Nakuona una UPUMBAVU ule WA Jimy KINDOKI.

JiSAHIHISHE MZEE.
Ignore tu mkuu[emoji23][emoji23]
 
358175516_285157660704528_7464129951346038097_n.jpg
 
Back
Top Bottom