Elections 2015 Uchambuzi wa ahadi za mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dr. John Pombe Magufuli

Elections 2015 Uchambuzi wa ahadi za mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dr. John Pombe Magufuli

Ahadi ni nyingi sana mpaka zingine tumesahau,lakini kamwambieni sisi tunamtaka Lowasa
 
Mgombea urais kupitia CCM, Dr John Magufuli amezidi kusisitiza kutengeneza mazingira rafiki kwa vijana ili kuboresha vipato vyao na kubadilisha hali zao za maisha kwa ujumla. Serikali yake itajitahidi kuwa karibu na vijana na kutatua changamoto zao kwa wakati.

Hatutaki neema ya magufuli tunataka ya lowassa ina baraka zaidi
 
Kweli kabisa mkuu vijana wanaojitambua wapo kwa magufuli, Duniani kote Mapinduzi na Mabadiliko ya kweli yaliletwa na "vichaa" waliojitoa kwa lolote lile yaani liwalo na liwe Edward Lowasa ni "kichaa", rejea watu kama Hugo Chavez, Che guevara, Fidel Castro, Aldof Hitler hawa wote walikuwa na vichaa.

Zumbukuku wewe
 
Hapa ni kimorali mbundimbundi kiroba asubuhi na mapemaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Ccm imewatelekeza vijana,,,Hasira zao watazionyesha oct 25 kwa kumchagua Lowasa kwa kishindo
 
Ni vizuri aendelee kutapatapa ili kudhirisha kuwa ni mfa maji. CCM leo ndio wanawakumbuka vijana? walikuwa wapi miaka yote?
 
Ccm imewatelekeza vijana,,,Hasira zao watazionyesha oct 25 kwa kumchagua Lowasa kwa kishindo

Nini nakwambia jiseme mwenyewe sio wote wengine hatuwezi kumpa nchi uchafu wa ccm, bora magufuli Mara 1000000000%
 
Ni vizuri aendelee kutapatapa ili kudhirisha kuwa ni mfa maji. CCM leo ndio wanawakumbuka vijana? walikuwa wapi miaka yote?
Kwa cdm na lowasa wake wamewafanyia nini vijana? Si bora hata magufuli amekuwa akiwapa vijana ajira kwenye miradi ya barabara ? Na tunaweza kuamini kuwa atatukumbuka
 
Mgombea urais kupitia CCM, Dr John Magufuli amezidi kusisitiza kutengeneza mazingira rafiki kwa vijana ili kuboresha vipato vyao na kubadilisha hali zao za maisha kwa ujumla. Serikali yake itajitahidi kuwa karibu na vijana na kutatua changamoto zao kwa wakati.

Mkuu Mimi kama sio kupata ajira kwenye miradi ya ujenzi wa barsbara nisingepata kibanda changu na slitutetea wakati tunataka kufukuzwa na wakandalasi kuwa hatuna sifa,
 
Back
Top Bottom