Uchaguzi 2020 Uchambuzi: Tundu Lissu anaweza kumshinda Dkt. Magufuli na Maalim Seif anaweza kuibuka kidedea Zanzibar

Uchaguzi 2020 Uchambuzi: Tundu Lissu anaweza kumshinda Dkt. Magufuli na Maalim Seif anaweza kuibuka kidedea Zanzibar

Bora mimi mipasho kuliko msaliti wa Nchi kutoka ubeligiji anayeporomosha matusi
Wewe mama mipasho ondoa mipasho yako peleka huko kunakostahili. Huna uwezo wa kujenga hoja. Hata hao unaowapigania kwa mipasho wanakushangaa kwa uwezo wako mdogo.
 
Kuna mtu kanambia anauhakika Lissu atashinda nikamwambia mimi sio mwanasiasa wala mtabiri ila Magufuli atashinda.
Nikamuomba tuweke dau la milioni mojamoja ili ambae kauli yake itakua ilikua yakweli achukue milioni mbili kakataa nikajua kumbe ananiambia maneno asio na uhakika nayo kabisa na anaujua ukweli.

Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
Wanabeat hao
 
mkuu hakuna mada hapa ya kujikita kwayo, Ulichotuletea ni hisia zako binafsi zisizo na base ya kisayansi. Nakujibu kwa utafiti wa kisayansi inayothibitisha JPM atapata ushindi wa kura 89.5% na Lissu ataambualia tu 8.2%. Tafiti ujibiwa kwa tafiti na siyo mada za hisia
Sample space imebase upande gani?
Utafiti huo umezingatia vigezo gani?
Au ndio ule waliokosa jina la Lissu na aslimia zikazidi 100 . Yale Ni mapishi ya upande mmoja tu.

Kama una kumbukumbu watafiti wa twaweza waliposema umaarufu wa Rais umeshuka.

Kuanzia siku Ile masharti ,vigezo na vibali vya tafiti za kisiasa vilibadilika may be let them come out na another reason, Kama Ni huo unaousema niliupuuza that day.
 
Wasalaaam wanabodi,

Kampeni za uchaguzi mkuu zinaelekea ukingoni siku mbili zijazo nchi nzima. Tumeona Kila mgombea akijinadi kwa style yake na upekee kulingana na malengo na mikakati thabiti waliyojiwekea.
Chama tawala CCM walianza kwa kishindo kikubwa pale dodoma na kuonesha ukubwa wa idadi ya wafuasi wake walijipanga kutetea kiti Chao. Kadiri siku zilivyozidi kwenda utamu wa kampeni za chama tawala ulinoga kupita zilizotangulia.

Msingi wao mkubwa ulikuwa nyomi la watu na uwezo wa kufika vijijini zaidi. Tofauti na miaka yote mgombea wao amefika MAENEO mengi ya mijini zaidi kuliko vijijini ukilinganisha na 2015. Ukifanya SWOT Analysis utayaona haya:

Strength:
CCM huwezi kuitenganisha na Sola na pia huwezi kuitenganisha na serikali , na hapo ndipo utagundua kwa Nini NEC Ni watiifu Sana kwa CCM.

WEAKNESS
Kundi kubwa Lina wageni ambao sio wajuvi wa siasa za majukwaa na uwezo wa kubashiri yajayo kwa uyakinifu. Hii imewagharimu Sana kiasi hawajui kuwa mbaya wao Ni Seif sharrif Hamad au Tundu Lissu au ubovu wa kumsimamisha Mwinyi.
Si hivyo tu pia kushindwa kujua kuwa Kuivuruga CUF,CHADEMA na kununua wabunge wa upinzani ingelikuwa njia nyepesu ya wao kushinda Bila kupingwa au kushinda kwa kishindo kikubwa. Mpaka Sasa timu ya kampeni ya CCM imeshinda kuondoa udhaifu huu na unawagharimu kwenye field sababu kubwa walisahau kuwa upinzani Ni mioyo na hisia za watu na sio vyama. Hivyo mziki wa upinzani bado unagonga spika zao kwa Kasi Sana.

NGUVU YA UMMA
Inaonekana wazi LISSU na SEIF hawatanii hata kidogo jinsi walivyojipanga kutumia nguvu ya Umma. Kwa mwenye macho mapana .Umma haujawahi kushinda DHIDI ya watawala na Kama kweli basi hiki kitisho kikubwa Sana kwa CCM.


OPPORTUNITY
Fursa kubwa na ya pekee Ni kutumia Dola .

Pili mtaji wa fedha na rasilimali watu

TECHNICALLY
Hapa namaanisha MBINU za kiufundi za kushinda uchaguzi siku ya uchaguzi.
MBINU ya kwanza NEC,hii imewapa wabunge zaidi ya 20

NEC na CCM ni watu wamoja wanaongea lugha Moja pia wanaweza kwa hiyari tu Kuivuruga ngome ya wapinzani na matokeo Yao kwa sababu hawana pa kushtakiwa popote kwa kuwa wao wanatoa tamko la mwisho.(namaanisha wakurugenzi) na dalili zishaonekana tayari.

CHADEMA NA ACT

Wote kwa pamoja na wajadili Bila kuwatenganisha ili nihitimishe vizuri. Ni ukweli usiopingika kuwa Zambarau wameiteka Zanzibar na CDM wameiteka Tanganyika.
Ubora wa viongozi wao wakuu wawili MBOWE & SEIF SHARRIF HAMAD umejidhihirisha wazi kwenye uchaguzi huu kwa kuruka mamii ya vihunzi na kuilaghai serikali mchana kweupeeee.
Hebu nikurudishe nyuma kidogo, siku Maalim Seif alipokwenda ikulu kumsalimia Rais huku MBOWE akipambana kesi ya Akwilina. Kila mtu alijua Maalim ameunga juhudi mkono na shughuli anayo mwamba. Sasa ndio nang'amua kwamba kumbe Ile Ni MBINU ya kimedani ya kuwalaghai watawala waamini upo pamoja nao. Ile ndio siku ya USHINDI wa SEIF Kama ikitokea atashinda Zanzibar kesho kutwa.

Hisia zinaniambia kwamba mwamba na mwalimu waliwaingiza Chaka CCM na Membe wao huku wakijua wamemficha mfukoni Lissu.
Tuachane na hayo hebu tuwafanyie SWOT na wao wapoje.
STRENGTH

NGUVU YA UMMA
Umma umewaelewa Sana ACT &CHADEMA na ushahidi wa Watanzania kuwachangia pesa wahalifu wasiende jela badala yake walipiwe faini na warudi uraiani Ni ishara Tosha upo tayari kufanya lolote lenye kuwalinda Chadema kwa upande wa bara. Jambo Hili liliwatia kiwewe IKULU na kesho yake Rais aliamua kumlipia msigwa kuonesha Kwamba Rais Ana huruma na wapinzani. Kama watu walichanga dusko dusko namaanisha kiasi Cha 1k -10k kinyume chake hizi buku buku Ni idadi ya wapiga kura wa upinzani. Sasa kazi yako chukua kikokotoo halafu tafuta majibu Ni watu wangapi wanasapoti Chadema. Zenji siongei Kila mtu ameona NGUVU ya Maalim kaondoka na wanachama wake kwenda ACT so like amevimbisha msuli kwa mamlaka.


UWEZO WA KUNUSA HATARI

Tukio la Membe kuachwa kwenye mataa na hajielewi linathibitisha uwezo wa wapinzani KUNUSA HATARI.
Waliujua mtego wa CCM na wao wakatega wa kwao kwenda ikulu na kuleta picha kwamba Seif Ni mshkaji na MBOWE mkorofi kumbe Ni mtego wa Kumlinda LISSU na kunifanya Membe aonekane punguani asiyejua anataka nn.
Membe Ni ujio hatarishi kwa upinzani na Lissu anatafutwa na watesi wake asirudi kwenye siasa. Inaonesha wazi Kuna makubaliano kwamba ACT na CDM wote waingize wagombea ili mmoja akikatwa aungwe mkono mwingine na ndicho kinachoendelea Sasa.

Wanachama 9M according to MBOWE

WEAKNESS

Hawana Dola Wala serikali na hawajahi kushinda uchaguzi ngazi ya Rais

NEC haipo upande wao

UWEZO mdogo wa ulinzi na USALAMA wa viongozi wake, Ni rahisi kumteka au kumkata au kuzuia mkutano wa upinzani.

Ukosefu wa rasilimali fedha

OPPORTUNITY

MPASUKO wa CCM baada ya kura za MAONI. Huu Ni mtaji mkubwa Sana wa upinzani na dalili zimeonekana wazi Kanda ya ziwa na Zanzibar. Maamuzi ya Dodoma huenda yakawafanya CCM kupoteza majimbo 35-50 ya uchaguzi wasipotumia utemi.

KULINDA KURA VITUONI

Wakiwekeza NGUVU imara ya KULINDA KURA CCM hawana Chao. Naamini Lissu anamaanisha na ujumbe umewafikia walengwa. Wameanza kujibu maneno

MAKUNDI MAALUM YALIYOUMIZWA NA SERIKALI

Hapa nawaweka wahanga wote wa utawala wa awamu ya tano. Wafanyakazi hewa,waliobomolewa,waliotoswa walimu, wafanyakazi wa serikali, waliokosa mshahara n.k

Hawa Ni game changers watatoa USHINDI 5%-7% kwa Lissu sababu Wana maumivu Yao.

TECHNICALLY

MAANDAMANO YASIYO KIKOMO

ukifuatilia vizuri utagundua MBINU pekee ya wapinzani kuingia ikulu Ni MAANDAMANO YASIYO na KIKOMO. Hii ndio MBINU ya kiufundi yenye chanya na imewasaidi wapinzani wa nchi jirani kuingia na kushika serikali punde tu baada ya uchaguzi.

Hakuna serikali ya kiafrika imeyashinda MAANDAMANO YASIYO KIKOMO. Kiufundi wapinzani wako vyedi.

MATAMKO NA VITISHO VYA VIKWAZO

tangu wiki iliyopita mataifa makubwa yamekuwa na spidi ya MATAMKO na baru ya into kwa serikali ya Tanzania Ni wazi wapinzani kwenye MBINU hii wako mbali Sana. Yakitokea tusiyoyaomba wanatusua mapema.

Baaada ya mtazamo huo Sasa najikita kueleza kwa Nini Lissu 49% na Magufuli 47%.


Sympathy
Umaarufu wa Magufuli umeporomoka Sana baada ya kura za MAONI. Wakati huohuo umaarufu wa Chadema umekuwa mkubwa kupindukia sababu watu waliaminishwa kuwa upinzani umekufa na kinyume chake umekuwa zaidi kwa sababu ya huruma kuwa wanaonewa.
Kifungo Cha viongozi wa Chadema mwezi Machi kiliibua hisia za huruma kwa wananchi na kuamsha Ari ya huruma kwa wapinzani. Ujio wa Lissu umeikuza sympathy ya Chadema na ACT kwa pamoja na hivi tunavyoongea waliopewa kazi kushughulika na wapinzani wanalala na viatu.Hii itawapa kura sawa na 21%

Waislamu
Hapa Sina lengo la udini Ila hakuna asiyejua michango ya waislamu hapa bongo. Ujio wa sheikh Ponda Ni pigo kwa CCM na faida upinzani.

Sheikh ponda kashawagawa na Hili litawapa wapinzi USHINDI Zanzibar na pwani na mikoa ya kusini ambapo CCM imewakwaza kwa kiasi kikubwa kupitia korosho. Hili litapunguza 45% kwenye kura za waislam zilizotakiwa kwenda ccm

KOROSHO
sekeseke la korosho linaonekana Ni shida kubwa Sana kiasi Cha kuitikisa ngome ya CCM na hii ikikutana na impact ya ponda itawaumiza CCM zaidi na kuwanufaisha wapinzani.


Low turnover
Mwitiko mdogo wa wapiga kura siku ya uchaguzi, Ni pigo kingine kwa CCM na msaada kwa upinzani. Kuna uwezekano turn over ya wapiga kura ikawa watu 9M -11M

Hapa ndio kifo Cha CCM kinaanzia na hiili litawapunguzia 50% kura zote walizotarajia kupata kwenye uchaguzi huu.hii Ni faida kwa upinzani kwa sababu wao wanategemea sababu za hapo juu kupindua meza.

Common interest za Wazanzibar

Ikumbukwe watu wa visiwani wakitaka Lao hawashindwi licha ya utofauti wa vyama. Ni wazi CCM na ACT wote Lao Ni Moja ingawaje kwa nje wanashambuliana Jana kwamba wanapigana Vita ya 3 ya dunia. Seif anakwenda kushinda uchaguzi kwa sababu wazenji wote Wana ongozwa na common interest kuiona CCM Ni kikwazo kwao so best way Ni kumpa seif na sio Mwinyi.

Membe ATAPATA 1.1%
Lipumba & other 0.9%
Kuharibika kura 2%
Tutarajie mchuano mkali na matokeo ndio hayo hapo juu.

Karibuni kwa mjadalaa
Usiwadanganye wenzio jamani
 
Mkoa wa Mwanza unaenda kwa Lissu 90%

Mkoa wa Mara unaenda kwa Lissu 90%

Mkoa wa Kagera unaenda kwa Lissu 90%

Mkoa wa Simiyu unaenda kwa Lissu 80%
Mkoa wa Shinyanga 50/50

Mkoa wa Tabora 50/50

Mkoa wa Singida unaenda kwa Lissu 70%

Mkoa wa Dodoma unaenda kwa Magufuli 60%

Mkoa wa Manyara unaenda kwa Lissu 80%

Mkoa wa Arusha unaenda kwa Lissu 90%

Mkoa wa Tanga unaenda kwa Lissu 70%

Mkoa wa Kilimanjaro unaenda kwa Lissu 95%

Mkoa wa Mbeya unaenda kwa Lissu 97%

Mkoa wa Rukwa 50/50

Mkoa wa Iringa unaenda kwa Magufuli 60%

Mkoa wa Morogoro unaenda kwa Lissu 60%

Mkoa wa Katavi unaenda kwa Magufuli 55%

Mkoa wa Ruvuma unaenda kwa Lissu 60%

Mkoa wa Pwani unaenda kwa Lissu 60%

Mkoa wa Lindi unakwenda kwa Lissu 70%

Mkoa wa Mtwara unakwenda kwa Lissu 60%

Mkoa wa Kigoma unakwenda kwa Lissu 80%
Mpaka hapo ni matokeo bila ya Wizi wa Tume ya CCM

JAMHURI YA WATU WA ZANZIBAR inakwenda kwa Lissu asilimia 70%
Wewe umetisha Sana na umekuja na uhalisia Fulani hivi. Tutaangalia nmna Bora kujazia mawazo yako kwenye uzi
 
Ukijiuliza kwa Nini Magufuli alimlipia Msigwa faini ya Mahakamani , utapata jibu kwa Nini mzee baba alipiga fosi kingi.

Nadharia ya Lowassa ilikufa immediately siku Lissu alipopigwa risasi. Pale Lowassa hakuonesha NGUVU ya ushawishi wake CHADEMA.

Kinachowabeba CDM Ni ujinga wa timu Lowassa kuunga mkono juhudi na chaguzi batili za marudio. Wananchi wamewaonea huruma na wakawa upande wao.

Ikiwa kweli politics is dynamic basi game ilishabadilika Sept 7 2017 pale Dodoma. Probably Edo karudi na mkewe tu ili KULINDA maslahi Yao.

Kosa lingine Ni waunga juhudi walivyotendwa ndani ya CCM imejustfy kuwa serikali ilitengeneza tukio la wabunge wa Chadema kuhama na sio kwamba chama kimekufa.

Nilizingatua hayo kwenye uchambuzi wangu so I don't see impact yake kwenye uchaguzi huu.

Then mpaka apo tuseme umeandka tu rubbish, lisu ameshakwambia lowasa yeye kama yeye ana 18% unataka kubishana nae tena, remember hizi rsults ni from international observers! sio waandishi uchawra kama wewe
 
Hakuna wa kumpigia kura msaliti wa Nchi Lissu

Ila ndio mbembwe za Uchaguzi, mnaruhusiwa kuongea kila lugha

October 29 baada ya kuragazwa na lissu kurudi ubeligiji
mrudi shamba msimu wa mvua umeanza
Tupp wengi wa kumpa Kura Tundu Lissu
 
Masikini, umebaki peke yako katika mpambano
Hakuna wa kumpigia kura msaliti wa Nchi Lissu

Ila ndio mbembwe za Uchaguzi, mnaruhusiwa kuongea kila lugha

October 29 baada ya kuragazwa na lissu kurudi ubeligiji
mrudi shamba msimu wa mvua umeanza
 
Hizi ni ndoto za mchana. Mmejaribu kumnadi Lissu lakini watanzania wamemkataa, hawataki wakala wa mabeberu. Watanzania wameamua kwenda na JPM kwamiaka mingine mitano. Utafiti uliofanywa kisayansi juzi na Taasisi ya IBC Research International imegundua JPM anashinda kwa 89.5 na Lissu ataambulia tu 8.2% ya kura zote. Nakuhurumieni sana wana Ufipa, pengine ndoto hizi za mchana unazokuja nazo ni sehemu yenu ya kujifariji. Kila Mahali ni kura ya ndiyo kwa JPM. Hakuna mtanzania wa kumchagua Lissu . Tunakwenda na JPM .
Watanzania wapi hao ebu jizungumzie mwenyewe
 
Then mpaka apo tuseme umeandka tu rubbish, lisu ameshakwambia lowasa yeye kama yeye ana 18% unataka kubishana nae tena, remember hizi rsults ni from international observers! sio waandishi uchawra kama wewe
Hebu type ushahidi wa video Lissu akitamka hayo yenye kuonesha 18%.
Matusi hayasaidiii, jipange uje na ushahidi nikuunge mkono
 
Hakuna wa kumpigia kura msaliti wa Nchi Lissu

Ila ndio mbembwe za Uchaguzi, mnaruhusiwa kuongea kila lugha

October 29 baada ya kuragazwa na lissu kurudi ubeligiji
mrudi shamba msimu wa mvua umeanza
Wakati huo wewe utakuwa unaendelea kuweka kishoka kwenye V8
 
Hebu type ushahidi wa video Lissu akitamka hayo yenye kuonesha 18%.
Matusi hayasaidiii, jipange uje na ushahidi nikuunge mkono

hahaha ndo maaana nkakwambia umeandika rubbish, with non research! anyway here is the video

 
Wasalaaam wanabodi,

Kampeni za uchaguzi mkuu zinaelekea ukingoni siku mbili zijazo nchi nzima. Tumeona Kila mgombea akijinadi kwa style yake na upekee kulingana na malengo na mikakati thabiti waliyojiwekea.
Chama tawala CCM walianza kwa kishindo kikubwa pale dodoma na kuonesha ukubwa wa idadi ya wafuasi wake walijipanga kutetea kiti Chao. Kadiri siku zilivyozidi kwenda utamu wa kampeni za chama tawala ulinoga kupita zilizotangulia.

Msingi wao mkubwa ulikuwa nyomi la watu na uwezo wa kufika vijijini zaidi. Tofauti na miaka yote mgombea wao amefika MAENEO mengi ya mijini zaidi kuliko vijijini ukilinganisha na 2015. Ukifanya SWOT Analysis utayaona haya:

Strength:
CCM huwezi kuitenganisha na Sola na pia huwezi kuitenganisha na serikali , na hapo ndipo utagundua kwa Nini NEC Ni watiifu Sana kwa CCM.

WEAKNESS
Kundi kubwa Lina wageni ambao sio wajuvi wa siasa za majukwaa na uwezo wa kubashiri yajayo kwa uyakinifu. Hii imewagharimu Sana kiasi hawajui kuwa mbaya wao Ni Seif sharrif Hamad au Tundu Lissu au ubovu wa kumsimamisha Mwinyi.
Si hivyo tu pia kushindwa kujua kuwa Kuivuruga CUF,CHADEMA na kununua wabunge wa upinzani ingelikuwa njia nyepesu ya wao kushinda Bila kupingwa au kushinda kwa kishindo kikubwa. Mpaka Sasa timu ya kampeni ya CCM imeshinda kuondoa udhaifu huu na unawagharimu kwenye field sababu kubwa walisahau kuwa upinzani Ni mioyo na hisia za watu na sio vyama. Hivyo mziki wa upinzani bado unagonga spika zao kwa Kasi Sana.

NGUVU YA UMMA
Inaonekana wazi LISSU na SEIF hawatanii hata kidogo jinsi walivyojipanga kutumia nguvu ya Umma. Kwa mwenye macho mapana .Umma haujawahi kushinda DHIDI ya watawala na Kama kweli basi hiki kitisho kikubwa Sana kwa CCM.


OPPORTUNITY
Fursa kubwa na ya pekee Ni kutumia Dola .

Pili mtaji wa fedha na rasilimali watu

TECHNICALLY
Hapa namaanisha MBINU za kiufundi za kushinda uchaguzi siku ya uchaguzi.
MBINU ya kwanza NEC,hii imewapa wabunge zaidi ya 20

NEC na CCM ni watu wamoja wanaongea lugha Moja pia wanaweza kwa hiyari tu Kuivuruga ngome ya wapinzani na matokeo Yao kwa sababu hawana pa kushtakiwa popote kwa kuwa wao wanatoa tamko la mwisho.(namaanisha wakurugenzi) na dalili zishaonekana tayari.

CHADEMA NA ACT

Wote kwa pamoja na wajadili Bila kuwatenganisha ili nihitimishe vizuri. Ni ukweli usiopingika kuwa Zambarau wameiteka Zanzibar na CDM wameiteka Tanganyika.
Ubora wa viongozi wao wakuu wawili MBOWE & SEIF SHARRIF HAMAD umejidhihirisha wazi kwenye uchaguzi huu kwa kuruka mamii ya vihunzi na kuilaghai serikali mchana kweupeeee.
Hebu nikurudishe nyuma kidogo, siku Maalim Seif alipokwenda ikulu kumsalimia Rais huku MBOWE akipambana kesi ya Akwilina. Kila mtu alijua Maalim ameunga juhudi mkono na shughuli anayo mwamba. Sasa ndio nang'amua kwamba kumbe Ile Ni MBINU ya kimedani ya kuwalaghai watawala waamini upo pamoja nao. Ile ndio siku ya USHINDI wa SEIF Kama ikitokea atashinda Zanzibar kesho kutwa.

Hisia zinaniambia kwamba mwamba na mwalimu waliwaingiza Chaka CCM na Membe wao huku wakijua wamemficha mfukoni Lissu.
Tuachane na hayo hebu tuwafanyie SWOT na wao wapoje.
STRENGTH

NGUVU YA UMMA
Umma umewaelewa Sana ACT &CHADEMA na ushahidi wa Watanzania kuwachangia pesa wahalifu wasiende jela badala yake walipiwe faini na warudi uraiani Ni ishara Tosha upo tayari kufanya lolote lenye kuwalinda Chadema kwa upande wa bara. Jambo Hili liliwatia kiwewe IKULU na kesho yake Rais aliamua kumlipia msigwa kuonesha Kwamba Rais Ana huruma na wapinzani. Kama watu walichanga dusko dusko namaanisha kiasi Cha 1k -10k kinyume chake hizi buku buku Ni idadi ya wapiga kura wa upinzani. Sasa kazi yako chukua kikokotoo halafu tafuta majibu Ni watu wangapi wanasapoti Chadema. Zenji siongei Kila mtu ameona NGUVU ya Maalim kaondoka na wanachama wake kwenda ACT so like amevimbisha msuli kwa mamlaka.


UWEZO WA KUNUSA HATARI

Tukio la Membe kuachwa kwenye mataa na hajielewi linathibitisha uwezo wa wapinzani KUNUSA HATARI.
Waliujua mtego wa CCM na wao wakatega wa kwao kwenda ikulu na kuleta picha kwamba Seif Ni mshkaji na MBOWE mkorofi kumbe Ni mtego wa Kumlinda LISSU na kunifanya Membe aonekane punguani asiyejua anataka nn.
Membe Ni ujio hatarishi kwa upinzani na Lissu anatafutwa na watesi wake asirudi kwenye siasa. Inaonesha wazi Kuna makubaliano kwamba ACT na CDM wote waingize wagombea ili mmoja akikatwa aungwe mkono mwingine na ndicho kinachoendelea Sasa.

Wanachama 9M according to MBOWE

WEAKNESS

Hawana Dola Wala serikali na hawajahi kushinda uchaguzi ngazi ya Rais

NEC haipo upande wao

UWEZO mdogo wa ulinzi na USALAMA wa viongozi wake, Ni rahisi kumteka au kumkata au kuzuia mkutano wa upinzani.

Ukosefu wa rasilimali fedha

OPPORTUNITY

MPASUKO wa CCM baada ya kura za MAONI. Huu Ni mtaji mkubwa Sana wa upinzani na dalili zimeonekana wazi Kanda ya ziwa na Zanzibar. Maamuzi ya Dodoma huenda yakawafanya CCM kupoteza majimbo 35-50 ya uchaguzi wasipotumia utemi.

KULINDA KURA VITUONI

Wakiwekeza NGUVU imara ya KULINDA KURA CCM hawana Chao. Naamini Lissu anamaanisha na ujumbe umewafikia walengwa. Wameanza kujibu maneno

MAKUNDI MAALUM YALIYOUMIZWA NA SERIKALI

Hapa nawaweka wahanga wote wa utawala wa awamu ya tano. Wafanyakazi hewa,waliobomolewa,waliotoswa walimu, wafanyakazi wa serikali, waliokosa mshahara n.k

Hawa Ni game changers watatoa USHINDI 5%-7% kwa Lissu sababu Wana maumivu Yao.

TECHNICALLY

MAANDAMANO YASIYO KIKOMO

ukifuatilia vizuri utagundua MBINU pekee ya wapinzani kuingia ikulu Ni MAANDAMANO YASIYO na KIKOMO. Hii ndio MBINU ya kiufundi yenye chanya na imewasaidi wapinzani wa nchi jirani kuingia na kushika serikali punde tu baada ya uchaguzi.

Hakuna serikali ya kiafrika imeyashinda MAANDAMANO YASIYO KIKOMO. Kiufundi wapinzani wako vyedi.

MATAMKO NA VITISHO VYA VIKWAZO

tangu wiki iliyopita mataifa makubwa yamekuwa na spidi ya MATAMKO na baru ya into kwa serikali ya Tanzania Ni wazi wapinzani kwenye MBINU hii wako mbali Sana. Yakitokea tusiyoyaomba wanatusua mapema.

Baaada ya mtazamo huo Sasa najikita kueleza kwa Nini Lissu 49% na Magufuli 47%.


Sympathy
Umaarufu wa Magufuli umeporomoka Sana baada ya kura za MAONI. Wakati huohuo umaarufu wa Chadema umekuwa mkubwa kupindukia sababu watu waliaminishwa kuwa upinzani umekufa na kinyume chake umekuwa zaidi kwa sababu ya huruma kuwa wanaonewa.
Kifungo Cha viongozi wa Chadema mwezi Machi kiliibua hisia za huruma kwa wananchi na kuamsha Ari ya huruma kwa wapinzani. Ujio wa Lissu umeikuza sympathy ya Chadema na ACT kwa pamoja na hivi tunavyoongea waliopewa kazi kushughulika na wapinzani wanalala na viatu.Hii itawapa kura sawa na 21%

Waislamu
Hapa Sina lengo la udini Ila hakuna asiyejua michango ya waislamu hapa bongo. Ujio wa sheikh Ponda Ni pigo kwa CCM na faida upinzani.

Sheikh ponda kashawagawa na Hili litawapa wapinzi USHINDI Zanzibar na pwani na mikoa ya kusini ambapo CCM imewakwaza kwa kiasi kikubwa kupitia korosho. Hili litapunguza 45% kwenye kura za waislam zilizotakiwa kwenda ccm

KOROSHO
sekeseke la korosho linaonekana Ni shida kubwa Sana kiasi Cha kuitikisa ngome ya CCM na hii ikikutana na impact ya ponda itawaumiza CCM zaidi na kuwanufaisha wapinzani.


Low turnover
Mwitiko mdogo wa wapiga kura siku ya uchaguzi, Ni pigo kingine kwa CCM na msaada kwa upinzani. Kuna uwezekano turn over ya wapiga kura ikawa watu 9M -11M

Hapa ndio kifo Cha CCM kinaanzia na hiili litawapunguzia 50% kura zote walizotarajia kupata kwenye uchaguzi huu.hii Ni faida kwa upinzani kwa sababu wao wanategemea sababu za hapo juu kupindua meza.

Common interest za Wazanzibar

Ikumbukwe watu wa visiwani wakitaka Lao hawashindwi licha ya utofauti wa vyama. Ni wazi CCM na ACT wote Lao Ni Moja ingawaje kwa nje wanashambuliana Jana kwamba wanapigana Vita ya 3 ya dunia. Seif anakwenda kushinda uchaguzi kwa sababu wazenji wote Wana ongozwa na common interest kuiona CCM Ni kikwazo kwao so best way Ni kumpa seif na sio Mwinyi.

Membe ATAPATA 1.1%
Lipumba & other 0.9%
Kuharibika kura 2%
Tutarajie mchuano mkali na matokeo ndio hayo hapo juu.

Karibuni kwa mjadalaa
Ni punguani pekee asiye fikiri kwa kina anayeweza dhani Tundu Lisu atamshinda JPM.

Hivyo tu
 
Mwaka huu CCM lazima watoke
Kuna makundi matatu tu yanayo jifanya hayamuelewi JPM japo yanamuelewa

1. Vyeti feki

2. Fisadi

3 wazembe kazini

Hawa toka wameondolewa wanajaribu kuzunguka mitandaoni JF na Twitter kuaminisha umma kua JPM hafai

WaTanzanka wengi tuna akili na wengine kama 85% hawajui Jamii forum na Twitter ni kitu gani na wanajua JPM amewapambani nini
 
Tuepuke personal attacks jikite kwenye SWOT Analysis.
Kama hawataki kura za wafanyakazi mbona Magu anahaidi nyongeza ya mshahara, Kama hataki wamachinga mbona wanasisitiza vitambulisho...... Sina Nia ya ushabiki natamani utushirikishe mawazo yaliyosahaulika Kanda kesho watu watamtaja mshindi Ni MAGUFULI kwa kutumia sababu nzito ambazo umeandika hapa.
Otherwise umeogopa mada
Mkuu personal attack hapo ziko wapi?
Makundi niliyoyataja yametajwa pia na mtoa mada kwa kuyabainisha kuwa yameumizwa na CCM na kwa misingi hiyo hayategemewi kuipigia kura CCM sasa shida iko wapi?
Inaelekea mmekalirishwa dhana ya SWOT na hamuelewi ni kitu gani-ila mwisho wa yote ni 28 ndo mtaona uhalisia na siyo SWOT analysis yenu hiyo.
 
Back
Top Bottom