Elections 2015 Uchambuzi wa ahadi za mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dr. John Pombe Magufuli

Elections 2015 Uchambuzi wa ahadi za mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dr. John Pombe Magufuli

"CCM mkitaka #KURA yangu semeni ukweli nani anahusika na hizi tuhuma? na wahusika wamechukuliwa hatua gani?
-Katiba pendekezwa nani aliyaondoa maoni ya wananchi ambayo yalikuwepo kwenye rasimu ya Warioba?
-Mabehewa feki
-Kiwira
-Richmond
-Epa
-Escrow
-Epa
-Dowans
-IPTL
-NET GROUP SOLUTIONS
-Usafirishaji wa wanyama nje ya nchi mfano twiga alipandaje ndege?
-Biashara ya pembe za ndovu
-Biashara ya madawa ya kulevya
-Meremeta
-Mikataba ya gesi na mafuta
-Uuzwaji wa nyumba za serikali
Nahitaji majibu ya hayo maswali siyo porojo tu.
 
"CCM mkitaka #KURA yangu semeni ukweli nani anahusika na hizi tuhuma? na wahusika wamechukuliwa hatua gani?
-Katiba pendekezwa nani aliyaondoa maoni ya wananchi ambayo yalikuwepo kwenye rasimu ya Warioba?
-Mabehewa feki
-Kiwira
-Richmond
-Epa
-Escrow
-Epa
-Dowans
-IPTL
-NET GROUP SOLUTIONS
-Usafirishaji wa wanyama nje ya nchi mfano twiga alipandaje ndege?
-Biashara ya pembe za ndovu
-Biashara ya madawa ya kulevya
-Meremeta
-Mikataba ya gesi na mafuta
-Uuzwaji wa nyumba za serikali
Nahitaji majibu ya hayo maswali siyo porojo tuuuuu.
 
Kwa hiyo Mgombea mwenza ANavyo ahidi kujenga hospitali kubwa na ya kisasa kibamba na vifaa vya kisasa, wakati temeke, mwananymala la ilala hukuna hata sindano ni ahadi safi
laptop kwa kila mwalimu ni ahadi safi..?!
Ccm wamechanganyikiwa..alafu alianzisha chandimu kakimbia
 
Ndiyo uzuri wa magufuli hataki kuahidi ahadi hewa hata kidogo ahadi hewa anazo Lowasa ambaye anaahidi mpaka kuachiwa wafungwa waliolawiti watoto.
 
Kwa hiyo Mgombea mwenza ANavyo ahidi kujenga hospitali kubwa na ya kisasa kibamba na vifaa vya kisasa, wakati temeke, mwananymala la ilala hukuna hata sindano ni ahadi safi
laptop kwa kila mwalimu ni ahadi safi..?!
Ccm wamechanganyikiwa..alafu alianzisha chandimu kakimbia
Halafu wewe siku ukirudi tanzania tunakutia nyavuni uliiba vifaa vya hospital ukakimbia siku ukija kesi yako tunaifufua.
 
Magufuli hafanyi siasa yeye kazi tu uongo na uzushi kwa Lowasa na ukawa yao.
 
Magufuli ameanza kumtusi boss wake kabla hajavuka mto.
 
"CCM mkitaka #KURA yangu semeni ukweli nani anahusika na hizi tuhuma? na wahusika wamechukuliwa hatua gani?
-Katiba pendekezwa nani aliyaondoa maoni ya wananchi ambayo yalikuwepo kwenye rasimu ya Warioba?
-Mabehewa feki
-Kiwira
-Richmond
-Epa
-Escrow
-Epa
-Dowans
-IPTL
-NET GROUP SOLUTIONS
-Usafirishaji wa wanyama nje ya nchi mfano twiga alipandaje ndege?
-Biashara ya pembe za ndovu
-Biashara ya madawa ya kulevya
-Meremeta
-Mikataba ya gesi na mafuta
-Uuzwaji wa nyumba za serikali
Nahitaji majibu ya hayo maswali siyo porojo tu.
Lowassa ana majibu ya yafuatayo;
- kukwama kwa Katiba
- EPA
- Richmond
- Dowans
- Dawa za kulevya
- Mikataba ya gesi na mafuta
- Meremeta...masha pia ataongezea
- uuzwaji wa nyumba...sumaye aliiongelea waziri mkuu wakati huo
 
Kwa hiyo anatuthibitishia kwamba jamaa yake likuwa na ahadi hewa nyingi? Hivi yeye aliyeahidi kutoa 50m kwa kila kijiji haoni kwamba hii ni ahadi hewa? Juzi hapa baada ya kubanwa na maswali kwenye mitandao ya kijamaa akabadilika tena akasema kila Kata badala ya Kijiji. In short, Magufuli hatakaa awe Rais mzuri hata kidogo na haya makosa kama tutayafanya yatatugharimu sana kwa hicho kipindi cha miaka mitano.
 
Yaani Lowasa anawafanya wa TZ wajinga.

Hiyo elimu ya bure kuanzia shule za awali hadi Chuo kikuu????
Mweee!!! Kweli mzee wetu ni MSANII.

HAPA NI KAZI TU!!

Queen Esther

Ndiyo uzuri wa magufuli hataki kuahidi ahadi hewa hata kidogo ahadi hewa anazo Lowasa ambaye anaahidi mpaka kuachiwa wafungwa waliolawiti watoto.
 
Nimesikiliza kwa makini hotuba za Mgombea wa ccm bwana Magufuli, kwa mtazamo wangu anadanganya watanzania kwani anayoahidi hayataweza kutokea kwa tanzania hii ndani ya miaka 5 ijayo.
Alisema atajenga barabara sita kwenda dar morogoro, hili mimi haliingii akilini, kwa miaka 50 wameshindwa kujenga njia mbili tu sasa hizo sita itakuwaje, watazipitisha wapi.
kila kata kupewa milioni 50 za kukopeshana kina mama, kweli????????? Fedha anazipata wapi wakati shule kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha nne ni bure, mishahara tu kulipa ni tabu
viwanda vikubwa na vidogo. Vilivyopo hata vile vya viberiti wameshindwa. Miti ipo ya kutosha lakini tunanunua viberiti china na india,
Vifaa vya ujenzi kushuka bei, anasahau kikwete alitoa ahadi hii kwa watanzania, na baada ya kupewa kura aligoma kushusha bei. Amesahau? Au anaona watanzania hatuna kumbukumbu.
Magufuli anajulikana kwa kuwa mnyenyekevu wakati wa kuomba ila akishapata anakuwa na majibu ya nyodo na jeuri. Kwenye bajeti anavyoomba fedha za barabara anakuwa mpole sana na mwenye maneno matamu sana. Nakumbuka mwaka 2013 aliomba fedha za barabara ya kidhawe Kasulu kwa kiwango cha lami, aliomba kwa unyenyekevu sana na maneno matamu sana, fungu likapitishwa sasa wakati anakuja kutoa mrejesho kwenye kikao cha bajeti kilichofuata baada ya kuulizwa na Moses Machali alijibu kinyozi anauamuzi wa kuchagua aanzie wapi kunyoa nywele, mbele au nyuma au pembeni hivyo kaamua kuanza kujenga kuanzia nyakanazi. Alitoa jibu hili kwa nyodo sana, na ubaya hata hiyo barabara haikujengwa nyakanazi, fedha sijui zilienda wapi.
Hizi ahadi zake nna wasiwasi nazo. Ni za kudanganya
 
Hao hawana jipya. Nibwajonga tu watadanganyika. Miaka 50 wameshindwabndanivya miaka 5 waweze!? Haiingii akilini kwa mtu mwenye akili.
 
Ahadi hii sikumbuk aliitoa nani na mwaka gani 'Tanga litakuwa jiji la viwanda'
CC Kipilipili
 
Last edited by a moderator:
Tuseme ukweli. Lowasa anafahamu ukweli kuwa hatashinda na ndiyo maana nimeona kwenye TV leo akiwa Kanisani jana jumapili akiwaomba waumini wa KKKT wamuombee sana na kwa sababu eti hakujawahi kutokea Rais wa Tanzania Mrutheli na akataja Nyerere Mkatoliki,,Mwinyi Muislam, Mkapa Mkatoliki na Kikwete Muislamu. Nilisikitika sana kwa kweli. Sikutegemea kama tumefika huko Tayari. Maana yake kashindwa sasa keshaanza kugawa watu kwa dini zao. Hatari
 
Amesikika Kwa Kusistiza Kuwa Ataunda Baraza Dogo La Mawaziri Lakin Hao Mawaziri Hatawafumbia Macho Eti Anayesema Mambo Yako Kwenye Mchakato Atfte Pa Kuchakatia, Nadhan Baraza Lake La Mawazir Kwa Mawazo Yangu
1. Waziri Mkuu, William Lukuvi
2. Ujenz Na Uchukuz Mwakyembe
3.Fedha , Mwigulu Nchemba
4. Utalii, Khamis Kagashek
5. Elimu Michezo Na Sanaa, Nchimbi Kwa Kuteuliwa
6. Mambo Ya Nje, Diodorus Kamala
7. Mambo Ya Ndan, Deo Kunjombe
8, Sheria Na Katiba, Migiro Kuteuliwa
9. Nishat Na Madin, Sospeter Mhuongo
10. Sayansi Mawasiliano Na Techn, Yusuph Makamba
11. Jinsia Na Watoto, Atateuliwa
12. Viwanda Kilimo Na Biashara, Atateuliwa Aliye Makin
13, Afya, Husein Mwinyi
14. Elimu Ya Juu Na Ajira, Anna Tibaijuka, Au Kigwangalla,
15.Wizara Ya Maadili Na Kushughulikia Rushwa, Makongoro Nyerere,

Spika Wa Bunge Mussa Zungu Wa Ilala, Uo Ni Mtazamo Juu Ya Baraza Dogo La Mawaziri Kumi Na Watano Tu, Na Wawajibikaji, NAWE TOA MAONI YAKO
 
Back
Top Bottom