Uchaguzi 2020 Uchambuzi: Tundu Lissu anaweza kumshinda Dkt. Magufuli na Maalim Seif anaweza kuibuka kidedea Zanzibar

Uchaguzi 2020 Uchambuzi: Tundu Lissu anaweza kumshinda Dkt. Magufuli na Maalim Seif anaweza kuibuka kidedea Zanzibar

Wasalaaam wanabodi,

Kampeni za uchaguzi mkuu zinaelekea ukingoni siku mbili zijazo nchi nzima. Tumeona Kila mgombea akijinadi kwa style yake na upekee kulingana na malengo na mikakati thabiti waliyojiwekea.
Chama tawala CCM walianza kwa kishindo kikubwa pale dodoma na kuonesha ukubwa wa idadi ya wafuasi wake walijipanga kutetea kiti Chao. Kadiri siku zilivyozidi kwenda utamu wa kampeni za chama tawala ulinoga kupita zilizotangulia.

Msingi wao mkubwa ulikuwa nyomi la watu na uwezo wa kufika vijijini zaidi. Tofauti na miaka yote mgombea wao amefika MAENEO mengi ya mijini zaidi kuliko vijijini ukilinganisha na 2015. Ukifanya SWOT Analysis utayaona haya:

Strength:
CCM huwezi kuitenganisha na Sola na pia huwezi kuitenganisha na serikali , na hapo ndipo utagundua kwa Nini NEC Ni watiifu Sana kwa CCM.

WEAKNESS
Kundi kubwa Lina wageni ambao sio wajuvi wa siasa za majukwaa na uwezo wa kubashiri yajayo kwa uyakinifu. Hii imewagharimu Sana kiasi hawajui kuwa mbaya wao Ni Seif sharrif Hamad au Tundu Lissu au ubovu wa kumsimamisha Mwinyi.
Si hivyo tu pia kushindwa kujua kuwa Kuivuruga CUF,CHADEMA na kununua wabunge wa upinzani ingelikuwa njia nyepesu ya wao kushinda Bila kupingwa au kushinda kwa kishindo kikubwa. Mpaka Sasa timu ya kampeni ya CCM imeshinda kuondoa udhaifu huu na unawagharimu kwenye field sababu kubwa walisahau kuwa upinzani Ni mioyo na hisia za watu na sio vyama. Hivyo mziki wa upinzani bado unagonga spika zao kwa Kasi Sana.

NGUVU YA UMMA
Inaonekana wazi LISSU na SEIF hawatanii hata kidogo jinsi walivyojipanga kutumia nguvu ya Umma. Kwa mwenye macho mapana .Umma haujawahi kushinda DHIDI ya watawala na Kama kweli basi hiki kitisho kikubwa Sana kwa CCM.


OPPORTUNITY
Fursa kubwa na ya pekee Ni kutumia Dola .

Pili mtaji wa fedha na rasilimali watu

TECHNICALLY
Hapa namaanisha MBINU za kiufundi za kushinda uchaguzi siku ya uchaguzi.
MBINU ya kwanza NEC,hii imewapa wabunge zaidi ya 20

NEC na CCM ni watu wamoja wanaongea lugha Moja pia wanaweza kwa hiyari tu Kuivuruga ngome ya wapinzani na matokeo Yao kwa sababu hawana pa kushtakiwa popote kwa kuwa wao wanatoa tamko la mwisho.(namaanisha wakurugenzi) na dalili zishaonekana tayari.

CHADEMA NA ACT

Wote kwa pamoja na wajadili Bila kuwatenganisha ili nihitimishe vizuri. Ni ukweli usiopingika kuwa Zambarau wameiteka Zanzibar na CDM wameiteka Tanganyika.
Ubora wa viongozi wao wakuu wawili MBOWE & SEIF SHARRIF HAMAD umejidhihirisha wazi kwenye uchaguzi huu kwa kuruka mamii ya vihunzi na kuilaghai serikali mchana kweupeeee.
Hebu nikurudishe nyuma kidogo, siku Maalim Seif alipokwenda ikulu kumsalimia Rais huku MBOWE akipambana kesi ya Akwilina. Kila mtu alijua Maalim ameunga juhudi mkono na shughuli anayo mwamba. Sasa ndio nang'amua kwamba kumbe Ile Ni MBINU ya kimedani ya kuwalaghai watawala waamini upo pamoja nao. Ile ndio siku ya USHINDI wa SEIF Kama ikitokea atashinda Zanzibar kesho kutwa.

Hisia zinaniambia kwamba mwamba na mwalimu waliwaingiza Chaka CCM na Membe wao huku wakijua wamemficha mfukoni Lissu.
Tuachane na hayo hebu tuwafanyie SWOT na wao wapoje.
STRENGTH

NGUVU YA UMMA
Umma umewaelewa Sana ACT &CHADEMA na ushahidi wa Watanzania kuwachangia pesa wahalifu wasiende jela badala yake walipiwe faini na warudi uraiani Ni ishara Tosha upo tayari kufanya lolote lenye kuwalinda Chadema kwa upande wa bara. Jambo Hili liliwatia kiwewe IKULU na kesho yake Rais aliamua kumlipia msigwa kuonesha Kwamba Rais Ana huruma na wapinzani. Kama watu walichanga dusko dusko namaanisha kiasi Cha 1k -10k kinyume chake hizi buku buku Ni idadi ya wapiga kura wa upinzani. Sasa kazi yako chukua kikokotoo halafu tafuta majibu Ni watu wangapi wanasapoti Chadema. Zenji siongei Kila mtu ameona NGUVU ya Maalim kaondoka na wanachama wake kwenda ACT so like amevimbisha msuli kwa mamlaka.


UWEZO WA KUNUSA HATARI

Tukio la Membe kuachwa kwenye mataa na hajielewi linathibitisha uwezo wa wapinzani KUNUSA HATARI.
Waliujua mtego wa CCM na wao wakatega wa kwao kwenda ikulu na kuleta picha kwamba Seif Ni mshkaji na MBOWE mkorofi kumbe Ni mtego wa Kumlinda LISSU na kunifanya Membe aonekane punguani asiyejua anataka nn.
Membe Ni ujio hatarishi kwa upinzani na Lissu anatafutwa na watesi wake asirudi kwenye siasa. Inaonesha wazi Kuna makubaliano kwamba ACT na CDM wote waingize wagombea ili mmoja akikatwa aungwe mkono mwingine na ndicho kinachoendelea Sasa.

Wanachama 9M according to MBOWE

WEAKNESS

Hawana Dola Wala serikali na hawajahi kushinda uchaguzi ngazi ya Rais

NEC haipo upande wao

UWEZO mdogo wa ulinzi na USALAMA wa viongozi wake, Ni rahisi kumteka au kumkata au kuzuia mkutano wa upinzani.

Ukosefu wa rasilimali fedha

OPPORTUNITY

MPASUKO wa CCM baada ya kura za MAONI. Huu Ni mtaji mkubwa Sana wa upinzani na dalili zimeonekana wazi Kanda ya ziwa na Zanzibar. Maamuzi ya Dodoma huenda yakawafanya CCM kupoteza majimbo 35-50 ya uchaguzi wasipotumia utemi.

KULINDA KURA VITUONI

Wakiwekeza NGUVU imara ya KULINDA KURA CCM hawana Chao. Naamini Lissu anamaanisha na ujumbe umewafikia walengwa. Wameanza kujibu maneno

MAKUNDI MAALUM YALIYOUMIZWA NA SERIKALI

Hapa nawaweka wahanga wote wa utawala wa awamu ya tano. Wafanyakazi hewa,waliobomolewa,waliotoswa walimu, wafanyakazi wa serikali, waliokosa mshahara n.k

Hawa Ni game changers watatoa USHINDI 5%-7% kwa Lissu sababu Wana maumivu Yao.

TECHNICALLY

MAANDAMANO YASIYO KIKOMO

ukifuatilia vizuri utagundua MBINU pekee ya wapinzani kuingia ikulu Ni MAANDAMANO YASIYO na KIKOMO. Hii ndio MBINU ya kiufundi yenye chanya na imewasaidi wapinzani wa nchi jirani kuingia na kushika serikali punde tu baada ya uchaguzi.

Hakuna serikali ya kiafrika imeyashinda MAANDAMANO YASIYO KIKOMO. Kiufundi wapinzani wako vyedi.

MATAMKO NA VITISHO VYA VIKWAZO

tangu wiki iliyopita mataifa makubwa yamekuwa na spidi ya MATAMKO na baru ya into kwa serikali ya Tanzania Ni wazi wapinzani kwenye MBINU hii wako mbali Sana. Yakitokea tusiyoyaomba wanatusua mapema.

Baaada ya mtazamo huo Sasa najikita kueleza kwa Nini Lissu 49% na Magufuli 47%.


Sympathy
Umaarufu wa Magufuli umeporomoka Sana baada ya kura za MAONI. Wakati huohuo umaarufu wa Chadema umekuwa mkubwa kupindukia sababu watu waliaminishwa kuwa upinzani umekufa na kinyume chake umekuwa zaidi kwa sababu ya huruma kuwa wanaonewa.
Kifungo Cha viongozi wa Chadema mwezi Machi kiliibua hisia za huruma kwa wananchi na kuamsha Ari ya huruma kwa wapinzani. Ujio wa Lissu umeikuza sympathy ya Chadema na ACT kwa pamoja na hivi tunavyoongea waliopewa kazi kushughulika na wapinzani wanalala na viatu.Hii itawapa kura sawa na 21%

Waislamu
Hapa Sina lengo la udini Ila hakuna asiyejua michango ya waislamu hapa bongo. Ujio wa sheikh Ponda Ni pigo kwa CCM na faida upinzani.

Sheikh ponda kashawagawa na Hili litawapa wapinzi USHINDI Zanzibar na pwani na mikoa ya kusini ambapo CCM imewakwaza kwa kiasi kikubwa kupitia korosho. Hili litapunguza 45% kwenye kura za waislam zilizotakiwa kwenda ccm

KOROSHO
sekeseke la korosho linaonekana Ni shida kubwa Sana kiasi Cha kuitikisa ngome ya CCM na hii ikikutana na impact ya ponda itawaumiza CCM zaidi na kuwanufaisha wapinzani.


Low turnover
Mwitiko mdogo wa wapiga kura siku ya uchaguzi, Ni pigo kingine kwa CCM na msaada kwa upinzani. Kuna uwezekano turn over ya wapiga kura ikawa watu 9M -11M

Hapa ndio kifo Cha CCM kinaanzia na hiili litawapunguzia 50% kura zote walizotarajia kupata kwenye uchaguzi huu.hii Ni faida kwa upinzani kwa sababu wao wanategemea sababu za hapo juu kupindua meza.

Common interest za Wazanzibar

Ikumbukwe watu wa visiwani wakitaka Lao hawashindwi licha ya utofauti wa vyama. Ni wazi CCM na ACT wote Lao Ni Moja ingawaje kwa nje wanashambuliana Jana kwamba wanapigana Vita ya 3 ya dunia. Seif anakwenda kushinda uchaguzi kwa sababu wazenji wote Wana ongozwa na common interest kuiona CCM Ni kikwazo kwao so best way Ni kumpa seif na sio Mwinyi.

Membe ATAPATA 1.1%
Lipumba & other 0.9%
Kuharibika kura 2%
Tutarajie mchuano mkali na matokeo ndio hayo hapo juu.

Karibuni kwa mjadalaa
Very objective analysis. Thanks.

Kweny uchambuzi wako naongezea Na Sala kumuombea Ushindi Mh Tundu Lissu. Kama moshi wa ubani umfikiavyo Bwana mawinguni kutoka ktk hekali takatifu la Sulemani, Bwana pokea sala zetu.

Tenda miujiza Bwana wa Israel. Tunainua macho na sala zetu mbele yako. Utuondolee udhalimu wote uwatie mikononi mwa Lissu kama ulivyowatia Wafilisti mikononi mwa Daudi.

Tunakuomba Ebwana uliyemwokoa Tundu lissu na mvua ya marisasi kutoka kwa mwovu Ibilisi shetani umuepushe na dhulma. Ukawadhofishe maadui wanaotaka kumwaga damu za watanzania taifa lako.

Tunaomba na kushukuru kwa Sifa na utukufu wa jina lako
 
Wasalaaam wanabodi,

Kampeni za uchaguzi mkuu zinaelekea ukingoni siku mbili zijazo nchi nzima. Tumeona Kila mgombea akijinadi kwa style yake na upekee kulingana na malengo na mikakati thabiti waliyojiwekea.
Chama tawala CCM walianza kwa kishindo kikubwa pale dodoma na kuonesha ukubwa wa idadi ya wafuasi wake walijipanga kutetea kiti Chao. Kadiri siku zilivyozidi kwenda utamu wa kampeni za chama tawala ulinoga kupita zilizotangulia.

Msingi wao mkubwa ulikuwa nyomi la watu na uwezo wa kufika vijijini zaidi. Tofauti na miaka yote mgombea wao amefika MAENEO mengi ya mijini zaidi kuliko vijijini ukilinganisha na 2015. Ukifanya SWOT Analysis utayaona haya:

Strength:
CCM huwezi kuitenganisha na Sola na pia huwezi kuitenganisha na serikali , na hapo ndipo utagundua kwa Nini NEC Ni watiifu Sana kwa CCM.

WEAKNESS
Kundi kubwa Lina wageni ambao sio wajuvi wa siasa za majukwaa na uwezo wa kubashiri yajayo kwa uyakinifu. Hii imewagharimu Sana kiasi hawajui kuwa mbaya wao Ni Seif sharrif Hamad au Tundu Lissu au ubovu wa kumsimamisha Mwinyi.
Si hivyo tu pia kushindwa kujua kuwa Kuivuruga CUF,CHADEMA na kununua wabunge wa upinzani ingelikuwa njia nyepesu ya wao kushinda Bila kupingwa au kushinda kwa kishindo kikubwa. Mpaka Sasa timu ya kampeni ya CCM imeshinda kuondoa udhaifu huu na unawagharimu kwenye field sababu kubwa walisahau kuwa upinzani Ni mioyo na hisia za watu na sio vyama. Hivyo mziki wa upinzani bado unagonga spika zao kwa Kasi Sana.

NGUVU YA UMMA
Inaonekana wazi LISSU na SEIF hawatanii hata kidogo jinsi walivyojipanga kutumia nguvu ya Umma. Kwa mwenye macho mapana .Umma haujawahi kushinda DHIDI ya watawala na Kama kweli basi hiki kitisho kikubwa Sana kwa CCM.


OPPORTUNITY
Fursa kubwa na ya pekee Ni kutumia Dola .

Pili mtaji wa fedha na rasilimali watu

TECHNICALLY
Hapa namaanisha MBINU za kiufundi za kushinda uchaguzi siku ya uchaguzi.
MBINU ya kwanza NEC,hii imewapa wabunge zaidi ya 20

NEC na CCM ni watu wamoja wanaongea lugha Moja pia wanaweza kwa hiyari tu Kuivuruga ngome ya wapinzani na matokeo Yao kwa sababu hawana pa kushtakiwa popote kwa kuwa wao wanatoa tamko la mwisho.(namaanisha wakurugenzi) na dalili zishaonekana tayari.

CHADEMA NA ACT

Wote kwa pamoja na wajadili Bila kuwatenganisha ili nihitimishe vizuri. Ni ukweli usiopingika kuwa Zambarau wameiteka Zanzibar na CDM wameiteka Tanganyika.
Ubora wa viongozi wao wakuu wawili MBOWE & SEIF SHARRIF HAMAD umejidhihirisha wazi kwenye uchaguzi huu kwa kuruka mamii ya vihunzi na kuilaghai serikali mchana kweupeeee.
Hebu nikurudishe nyuma kidogo, siku Maalim Seif alipokwenda ikulu kumsalimia Rais huku MBOWE akipambana kesi ya Akwilina. Kila mtu alijua Maalim ameunga juhudi mkono na shughuli anayo mwamba. Sasa ndio nang'amua kwamba kumbe Ile Ni MBINU ya kimedani ya kuwalaghai watawala waamini upo pamoja nao. Ile ndio siku ya USHINDI wa SEIF Kama ikitokea atashinda Zanzibar kesho kutwa.

Hisia zinaniambia kwamba mwamba na mwalimu waliwaingiza Chaka CCM na Membe wao huku wakijua wamemficha mfukoni Lissu.
Tuachane na hayo hebu tuwafanyie SWOT na wao wapoje.
STRENGTH

NGUVU YA UMMA
Umma umewaelewa Sana ACT &CHADEMA na ushahidi wa Watanzania kuwachangia pesa wahalifu wasiende jela badala yake walipiwe faini na warudi uraiani Ni ishara Tosha upo tayari kufanya lolote lenye kuwalinda Chadema kwa upande wa bara. Jambo Hili liliwatia kiwewe IKULU na kesho yake Rais aliamua kumlipia msigwa kuonesha Kwamba Rais Ana huruma na wapinzani. Kama watu walichanga dusko dusko namaanisha kiasi Cha 1k -10k kinyume chake hizi buku buku Ni idadi ya wapiga kura wa upinzani. Sasa kazi yako chukua kikokotoo halafu tafuta majibu Ni watu wangapi wanasapoti Chadema. Zenji siongei Kila mtu ameona NGUVU ya Maalim kaondoka na wanachama wake kwenda ACT so like amevimbisha msuli kwa mamlaka.


UWEZO WA KUNUSA HATARI

Tukio la Membe kuachwa kwenye mataa na hajielewi linathibitisha uwezo wa wapinzani KUNUSA HATARI.
Waliujua mtego wa CCM na wao wakatega wa kwao kwenda ikulu na kuleta picha kwamba Seif Ni mshkaji na MBOWE mkorofi kumbe Ni mtego wa Kumlinda LISSU na kunifanya Membe aonekane punguani asiyejua anataka nn.
Membe Ni ujio hatarishi kwa upinzani na Lissu anatafutwa na watesi wake asirudi kwenye siasa. Inaonesha wazi Kuna makubaliano kwamba ACT na CDM wote waingize wagombea ili mmoja akikatwa aungwe mkono mwingine na ndicho kinachoendelea Sasa.

Wanachama 9M according to MBOWE

WEAKNESS

Hawana Dola Wala serikali na hawajahi kushinda uchaguzi ngazi ya Rais

NEC haipo upande wao

UWEZO mdogo wa ulinzi na USALAMA wa viongozi wake, Ni rahisi kumteka au kumkata au kuzuia mkutano wa upinzani.

Ukosefu wa rasilimali fedha

OPPORTUNITY

MPASUKO wa CCM baada ya kura za MAONI. Huu Ni mtaji mkubwa Sana wa upinzani na dalili zimeonekana wazi Kanda ya ziwa na Zanzibar. Maamuzi ya Dodoma huenda yakawafanya CCM kupoteza majimbo 35-50 ya uchaguzi wasipotumia utemi.

KULINDA KURA VITUONI

Wakiwekeza NGUVU imara ya KULINDA KURA CCM hawana Chao. Naamini Lissu anamaanisha na ujumbe umewafikia walengwa. Wameanza kujibu maneno

MAKUNDI MAALUM YALIYOUMIZWA NA SERIKALI

Hapa nawaweka wahanga wote wa utawala wa awamu ya tano. Wafanyakazi hewa,waliobomolewa,waliotoswa walimu, wafanyakazi wa serikali, waliokosa mshahara n.k

Hawa Ni game changers watatoa USHINDI 5%-7% kwa Lissu sababu Wana maumivu Yao.

TECHNICALLY

MAANDAMANO YASIYO KIKOMO

ukifuatilia vizuri utagundua MBINU pekee ya wapinzani kuingia ikulu Ni MAANDAMANO YASIYO na KIKOMO. Hii ndio MBINU ya kiufundi yenye chanya na imewasaidi wapinzani wa nchi jirani kuingia na kushika serikali punde tu baada ya uchaguzi.

Hakuna serikali ya kiafrika imeyashinda MAANDAMANO YASIYO KIKOMO. Kiufundi wapinzani wako vyedi.

MATAMKO NA VITISHO VYA VIKWAZO

tangu wiki iliyopita mataifa makubwa yamekuwa na spidi ya MATAMKO na baru ya into kwa serikali ya Tanzania Ni wazi wapinzani kwenye MBINU hii wako mbali Sana. Yakitokea tusiyoyaomba wanatusua mapema.

Baaada ya mtazamo huo Sasa najikita kueleza kwa Nini Lissu 49% na Magufuli 47%.


Sympathy
Umaarufu wa Magufuli umeporomoka Sana baada ya kura za MAONI. Wakati huohuo umaarufu wa Chadema umekuwa mkubwa kupindukia sababu watu waliaminishwa kuwa upinzani umekufa na kinyume chake umekuwa zaidi kwa sababu ya huruma kuwa wanaonewa.
Kifungo Cha viongozi wa Chadema mwezi Machi kiliibua hisia za huruma kwa wananchi na kuamsha Ari ya huruma kwa wapinzani. Ujio wa Lissu umeikuza sympathy ya Chadema na ACT kwa pamoja na hivi tunavyoongea waliopewa kazi kushughulika na wapinzani wanalala na viatu.Hii itawapa kura sawa na 21%

Waislamu
Hapa Sina lengo la udini Ila hakuna asiyejua michango ya waislamu hapa bongo. Ujio wa sheikh Ponda Ni pigo kwa CCM na faida upinzani.

Sheikh ponda kashawagawa na Hili litawapa wapinzi USHINDI Zanzibar na pwani na mikoa ya kusini ambapo CCM imewakwaza kwa kiasi kikubwa kupitia korosho. Hili litapunguza 45% kwenye kura za waislam zilizotakiwa kwenda ccm

KOROSHO
sekeseke la korosho linaonekana Ni shida kubwa Sana kiasi Cha kuitikisa ngome ya CCM na hii ikikutana na impact ya ponda itawaumiza CCM zaidi na kuwanufaisha wapinzani.


Low turnover
Mwitiko mdogo wa wapiga kura siku ya uchaguzi, Ni pigo kingine kwa CCM na msaada kwa upinzani. Kuna uwezekano turn over ya wapiga kura ikawa watu 9M -11M

Hapa ndio kifo Cha CCM kinaanzia na hiili litawapunguzia 50% kura zote walizotarajia kupata kwenye uchaguzi huu.hii Ni faida kwa upinzani kwa sababu wao wanategemea sababu za hapo juu kupindua meza.

Common interest za Wazanzibar

Ikumbukwe watu wa visiwani wakitaka Lao hawashindwi licha ya utofauti wa vyama. Ni wazi CCM na ACT wote Lao Ni Moja ingawaje kwa nje wanashambuliana Jana kwamba wanapigana Vita ya 3 ya dunia. Seif anakwenda kushinda uchaguzi kwa sababu wazenji wote Wana ongozwa na common interest kuiona CCM Ni kikwazo kwao so best way Ni kumpa seif na sio Mwinyi.

Membe ATAPATA 1.1%
Lipumba & other 0.9%
Kuharibika kura 2%
Tutarajie mchuano mkali na matokeo ndio hayo hapo juu.

Karibuni kwa mjadalaa
Vyovyote itakavyokuwa cha msingi Lissu atangazwe mshindi
 
NEC na Masjili wa vyama ndio hawamtaki Lissu. Ndio ukweli huo.
Hizi ni ndoto za mchana. Mmejaribu kumnadi Lissu lakini watanzania wamemkataa, hawataki wakala wa mabeberu. Watanzania wameamua kwenda na JPM kwamiaka mingine mitano. Utafiti uliofanywa kisayansi juzi na Taasisi ya IBC Research International imegundua JPM anashinda kwa 89.5 na Lissu ataambulia tu 8.2% ya kura zote. Nakuhurumieni sana wana Ufipa, pengine ndoto hizi za mchana unazokuja nazo ni sehemu yenu ya kujifariji. Kila Mahali ni mauti ya ndiyo kwa JPM. Hakuna mtnzania wa kumchagua Lissu . Tunakwenda na JPM .
 
Hizi ni ndoto za mchana. Mmejaribu kumnadi Lissu lakini watanzania wamemkataa, hawataki wakala wa mabeberu. Watanzania wameamua kwenda na JPM kwamiaka mingine mitano. Utafiti uliofanywa kisayansi juzi na Taasisi ya IBC Research International imegundua JPM anashinda kwa 89.5 na Lissu ataambulia tu 8.2% ya kura zote. Nakuhurumieni sana wana Ufipa, pengine ndoto hizi za mchana unazokuja nazo ni sehemu yenu ya kujifariji. Kila Mahali ni mauti ya ndiyo kwa JPM. Hakuna mtnzania wa kumchagua Lissu . Tunakwenda na JPM .
wazazi wako wamepata hasara
 
Cookie Paw jana nimepost uzi wangu hadi sasa siuoni, nilikuwa nasubiria approval ya huo uzi kumbe mna longo longo tu... Sijui tatizo nini au hamkupenda content ya uzi kwasababu mtu wenu hakuwa wa Kwanza.

Achani hizo, mara content generated by user mara hamueleweki.

Kazi yenu iwe kuhariri content zenye matusi otherwise acheni siasa kama mlilenga platform hii iwe ya watu wa itakidi zote.

Na uzi wangu haukuwa na hata chembe ya tusi.
Maxence Melo
 
Wasalaaam wanabodi,

Kampeni za uchaguzi mkuu zinaelekea ukingoni siku mbili zijazo nchi nzima. Tumeona Kila mgombea akijinadi kwa style yake na upekee kulingana na malengo na mikakati thabiti waliyojiwekea.
Chama tawala CCM walianza kwa kishindo kikubwa pale dodoma na kuonesha ukubwa wa idadi ya wafuasi wake walijipanga kutetea kiti Chao. Kadiri siku zilivyozidi kwenda utamu wa kampeni za chama tawala ulinoga kupita zilizotangulia.

Msingi wao mkubwa ulikuwa nyomi la watu na uwezo wa kufika vijijini zaidi. Tofauti na miaka yote mgombea wao amefika MAENEO mengi ya mijini zaidi kuliko vijijini ukilinganisha na 2015. Ukifanya SWOT Analysis utayaona haya:

Strength:
CCM huwezi kuitenganisha na Sola na pia huwezi kuitenganisha na serikali , na hapo ndipo utagundua kwa Nini NEC Ni watiifu Sana kwa CCM.

WEAKNESS
Kundi kubwa Lina wageni ambao sio wajuvi wa siasa za majukwaa na uwezo wa kubashiri yajayo kwa uyakinifu. Hii imewagharimu Sana kiasi hawajui kuwa mbaya wao Ni Seif sharrif Hamad au Tundu Lissu au ubovu wa kumsimamisha Mwinyi.
Si hivyo tu pia kushindwa kujua kuwa Kuivuruga CUF,CHADEMA na kununua wabunge wa upinzani ingelikuwa njia nyepesu ya wao kushinda Bila kupingwa au kushinda kwa kishindo kikubwa. Mpaka Sasa timu ya kampeni ya CCM imeshinda kuondoa udhaifu huu na unawagharimu kwenye field sababu kubwa walisahau kuwa upinzani Ni mioyo na hisia za watu na sio vyama. Hivyo mziki wa upinzani bado unagonga spika zao kwa Kasi Sana.

NGUVU YA UMMA
Inaonekana wazi LISSU na SEIF hawatanii hata kidogo jinsi walivyojipanga kutumia nguvu ya Umma. Kwa mwenye macho mapana .Umma haujawahi kushinda DHIDI ya watawala na Kama kweli basi hiki kitisho kikubwa Sana kwa CCM.


OPPORTUNITY
Fursa kubwa na ya pekee Ni kutumia Dola .

Pili mtaji wa fedha na rasilimali watu

TECHNICALLY
Hapa namaanisha MBINU za kiufundi za kushinda uchaguzi siku ya uchaguzi.
MBINU ya kwanza NEC,hii imewapa wabunge zaidi ya 20

NEC na CCM ni watu wamoja wanaongea lugha Moja pia wanaweza kwa hiyari tu Kuivuruga ngome ya wapinzani na matokeo Yao kwa sababu hawana pa kushtakiwa popote kwa kuwa wao wanatoa tamko la mwisho.(namaanisha wakurugenzi) na dalili zishaonekana tayari.

CHADEMA NA ACT

Wote kwa pamoja na wajadili Bila kuwatenganisha ili nihitimishe vizuri. Ni ukweli usiopingika kuwa Zambarau wameiteka Zanzibar na CDM wameiteka Tanganyika.
Ubora wa viongozi wao wakuu wawili MBOWE & SEIF SHARRIF HAMAD umejidhihirisha wazi kwenye uchaguzi huu kwa kuruka mamii ya vihunzi na kuilaghai serikali mchana kweupeeee.
Hebu nikurudishe nyuma kidogo, siku Maalim Seif alipokwenda ikulu kumsalimia Rais huku MBOWE akipambana kesi ya Akwilina. Kila mtu alijua Maalim ameunga juhudi mkono na shughuli anayo mwamba. Sasa ndio nang'amua kwamba kumbe Ile Ni MBINU ya kimedani ya kuwalaghai watawala waamini upo pamoja nao. Ile ndio siku ya USHINDI wa SEIF Kama ikitokea atashinda Zanzibar kesho kutwa.

Hisia zinaniambia kwamba mwamba na mwalimu waliwaingiza Chaka CCM na Membe wao huku wakijua wamemficha mfukoni Lissu.
Tuachane na hayo hebu tuwafanyie SWOT na wao wapoje.
STRENGTH

NGUVU YA UMMA
Umma umewaelewa Sana ACT &CHADEMA na ushahidi wa Watanzania kuwachangia pesa wahalifu wasiende jela badala yake walipiwe faini na warudi uraiani Ni ishara Tosha upo tayari kufanya lolote lenye kuwalinda Chadema kwa upande wa bara. Jambo Hili liliwatia kiwewe IKULU na kesho yake Rais aliamua kumlipia msigwa kuonesha Kwamba Rais Ana huruma na wapinzani. Kama watu walichanga dusko dusko namaanisha kiasi Cha 1k -10k kinyume chake hizi buku buku Ni idadi ya wapiga kura wa upinzani. Sasa kazi yako chukua kikokotoo halafu tafuta majibu Ni watu wangapi wanasapoti Chadema. Zenji siongei Kila mtu ameona NGUVU ya Maalim kaondoka na wanachama wake kwenda ACT so like amevimbisha msuli kwa mamlaka.


UWEZO WA KUNUSA HATARI

Tukio la Membe kuachwa kwenye mataa na hajielewi linathibitisha uwezo wa wapinzani KUNUSA HATARI.
Waliujua mtego wa CCM na wao wakatega wa kwao kwenda ikulu na kuleta picha kwamba Seif Ni mshkaji na MBOWE mkorofi kumbe Ni mtego wa Kumlinda LISSU na kunifanya Membe aonekane punguani asiyejua anataka nn.
Membe Ni ujio hatarishi kwa upinzani na Lissu anatafutwa na watesi wake asirudi kwenye siasa. Inaonesha wazi Kuna makubaliano kwamba ACT na CDM wote waingize wagombea ili mmoja akikatwa aungwe mkono mwingine na ndicho kinachoendelea Sasa.

Wanachama 9M according to MBOWE

WEAKNESS

Hawana Dola Wala serikali na hawajahi kushinda uchaguzi ngazi ya Rais

NEC haipo upande wao

UWEZO mdogo wa ulinzi na USALAMA wa viongozi wake, Ni rahisi kumteka au kumkata au kuzuia mkutano wa upinzani.

Ukosefu wa rasilimali fedha

OPPORTUNITY

MPASUKO wa CCM baada ya kura za MAONI. Huu Ni mtaji mkubwa Sana wa upinzani na dalili zimeonekana wazi Kanda ya ziwa na Zanzibar. Maamuzi ya Dodoma huenda yakawafanya CCM kupoteza majimbo 35-50 ya uchaguzi wasipotumia utemi.

KULINDA KURA VITUONI

Wakiwekeza NGUVU imara ya KULINDA KURA CCM hawana Chao. Naamini Lissu anamaanisha na ujumbe umewafikia walengwa. Wameanza kujibu maneno

MAKUNDI MAALUM YALIYOUMIZWA NA SERIKALI

Hapa nawaweka wahanga wote wa utawala wa awamu ya tano. Wafanyakazi hewa,waliobomolewa,waliotoswa walimu, wafanyakazi wa serikali, waliokosa mshahara n.k

Hawa Ni game changers watatoa USHINDI 5%-7% kwa Lissu sababu Wana maumivu Yao.

TECHNICALLY

MAANDAMANO YASIYO KIKOMO

ukifuatilia vizuri utagundua MBINU pekee ya wapinzani kuingia ikulu Ni MAANDAMANO YASIYO na KIKOMO. Hii ndio MBINU ya kiufundi yenye chanya na imewasaidi wapinzani wa nchi jirani kuingia na kushika serikali punde tu baada ya uchaguzi.

Hakuna serikali ya kiafrika imeyashinda MAANDAMANO YASIYO KIKOMO. Kiufundi wapinzani wako vyedi.

MATAMKO NA VITISHO VYA VIKWAZO

tangu wiki iliyopita mataifa makubwa yamekuwa na spidi ya MATAMKO na baru ya into kwa serikali ya Tanzania Ni wazi wapinzani kwenye MBINU hii wako mbali Sana. Yakitokea tusiyoyaomba wanatusua mapema.

Baaada ya mtazamo huo Sasa najikita kueleza kwa Nini Lissu 49% na Magufuli 47%.


Sympathy
Umaarufu wa Magufuli umeporomoka Sana baada ya kura za MAONI. Wakati huohuo umaarufu wa Chadema umekuwa mkubwa kupindukia sababu watu waliaminishwa kuwa upinzani umekufa na kinyume chake umekuwa zaidi kwa sababu ya huruma kuwa wanaonewa.
Kifungo Cha viongozi wa Chadema mwezi Machi kiliibua hisia za huruma kwa wananchi na kuamsha Ari ya huruma kwa wapinzani. Ujio wa Lissu umeikuza sympathy ya Chadema na ACT kwa pamoja na hivi tunavyoongea waliopewa kazi kushughulika na wapinzani wanalala na viatu.Hii itawapa kura sawa na 21%

Waislamu
Hapa Sina lengo la udini Ila hakuna asiyejua michango ya waislamu hapa bongo. Ujio wa sheikh Ponda Ni pigo kwa CCM na faida upinzani.

Sheikh ponda kashawagawa na Hili litawapa wapinzi USHINDI Zanzibar na pwani na mikoa ya kusini ambapo CCM imewakwaza kwa kiasi kikubwa kupitia korosho. Hili litapunguza 45% kwenye kura za waislam zilizotakiwa kwenda ccm

KOROSHO
sekeseke la korosho linaonekana Ni shida kubwa Sana kiasi Cha kuitikisa ngome ya CCM na hii ikikutana na impact ya ponda itawaumiza CCM zaidi na kuwanufaisha wapinzani.


Low turnover
Mwitiko mdogo wa wapiga kura siku ya uchaguzi, Ni pigo kingine kwa CCM na msaada kwa upinzani. Kuna uwezekano turn over ya wapiga kura ikawa watu 9M -11M

Hapa ndio kifo Cha CCM kinaanzia na hiili litawapunguzia 50% kura zote walizotarajia kupata kwenye uchaguzi huu.hii Ni faida kwa upinzani kwa sababu wao wanategemea sababu za hapo juu kupindua meza.

Common interest za Wazanzibar

Ikumbukwe watu wa visiwani wakitaka Lao hawashindwi licha ya utofauti wa vyama. Ni wazi CCM na ACT wote Lao Ni Moja ingawaje kwa nje wanashambuliana Jana kwamba wanapigana Vita ya 3 ya dunia. Seif anakwenda kushinda uchaguzi kwa sababu wazenji wote Wana ongozwa na common interest kuiona CCM Ni kikwazo kwao so best way Ni kumpa seif na sio Mwinyi.

Membe ATAPATA 1.1%
Lipumba & other 0.9%
Kuharibika kura 2%
Tutarajie mchuano mkali na matokeo ndio hayo hapo juu.

Karibuni kwa mjadalaa

ngoja nkusahishe kidogo, ni simple tu kumjua nan anashinda uchaguzi huu, fanya ivi

lowasa yeye kama yeye anatembea na 11% ya wapiga kura wote tanzania kutokana na maneno ya lisu mwenyewe alisema apa


, sasa amesharudi ccm na ndo aliesababisha mpasuko ccm 2015, amerudi ccm, toa tu 11% kwenye kura za 2015 za chadema, hapa nmeweka other factors constant, nkimaanisha wananchi waawapigia kwa mwamko ule ule, ingawa tushaona kwa macho yetu ngome zimevunjwa na mwamko wa wananchi kussport ccm, mengine jijazie mwenyewe hao wanachama waliohama cdm kwenda ccm wengine act, utachambua mwenyewe, na pia lazima ukumbuke kura za 2015 hazikua za chadema peke yake bali ukawa!! wakawasaliti ili waonekane wana nguvu saaahv kila mtu kivyake, mpaka apo nadhan unajua mshindi nan, nakazia tu, hata vyama vyote nchi nzima vikuungana bado haviwezi kuishinda ccm.

na pia lazima ukumbuke ccm haipo yenyewe lazima ujue ina support ya vyama vingap nyuma,
 
Lissu huyu mbeba maono ya mabeberu au mnaongelea kitu gani??.
Uchaguzi 28/10 ni siku ya mapumziko na siku inayofuatia itakuwa sikukuu ya MAULID kabla ya pilau ya maulid hajaiva tayari Lissu atakuwa amegeuzwa kibra. Kesho yake atakuwa anajiandaa kuhamishia kijiwe KISUTU kujitetea kwa nini asipigwe mvua za kutosha kwa uchochezi
Jikite kwenye mada. Based on SWOT analysis. Nje ya hapo utakuwa umeshiba makande tu wewe.
 
Kuna mtu kanambia anauhakika Lissu atashinda nikamwambia mimi sio mwanasiasa wala mtabiri ila Magufuli atashinda.
Nikamuomba tuweke dau la milioni mojamoja ili ambae kauli yake itakua ilikua yakweli achukue milioni mbili kakataa nikajua kumbe ananiambia maneno asio na uhakika nayo kabisa na anaujua ukweli.

Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
Kumbuka kuna kushinda na kuna kutangazwa. hivyo ni vitu viwili tofauti
 
Wasalaaam wanabodi,

Kampeni za uchaguzi mkuu zinaelekea ukingoni siku mbili zijazo nchi nzima. Tumeona Kila mgombea akijinadi kwa style yake na upekee kulingana na malengo na mikakati thabiti waliyojiwekea.
Chama tawala CCM walianza kwa kishindo kikubwa pale dodoma na kuonesha ukubwa wa idadi ya wafuasi wake walijipanga kutetea kiti Chao. Kadiri siku zilivyozidi kwenda utamu wa kampeni za chama tawala ulinoga kupita zilizotangulia.

Msingi wao mkubwa ulikuwa nyomi la watu na uwezo wa kufika vijijini zaidi. Tofauti na miaka yote mgombea wao amefika MAENEO mengi ya mijini zaidi kuliko vijijini ukilinganisha na 2015. Ukifanya SWOT Analysis utayaona haya:

Strength:
CCM huwezi kuitenganisha na Sola na pia huwezi kuitenganisha na serikali , na hapo ndipo utagundua kwa Nini NEC Ni watiifu Sana kwa CCM.

WEAKNESS
Kundi kubwa Lina wageni ambao sio wajuvi wa siasa za majukwaa na uwezo wa kubashiri yajayo kwa uyakinifu. Hii imewagharimu Sana kiasi hawajui kuwa mbaya wao Ni Seif sharrif Hamad au Tundu Lissu au ubovu wa kumsimamisha Mwinyi.
Si hivyo tu pia kushindwa kujua kuwa Kuivuruga CUF,CHADEMA na kununua wabunge wa upinzani ingelikuwa njia nyepesu ya wao kushinda Bila kupingwa au kushinda kwa kishindo kikubwa. Mpaka Sasa timu ya kampeni ya CCM imeshinda kuondoa udhaifu huu na unawagharimu kwenye field sababu kubwa walisahau kuwa upinzani Ni mioyo na hisia za watu na sio vyama. Hivyo mziki wa upinzani bado unagonga spika zao kwa Kasi Sana.

NGUVU YA UMMA
Inaonekana wazi LISSU na SEIF hawatanii hata kidogo jinsi walivyojipanga kutumia nguvu ya Umma. Kwa mwenye macho mapana .Umma haujawahi kushinda DHIDI ya watawala na Kama kweli basi hiki kitisho kikubwa Sana kwa CCM.


OPPORTUNITY
Fursa kubwa na ya pekee Ni kutumia Dola .

Pili mtaji wa fedha na rasilimali watu

TECHNICALLY
Hapa namaanisha MBINU za kiufundi za kushinda uchaguzi siku ya uchaguzi.
MBINU ya kwanza NEC,hii imewapa wabunge zaidi ya 20

NEC na CCM ni watu wamoja wanaongea lugha Moja pia wanaweza kwa hiyari tu Kuivuruga ngome ya wapinzani na matokeo Yao kwa sababu hawana pa kushtakiwa popote kwa kuwa wao wanatoa tamko la mwisho.(namaanisha wakurugenzi) na dalili zishaonekana tayari.

CHADEMA NA ACT

Wote kwa pamoja na wajadili Bila kuwatenganisha ili nihitimishe vizuri. Ni ukweli usiopingika kuwa Zambarau wameiteka Zanzibar na CDM wameiteka Tanganyika.
Ubora wa viongozi wao wakuu wawili MBOWE & SEIF SHARRIF HAMAD umejidhihirisha wazi kwenye uchaguzi huu kwa kuruka mamii ya vihunzi na kuilaghai serikali mchana kweupeeee.
Hebu nikurudishe nyuma kidogo, siku Maalim Seif alipokwenda ikulu kumsalimia Rais huku MBOWE akipambana kesi ya Akwilina. Kila mtu alijua Maalim ameunga juhudi mkono na shughuli anayo mwamba. Sasa ndio nang'amua kwamba kumbe Ile Ni MBINU ya kimedani ya kuwalaghai watawala waamini upo pamoja nao. Ile ndio siku ya USHINDI wa SEIF Kama ikitokea atashinda Zanzibar kesho kutwa.

Hisia zinaniambia kwamba mwamba na mwalimu waliwaingiza Chaka CCM na Membe wao huku wakijua wamemficha mfukoni Lissu.
Tuachane na hayo hebu tuwafanyie SWOT na wao wapoje.
STRENGTH

NGUVU YA UMMA
Umma umewaelewa Sana ACT &CHADEMA na ushahidi wa Watanzania kuwachangia pesa wahalifu wasiende jela badala yake walipiwe faini na warudi uraiani Ni ishara Tosha upo tayari kufanya lolote lenye kuwalinda Chadema kwa upande wa bara. Jambo Hili liliwatia kiwewe IKULU na kesho yake Rais aliamua kumlipia msigwa kuonesha Kwamba Rais Ana huruma na wapinzani. Kama watu walichanga dusko dusko namaanisha kiasi Cha 1k -10k kinyume chake hizi buku buku Ni idadi ya wapiga kura wa upinzani. Sasa kazi yako chukua kikokotoo halafu tafuta majibu Ni watu wangapi wanasapoti Chadema. Zenji siongei Kila mtu ameona NGUVU ya Maalim kaondoka na wanachama wake kwenda ACT so like amevimbisha msuli kwa mamlaka.


UWEZO WA KUNUSA HATARI

Tukio la Membe kuachwa kwenye mataa na hajielewi linathibitisha uwezo wa wapinzani KUNUSA HATARI.
Waliujua mtego wa CCM na wao wakatega wa kwao kwenda ikulu na kuleta picha kwamba Seif Ni mshkaji na MBOWE mkorofi kumbe Ni mtego wa Kumlinda LISSU na kunifanya Membe aonekane punguani asiyejua anataka nn.
Membe Ni ujio hatarishi kwa upinzani na Lissu anatafutwa na watesi wake asirudi kwenye siasa. Inaonesha wazi Kuna makubaliano kwamba ACT na CDM wote waingize wagombea ili mmoja akikatwa aungwe mkono mwingine na ndicho kinachoendelea Sasa.

Wanachama 9M according to MBOWE

WEAKNESS

Hawana Dola Wala serikali na hawajahi kushinda uchaguzi ngazi ya Rais

NEC haipo upande wao

UWEZO mdogo wa ulinzi na USALAMA wa viongozi wake, Ni rahisi kumteka au kumkata au kuzuia mkutano wa upinzani.

Ukosefu wa rasilimali fedha

OPPORTUNITY

MPASUKO wa CCM baada ya kura za MAONI. Huu Ni mtaji mkubwa Sana wa upinzani na dalili zimeonekana wazi Kanda ya ziwa na Zanzibar. Maamuzi ya Dodoma huenda yakawafanya CCM kupoteza majimbo 35-50 ya uchaguzi wasipotumia utemi.

KULINDA KURA VITUONI

Wakiwekeza NGUVU imara ya KULINDA KURA CCM hawana Chao. Naamini Lissu anamaanisha na ujumbe umewafikia walengwa. Wameanza kujibu maneno

MAKUNDI MAALUM YALIYOUMIZWA NA SERIKALI

Hapa nawaweka wahanga wote wa utawala wa awamu ya tano. Wafanyakazi hewa,waliobomolewa,waliotoswa walimu, wafanyakazi wa serikali, waliokosa mshahara n.k

Hawa Ni game changers watatoa USHINDI 5%-7% kwa Lissu sababu Wana maumivu Yao.

TECHNICALLY

MAANDAMANO YASIYO KIKOMO

ukifuatilia vizuri utagundua MBINU pekee ya wapinzani kuingia ikulu Ni MAANDAMANO YASIYO na KIKOMO. Hii ndio MBINU ya kiufundi yenye chanya na imewasaidi wapinzani wa nchi jirani kuingia na kushika serikali punde tu baada ya uchaguzi.

Hakuna serikali ya kiafrika imeyashinda MAANDAMANO YASIYO KIKOMO. Kiufundi wapinzani wako vyedi.

MATAMKO NA VITISHO VYA VIKWAZO

tangu wiki iliyopita mataifa makubwa yamekuwa na spidi ya MATAMKO na baru ya into kwa serikali ya Tanzania Ni wazi wapinzani kwenye MBINU hii wako mbali Sana. Yakitokea tusiyoyaomba wanatusua mapema.

Baaada ya mtazamo huo Sasa najikita kueleza kwa Nini Lissu 49% na Magufuli 47%.


Sympathy
Umaarufu wa Magufuli umeporomoka Sana baada ya kura za MAONI. Wakati huohuo umaarufu wa Chadema umekuwa mkubwa kupindukia sababu watu waliaminishwa kuwa upinzani umekufa na kinyume chake umekuwa zaidi kwa sababu ya huruma kuwa wanaonewa.
Kifungo Cha viongozi wa Chadema mwezi Machi kiliibua hisia za huruma kwa wananchi na kuamsha Ari ya huruma kwa wapinzani. Ujio wa Lissu umeikuza sympathy ya Chadema na ACT kwa pamoja na hivi tunavyoongea waliopewa kazi kushughulika na wapinzani wanalala na viatu.Hii itawapa kura sawa na 21%

Waislamu
Hapa Sina lengo la udini Ila hakuna asiyejua michango ya waislamu hapa bongo. Ujio wa sheikh Ponda Ni pigo kwa CCM na faida upinzani.

Sheikh ponda kashawagawa na Hili litawapa wapinzi USHINDI Zanzibar na pwani na mikoa ya kusini ambapo CCM imewakwaza kwa kiasi kikubwa kupitia korosho. Hili litapunguza 45% kwenye kura za waislam zilizotakiwa kwenda ccm

KOROSHO
sekeseke la korosho linaonekana Ni shida kubwa Sana kiasi Cha kuitikisa ngome ya CCM na hii ikikutana na impact ya ponda itawaumiza CCM zaidi na kuwanufaisha wapinzani.


Low turnover
Mwitiko mdogo wa wapiga kura siku ya uchaguzi, Ni pigo kingine kwa CCM na msaada kwa upinzani. Kuna uwezekano turn over ya wapiga kura ikawa watu 9M -11M

Hapa ndio kifo Cha CCM kinaanzia na hiili litawapunguzia 50% kura zote walizotarajia kupata kwenye uchaguzi huu.hii Ni faida kwa upinzani kwa sababu wao wanategemea sababu za hapo juu kupindua meza.

Common interest za Wazanzibar

Ikumbukwe watu wa visiwani wakitaka Lao hawashindwi licha ya utofauti wa vyama. Ni wazi CCM na ACT wote Lao Ni Moja ingawaje kwa nje wanashambuliana Jana kwamba wanapigana Vita ya 3 ya dunia. Seif anakwenda kushinda uchaguzi kwa sababu wazenji wote Wana ongozwa na common interest kuiona CCM Ni kikwazo kwao so best way Ni kumpa seif na sio Mwinyi.

Membe ATAPATA 1.1%
Lipumba & other 0.9%
Kuharibika kura 2%
Tutarajie mchuano mkali na matokeo ndio hayo hapo juu.

Karibuni kwa mjadalaa
Pole
niruhusu nichangie ifuatavyo
CCM ilishaachana na kura za wanafunzi (MKAPA-2000), Wafanyakazi ( KIKWETE-2010), wapiga dili ( JPM-2015-2020)
Lakini itapata kura za wanyonge ambao furaha yao ni kuona matajiri wanashughulikiwa kama JPM alivyofanya.
Aidha CCM ilishaachana na kura za wamachinga na wakazi wa mjini siku nyingi kwa sababu hawana msimamamo, hawaaminiki na hawaridhiki- CCM inawasaidia tu ili kuleta hali ya utulivu lakini siyo kwa nia ya kutafuta kura
Udhaifu wa CHADEMA ni kutokuwa na mgombea urais ambaye kwa asili ni CHADEMA
WALIOWAHI KUGOMBEA KUPITIA CHADEMA
1. Mbowe- CHADEMA ndebile
2. Slaa- CCM aliyechefuliwa
3. Lowassa- CCM aliyechefuliwa
4. Mbelgiji Lissu- kwa asili si CHADEMA- ni MWANAHARAKATI ni kama kupe tu kwenye ng'ombe
CCM ndiyo iliyokubali kuwepo kwa vyama vingi na toka hapo inajua hatakaa ipate 100% ya kura zote- inachotafuta na kura za kutosha kuushida, kuunda na kutawala na itapata MIMI UTABIRI WANGU
CCM 60% - MINUS OR PLUS 3 %
 
Lissu atashinda lakini Kaijage atamtangaza Magufuli mshindi. Liko wazi. Maalim Seif atashinda lakini ZEC watamtangaza Mwinyi mshindi. Usijifanye mjinga. 1995 kituo chako cha TV kilijumlisha kura na kumtangaza Maalim mshindi lakini ZEC wakatangaza Salmin mshindi. Hali itaendelea hivi hivi mpaka siku wananchi wenyewe watakapoishiwa uvumilivu.
Asante kwa uchambuzi mzuri na mahiri, hii ya Lissu atashinda, naomba usubirie tarehe 28 October, utashangaa!.
P
 
Hizi ni ndoto za mchana. Mmejaribu kumnadi Lissu lakini watanzania wamemkataa, hawataki wakala wa mabeberu. Watanzania wameamua kwenda na JPM kwamiaka mingine mitano. Utafiti uliofanywa kisayansi juzi na Taasisi ya IBC Research International imegundua JPM anashinda kwa 89.5 na Lissu ataambulia tu 8.2% ya kura zote. Nakuhurumieni sana wana Ufipa, pengine ndoto hizi za mchana unazokuja nazo ni sehemu yenu ya kujifariji. Kila Mahali ni mauti ya ndiyo kwa JPM. Hakuna mtnzania wa kumchagua Lissu . Tunakwenda na JPM .
Jikite kwenye mada based on SWOT analysis.
 
Kukishinda chama dola ni ngumu sana.

Kama ulifatilia kampeni za Ccm utagundua kwamba Ccm iliendesha kampeni ya kiserikali/dola na sio kampeni ya chama cha siasa.
 
Pole
niruhusu nichangie ifuatavyo
CCM ilishaachana na kura za wanafunzi (MKAPA-2000), Wafanyakazi ( KIKWETE-2010), wapiga dili ( JPM-2015-2020)
Lakini itapata kura za wanyonge ambao furaha yao ni kuona matajiri wanashughulikiwa kama JPM alivyofanya.
Aidha CCM ilishaachana na kura za wamachinga na wakazi wa mjini siku nyingi kwa sababu hawana msimamamo, hawaaminiki na hawaridhiki- CCM inawasaidia tu ili kuleta hali ya utulivu lakini siyo kwa nia ya kutafuta kura
Udhaifu wa CHADEMA ni kutokuwa na mgombea urais ambaye kwa asili ni CHADEMA
WALIOWAHI KUGOMBEA KUPITIA CHADEMA
1. Mbowe- CHADEMA ndebile
2. Slaa- CCM aliyechefuliwa
3. Lowassa- CCM aliyechefuliwa
4. Lissu- MWANAHARAKATI ni kama kupe tu kwenye ng'ombe
CCM ndiyo iliyokubali kuwepo kwa vyama vingi na toka hapo inajua hatakaa ipate 100% ya kura zote- inachotafuta na kura za kutosha kuushida, kuunda na kutawala na itapata MIMI UTABIRI WANGU
CCM 60% - MINUS OR PLUS 3 %
Kama hujajadili based on SWOT analysis basi umeandika upuuzi mtupu.

Jielekeze kwenye hoja ya mtoa mada.
 
Kukishinda chama dola ni ngumu sana.

Kama ulifatilia kampeni za Ccm utagundua kwamba Ccm iliendesha kampeni ya kiserikali/dola na sio kampeni ya chama cha siasa.
Ninm ngumu wewe huoni hata kampeni tumepigwa mabomu lakini tumewaweza? Ni ngumu kumshinda lakini sio kuwa haiwezekani.

Tumepigwa mabomu watu wametekwa hadi kuuawa lakini bado kampeni zetu zime hit sana. Kampeni zilikuwa ngumu sana lakini tumemaliza kwa ushindi .kubwa. hiyo ndio maana ya ngumu. Ni ngumu lakini tutashinda.
 
Hakuna wa kumpigia kura msaliti wa Nchi Lissu

Ila ndio mbembwe za Uchaguzi, mnaruhusiwa kuongea kila lugha

October 29 baada ya kuragazwa na lissu kurudi ubeligiji
mrudi shamba msimu wa mvua umeanza

Jiandaeni kupora kuta tu, na muombe wananchi waendelee kuwa makondoo wasilinde ushindi wao. Tumechoka kuburuzwa na chama cha zamani. CCM sio chama cha kizazi hiki. Lazima tutapata mabadiliko tunayoyataka, hiki sio kizazi cha kumsujudia rais.
 
Back
Top Bottom