Elections 2015 Uchambuzi wa ahadi za mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dr. John Pombe Magufuli

Elections 2015 Uchambuzi wa ahadi za mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dr. John Pombe Magufuli

Kijana kuizungumzia ccm hii ni aibu sana,ukiachilia mbali kuichagua. Mikopo mashuleni kupata hadi damu zimwagike, leo wamejua vijana wanataka mabadiliko ccm wamekuja na nyimbo mpya, its too late, hapa ni ukawa tu.
 
Kijana kuizungumzia ccm hii ni aibu sana,ukiachilia mbali kuichagua. Mikopo mashuleni kupata hadi damu zimwagike, leo wamejua vijana wanataka mabadiliko ccm wamekuja na nyimbo mpya, its too late, hapa ni ukawa tu.

Teh teh Vijana hata kuvaa mavazi ya ccm wanaona aibu.. Lakini kuvaa mavazi ya Ukawa ni heshima
 
we babu toka lini ukawa kijana? Vijana wote wameshafanya maamuzi ya kumchagua Lowasa

Tafadhari usituseme tupo vijana tena tunaojitambua hatuwezi kuyapa makapi ya ccm nchi bora magufuli anayepimika kwa uadilifu kuriko machafu tangu enzi za baba wa taifa
 
Mkuu Mimi kama sio kupata ajira kwenye miradi ya ujenzi wa barsbara nisingepata kibanda changu na slitutetea wakati tunataka kufukuzwa na wakandalasi kuwa hatuna sifa,

teh teh ajira za wiki mbili malipo buku tano kwa siku..Subiri oct 25 uone ,Hakuna kijana atakaeipigia kura ccm..
 
Tafadhari usituseme tupo vijana tena tunaojitambua hatuwezi kuyapa makapi ya ccm nchi bora magufuli anayepimika kwa uadilifu kuriko machafu tangu enzi za baba wa taifa

Hata Lowasa akijitoa Vijana wote bora tupigie kura JIWE kuliko ccm.... TUNACHOTAKA VIJANA NI KUIONDOA CCM MADARAKANI..MWAKA HUU CCM IJIANDAE KUWA CHAMA CHA UPINZANI
 
Kijana kuizungumzia ccm hii ni aibu sana,ukiachilia mbali kuichagua. Mikopo mashuleni kupata hadi damu zimwagike, leo wamejua vijana wanataka mabadiliko ccm wamekuja na nyimbo mpya, its too late, hapa ni ukawa tu.

Upeo wako unaweza kuwa mdogo..inaonekana unasubili vya bure #hapa kazi tu
 
Mods nawaomba sana msiondoe uzi huu


Mh. Benjamin Mkapa akiwa viwanja vya jangwani lisema naomba kunukuu "wote wanaotaka mabadiliko ni wapumbavu na malofa"

Sitaki kuamini kama Magufuli na timu yao ya kampeni wamesahau maneno haya maana kwa hivi sasa magufuli anahubiri kuleta mabadiliko na wamchague yeye maana yeye ni Magufuli For Change(M4C)

Hivyo tusisite kumwita magufuli ni mpumbavu na lofa

Nilikuwa na wakumbusha tu na karibu kwa mjadala
 
Toa ujinga wako hapa,Mkapa hakusema hivyo bali alisema "WANAOJIDAI WAO NI CHAMA CHA UKOMBOZI KWAMBA NI WAPUMBAVU MALOFA"
 
Mkapa hakuwa mwembe yanga na hakutamka hayo maneno ya mabadiliko.

lofa ni lofa tu
Kweli hata huyu aliyeleta hii thread ni bonge la lofa,yaani anaoneka hana informations za ukweli,wakati huo huo anatumia internet,jamani hata kugoogle kashindwa?kama siyo upu mbavu na ulofa ni nini?
 
hayo maneno hakuyasema mwembeyanga naona hujitambui kijana na aliekuagiza na yeye mwenyewe ni lofa na mpumbavu
 
Toa ujinga wako hapa,Mkapa hakusema hivyo bali alisema "WANAOJIDAI WAO NI CHAMA CHA UKOMBOZI KWAMBA NI WAPUMBAVU MALOFA"

mkuu mweleweshe taratibu wengine masikio yana makengeza na virusi hupokea vitu kinyume
 
mods nawaomba sana msiondoe uzi huu


mh. Benjamin mkapa akiwa mwembe yanga alisema naomba kunukuu "wote wanaotaka mabadiliko ni wapumbavu na malofa"

sitaki kuamini kama magufuli na timu yao ya kampeni wamesahau maneno haya maana kwa hivi sasa magufuli anahubiri kuleta mabadiliko na wamchague yeye maana yeye ni magufuli for change(m4c)

hivyo tusisite kumwita magufuli ni mpumbavu na lofa

nilikuwa na wakumbusha tu na karibu kwa mjadala
hujui unachokiandika sina haja ya kukuelimisha kwa sababu inawezekana ww ni majinuni unae fyata tuu bila kujua unafyata nn,hivi kauli ya mh mkapa inasema hivyo?
 
hujui unachokiandika sina haja ya kukuelimisha kwa sababu inawezekana ww ni majinuni unae fyata tuu bila kujua unafyata nn,hivi kauli ya mh mkapa inasema hivyo?

hujielewi na magufuli wako ushafungwa akili na umekuwa tutusa
 
mods nawaomba sana msiondoe uzi huu


mh. Benjamin mkapa akiwa mwembe yanga alisema naomba kunukuu "wote wanaotaka mabadiliko ni wapumbavu na malofa"

sitaki kuamini kama magufuli na timu yao ya kampeni wamesahau maneno haya maana kwa hivi sasa magufuli anahubiri kuleta mabadiliko na wamchague yeye maana yeye ni magufuli for change(m4c)

hivyo tusisite kumwita magufuli ni mpumbavu na lofa

nilikuwa na wakumbusha tu na karibu kwa mjadala
sina kawaida ya kutukana lakini kwa hili wacha niseme kuwa wewe ni mpumbavu uliyekubuhu kwa kuwa hata uwanja alikoyasemea hayo mkapa huyajui maana ilikuwa jangwani na sio mwembe yanga halafu hivi wewe hujui kuwa mgombea wenu hafai hata kuwa katibu kata?
Mpumbavu mkubwa wee
 
Mtakuja na sentensi nyingi sana za kukejeli ilaa mwisho wa siku mtaisoma numba nyie malofa na wapumbavu ambao wengi wa vijana wa ukawa hamna sera wala point
 
Back
Top Bottom