TangaNyika_TZ
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 239
- 52
Na hao Home Shopping Centre ndio wafadhili wake wakubwa katika kampeni zake
Jamaa wa HSC si alimwagiwa tindikali kipindi fulani???? :mad2::mad2:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hao Home Shopping Centre ndio wafadhili wake wakubwa katika kampeni zake
Jamaa wa HSC si alimwagiwa tindikali kipindi fulani???? :mad2::mad2:
nimemsikia huyu mgombea wa CCM akijinadi kuwa atajenga viwanda , ataboresha maslahi ya wafanyakazi hivi kweli yatafanyika kweli
magufuli anaongea blah blah tu
Mfumo atakao ukuta utamkwamisha kama wale walioahidi maisha bora kwa kila mtz
Na Vipi Kuhusu Huyo Mgombea Wenu Aliyewaahidi Kuwajengeeni NYUMBA Watanzania Je Huko MONDULI Maisha Ya Ndugu Zake Wamasai Yana Tofauti Gani Na Ya Wale WAKIMBIZI Wa NYARUGUSU Kwa Shida Na Tabu Wanazozipata? Mwambie Ajitahidi Kwanza Kuwasaidia Nduguze WAMASAI Wajifunze Kuoga, Kutotoa Harufu Utadhani Mzoga Wa Panya Huku Yale MASHUKA Yao Wanayopenda Kujitanda Yakiwa Yamejaa KUNGUNI Tu Na Muda Mwingine KUPE.
yani huyu hata asipotujengea night poa tu hata akiwa na degedege ni poa tu hata akiwa fisad ni poa hata asipotuletea maendeleo ni poa tu ndie Huyo Huyo bora yeye kuliko ccmNa Vipi Kuhusu Huyo Mgombea Wenu Aliyewaahidi Kuwajengeeni NYUMBA Watanzania Je Huko MONDULI Maisha Ya Ndugu Zake Wamasai Yana Tofauti Gani Na Ya Wale WAKIMBIZI Wa NYARUGUSU Kwa Shida Na Tabu Wanazozipata? Mwambie Ajitahidi Kwanza Kuwasaidia Nduguze WAMASAI Wajifunze Kuoga, Kutotoa Harufu Utadhani Mzoga Wa Panya Huku Yale MASHUKA Yao Wanayopenda Kujitanda Yakiwa Yamejaa KUNGUNI Tu Na Muda Mwingine KUPE.
Kuboresha maslahi ya wafanyakazi ni kazi ya kila serikali. JK kafanya kazi yake na itaendelezwa na Magufuli
nimemsikia huyu mgombea wa CCM akijinadi kuwa atajenga viwanda , ataboresha maslahi ya wafanyakazi hivi kweli yatafanyika kweli
Magufuli si tu anaahidi bali anatenda