Uchambuzi: Mambo ya msingi kabisa ya kuyatambua kuhusu mgogoro wa wapiganaji wa M23 na Congo DRC na mapendekezo ya nini kifanyike

hii vita unaitizama kwa upande sio sahihi , majeshi yana mipaka ya silaha za kutumia huko DRC ila wale waasi hawana mipaka , kama Hamas wanalipua makaz ya watu ila IDF wakifanya hivyo kelele nyingi
 
kiulalo ulalo hahahaaa htr sna
 
Hapa jambo la msingi tuwamulike watusi popote walipo na tuishi nao Kwa tahadhari ili filimbi ikipulizwa kila mtu ajue anafyeka watusi wa karibu yake vinginevyo amani ya EA itatoweka.

Nawasilisha
hahahaaaa
 
We mpumbavu tutolee ujinga wako!


Mnaanza kujisemesha kigoma na kagera zilikuwa chini ya watusi au sio ?


Jaribuni huo ujinga wenu kuuleta Tanzania hakuna rangi mtaacha kuiona
Kagera ni mkoa wa Tanzania toka kabila la wahaya na Kigoma ni mkoa wa-Tanzania toka kabila la waha. Hao ndugu zake hawana kwao Tanzania na hawatambuliki kwa lolote zaidi ya hadhi ya ukimbizi na sifa ya usaliti.
 
hii vita unaitizama kwa upande sio sahihi , majeshi yana mipaka ya silaha za kutumia huko DRC ila wale waasi hawana mipaka , kama Hamas wanalipua makaz ya watu ila IDF wakifanya hivyo kelele nyingi
Unataka kusema nini?
Hakuna muasi hapo hao ni askari wa jeshi la Rwanda, M23 ni kichaka cha jeshi la Rwanda ndani ya DRC. Wakipigwa wanakimbilia Rwanda, vita ikitulia wanajipanga upya kutoka Rwanda. Kiini cha hii vita ni utawala wa Rwanda. Hii ngoma inatakiwa ipigwe mpaka Kigali.
 
Matatizo ya Drc ni 'imported' kutoka nchi jirani yake.
 
Zaidi ya matusi watz hakuna tunachojua ndio mana ccm inatuburuza itakavyo
 
Hii vita Ina historia ndefu sana wenye ndugu waliokwisha kwenda huko congo na kuludi ndo akikupa story unaelewa nn kinaendelea na hadi sasa hapa Tanzania Kuna maeneo kuanzia biharamulo, ngara hadi kigoma usalama unazidi kuimalishwa huko misituni wanapelekwa watu kuimalisha Hali ya mambo
 
Uchambuzi wako ni wakimamruki nadhani unaweza kua umetumwa!! yaan unatumia western media kufanya analysis wakat UN na Taasisi za kimataifa ndio kiiini cha mzozo?? (None sense)
Unajua m23 au banyarwanda kwa kivi ni asilimia ngap??? hata asilimia 10% hawafiki ni sawa na tanzania masai waanze kudai Tz yote nzima ni yao afu uunge mkono wakat n chini ya asilimia 2% ya watu

Lakin pia umesahau m23 yalikua n makubaliano ya rwanda na Laurent kabila kua kuwaingiza jeshini ili waweze kucontrol DRC nzima kama ilivo rwanda na Uganda

Kifupi unaongea kitu usichokijua!! mzizi wa mgogoro ni superiority perception
 
Hapa jambo la msingi tuwamulike watusi popote walipo na tuishi nao Kwa tahadhari ili filimbi ikipulizwa kila mtu ajue anafyeka watusi wa karibu yake vinginevyo amani ya EA itatoweka.

Nawasilisha
Watutsi watauliwa Rwanda na Burundi tena kabla ya Bongo
 

Suala hili la Mgogoro huko Congo DR (Zaire) kwa upande huo wa Mashariki mwa nchi liko Very Complex, kuna 'Aggregates of Factors' ambazo zimesababisha Mgogoro huo kuwa mkubwa hivyo, wa kudumu na mgumu kutatulika. Sababu zipo nyingi sana, zipo sababu ambazo ni internal factors na sababu zingine ambazo ni external factors.
Aidha, Mgogoro huo ulianza tangu zamani Sana, mwanzoni kabisa mwa miaka ya 1960 baada ya Mkoloni wao Ubelgiji kuondoka madarakani nchini humo. Mgogoro huo ni wa kihistoria, haukuanzia na hao Waasi wa M23. M23 ni mwendelezo tu wa huo Mgogoro.
 
Suala ni kweli lipo complex sana.

Wengi hawafahamu pia kwamba FDLR ni zao la wanajeshi wa zamani wa Banyamulenge, SADC, Burundi, wanamgambo wa vikosi vya jeshi la Congo DRC pamoja na vikosi vya wanajeshi za zamani yaani mamluki kutoka nchi za Ulaya.

Hizi ni taarifa za kijasusi kabisa ambazo zipo na zajulikana.

Juzi Jenerali Pasifuque Ntawunguka aliuawa na yeye alikuwa ni kamanda wa sehemu ya jeshi la FDLR ambalo latumia jina la FOCA. Huyu jamaa alitumia majina mengi ya bandia kama Omega au Israeli lakini alitafutwa na amepotezwa na majasusi wa M23.

Ukiuliza mambo aliafanya Ntawanguka kwenye miaka ya 90s utaambiwa na jamaa ana chuki kubwa dhidi ya watutsi.

Bila shaka ndo maana kazi ya kumsaka ilikuwa ni nzito lakini imekamilika.
 
Hii kitu solution yake ni ngumu sana...annexation..na ndio itafanya iishe lakini wataridhika?.. mpaka sasa sababu ni kuwalinda minority na kulinda mali zinazoibiwa
 
Kuna mambo kadhaa kwa mwandishi wa Uzi huu.
1. Aidha yuko upande wa M23 na washirika wake kwahiyo lengo ni kutafutwa uungwaji mkonokupitia propaganda hizi . Akikiri kuwa M23 wanafadhiliwa na Uganda na wana asili ya Rwanda na kupata ufadhili lkn anataka qaingizwe ndani ya jeshi au kisiasa ndani ya DRC hii ni kusema Congo kisiasa na kijeshi iwe imefungama na Rwanda na Uganda. Fucken' ideal

2. Lakini anaweza kuwa hajui kitu juu ya mgogoro huu kuwa ni UN sponsored na kuwa kuna makundi mengi mno ambayo lengo ni ku disstablize DRC na kufanya wizi wa madini muhimu. Tena hajui kuwa silaha zamakundi mengi , intels zaote huwa zinatolewa nna mashirika ya kijasusi ya kimataifa.
Hajui kuwa nchi alizotaja kama qafadhili au hifadhi ya M23 iliposambaratika ni mawakala wa naotumiwa kunyonya Congo na qao wakifaidika kwa asilimia nyingi na wizi qa madini ni Qaafrika ambao ni pippet wa mataifa ya kinyonyaji..

Hajui tu kuwa viongozi wengi wa Congo huwekwa kwa madhumuni na hivyo hawana mkakati wa kulitengeneza jeshi, ndio maana unawaona wako na boot za tope, hawana ujuzi hawana siraha na mafunzo, haqana tija za kimapato na hivyo hakuna Jeshi lenye weledi.
Unaweza kudhani tu hakuna nchi yoyote hata ya Kiafrika yenye lengo la kuwasaidia Congolese kila anayeenda anatafuta mkate wake. Pia hii rule of engagement ambayo inafanya majeshi yaliko huko chini ya mwamvuliwa UN kama walinda amani ni toothless dogs kwa sababu kama wangeenda kufuta vikundi vyote vya uasi wangekuwa qanavitafuta na kyshambulia, lkn sasa wao wanakaa kuzuia waasi wasije kwa raia wasishambulie labda ikibidi ..
Intels nyingi zinajua nini kinafanyika Congo na Taarifa zilizokusanywa na kuwa analysed zinaonesha Congo ni eneo limetengwa kama shamba la bibi.
Poor African with poor Leadership
Poor Africa citizens whom can be bought for betrayal
We are doomed
Pathetic
 
Tumekua Kila siku tukidanganywa hiki kikosi ni Cha waasi kumbe bhana ni wapigania haki ya ardhi Yao mungu awabariki

Hawa wanajeshi wa m23 haki imeshinda Hawa ni mashujaa wa congo ambao wanawahangaisha wanyonyaji
 
Tumekua Kila siku tukidanganywa hiki kikosi ni Cha waasi kumbe bhana ni wapigania haki ya ardhi Yao mungu awabariki Hawa wanajeshi wa m23 haki imeshinda Hawa ni mashujaa wa congo
Mko wengi..... nyuzi zinatrend balaaaa ila tz ni baba hivyo mtoto anatakiwa amheshimu baba mda wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…