Elections 2015 Uchambuzi wa ahadi za mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dr. John Pombe Magufuli

Elections 2015 Uchambuzi wa ahadi za mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dr. John Pombe Magufuli

We Need A Change,mambo ya porojo za CCM tuzipuuze kbs.
 
Ila huyu mgombea mapadlock kwa kumwaga ahadi tu atampiku jk!
 
Magufuli Rais wa tano wa jamhuri ya muungano wa Tanzania anasubiri kuapishwa.
 
Ila huyu mgombea mapadlock kwa kumwaga ahadi tu atampiku jk!
Mkuu magufuli ni kiongozi bora kabisa kuwahi kutokea katika taifa letu mafisadi watanyooka tu atasaidia sana maendeleo ya Taifa hili.
 
Magufuli Rais wa tano wa jamhuri ya muungano wa Tanzania anasubiri kuapishwa.


Hili jina la Pombe sio lako mbona unalikana kwa kutolitumia? Ikiwa jina ulalikimbia au unapata uvivu wa kulitumia wapumbavu na malofa si utawazika?
 
Magufuli mwenyewe anaonekana kuchanganyikiwa eti anawaambia watu wasitake mabadiliko ya haraka. waige eti China hawakubadilisha chama lakini bado wameendelea. Inabidi Magufuli aongee lugha ya mabadiliko. eti anashangaa kwa nini tembo wanauawa! Si akamwulize CCM na kinana? Huko Arusha ndio kabisa wamejkata tama. Mwenyekiti wa ccm Longido anamwambia Mama Salma waziwazi kabisa tutachagua wabunge wa ccm lakini urais tutampa ukawa! Du!halfu agaeti yoe ynazungumzia Ukawa ni Lowasa tu!

Sorc Magazet ya leo.

mapadlock kazi anayo juzi juzi alikuwa kalambo wananchi wakasimamisha msafara wake si akajua yes wananchi wamenitunuku hawa! la haula lakwata si ndo wakampa makavu live kwamba kuna daraja liko hoi kwnye maeneo yao na je anatoa kauli gani mzee wa watu hoi walimataiti kweli kweli mwisho wa siku ikawa yale yale ahadi!

Then akaenda sehemu nyingine akajaribu kumnadi mgombea ubunge wa ccm si wanaccm wakaguna sasa! akaanza kuwabembeleza jamani mpigien tu huyu huyu wanaccm wakamwambie ah wapi hatumtaki

Mama Samia Suluhu naye yanamkuta huko anakopita!

kama CCM ina wanachama ml 7 kama wanavyodai (japo idadi hii nayo sidhani kama sahihi kwa hali ilivyo sasa) na waliojiandikisha kupiga kura ni ml 23 na kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2012 hali likuwa kama ifuatavyo

idadi ya watu wenye umri wa miaka 60 na zaidi ambao ni wazee ni milioni 2.5 sawa na asilimia 5.6

kwa kila watu 10 wa Tanzania, wanne ni vijana ambao umri wao ni kati ya miaka 15 na 35. Idadi ya kundi hilo ni asilimia 35 ambao idadi yao ni milioni 16


asilimia 44 ni wenye umri wa chini ya miaka 15

Basi ccm ina kazi kubwa sana ya kufanya ili waweze kushinda!

Tatizo kubwa la ccm hawataki kwenda na wakati wanatumia mbinu zilezile, mikakati ileile, watu walewale lakini bado wanategemea matokeo MAKUBWA tarehe 25. Oktoba!!!!!!!!!!!!!
 
Nawapongeza sana wote ambao walau wana muda wa kufatilia hizo magufuli....mie nilishachoka hata kutaja lijina la lichama lake la majizi
 
SERA YA ELIMU na AFYA:

Mimi niseme kidogo juu ya nini watafanya CCM kama ilivyo ktk ilani yao ya 2015 - 2020 katika sekta za elimu na afya pamoja na uongo na makelele anayoendelea kupiga mgombea wao Bwana Magufuli.

ELIMU:

Magufuli anasema [ana ahidi] kuwa ataboresha elimu hususani kwa kutoa mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu kwa wakati (!!!??), kutoa elimu bure ya msingi na sekondari hadi kidato cha nne. Kuboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia kwa walimu na wanafunzi kwa kujenga madarasa, maabara na nyumba za walimu na pia kununua madawati. Mwisho anaahidi kuwa ataboresha maslahi kwa maana ya mishahara ya walimu!!

Mimi ktk eneo hili hebu niwaulize wanaCCM mliopo humu pamoja na mgombea wenu wa urais bwana Pombe

Kwamba mnajua na mko aware kuwa walimu wa nchi hii kupitia chama chao cha walimu (CWT) kimetoa "ultimatum" kwa serikali hiihii aliyomo Magufuli ya mwezi mmoja kuwa ilipe madeni yao ya malimbikizo ya mishahara, uhamisho, masomo, likizo nk yanayokadiriwa kufikia bilioni 70 nchi nzima?? Anajua kweli azungumzacho au anapiga kelele tu huyu??

Hivi utawezaje kuahidi jambo/kitu kipya iwapo cha zamani hujakitekeleza? Ni uwendawazimu, upumbavu au ulofa?

Hebu toeni jibu ktk hili kabla ya kuwafanya walimu wa nchi hii wajinga na mapoyoyo!!

Kuhusu kuboresha miundo mbinu ya madarasa, nyumba za walimu na maabara.

Hivi Magufuli na wana CCM wa kwenye mitandao mnafahamu kuwa wakati Edward Lowassa alipokuwa PM wenu alisimamia vyema sana hili na kabla hajaamua kuachia ngazi aliacha miundo mbinu ya madarasa, nyumba za walimu na maabara zikiwa ktk hatua mbalimbali za ujenzi?

Mnajua kuwa Mara baada ya jamaa kuondoka ni kama aliondoka na mpango mzima huo?

Mnajua kuwa mpaka leo hii majengo hayo ambayo ni maboma sehemu nyingi tangu wakati huo (2008) hakuna kilichoendelea na sasa mengine yanabomoka?

Mnajua kuwa katika mpango huu, Sera ilikuwa wananchi waibue mradi au waanzishe ujenzi hadi boma la jengo lisimame na serikali imalizie hatua inayofuata (kupaua, kupiga ripu, rangi na kuweka vifaa vya ndani kama ni darasa basi madawati, maabara - vifaa vya maabara)? Fedha za kazi hii ziko wapi, zilienda wapi?

Mnafikiri Ni kwa nini hata Kikwete mwishoni kwa mwaka Jana alipoibuka na ujenzi wa maabara ktk shule zote za Kata bila kuwa na bajeti wananchi wa maeneo mengi walikuwa reluctant, waligoma kuunga mkono mradi huo?

Jibu ni kuwa walishagundua kuwa serikali ya CCM ni ya waongo na mafisadi


Sasa tuambieni mgombea wenu anajua Na kulitambua hili kweli?

Kwa nini anatoa ahadi zilezile tena? Tafadhali tupeni kwanza mrejesho wa mlichotekeleza ktk yale mliyotuaahidi tangu mwaka 2005 na si kutufanya wajinga!!

Nitarejea kwa sekta ya afya....
 
Ikiwa ni siku kadhaa sasa tangu CCM izindue kampeni zake za urais, mpaka sasa sijasikia ndugu Magufuli akizungumzia, au hata kutaja tu kuhusu marekebisho ya mikataba mibovu ya madini.
Tanzania ndio nchi pekee duniani ambayo ina mikataba mibovu mno ya madini, hivyo madini yote 'yanaliwa' na wawekezaji kupitia mikataba hiyo mibuvu sana.
Mpaka sasa CCM wako kimya, kana kwamba mikataba hiyo ni mizuri sana.
Hii inatia shaka sana haswa tukijua kuwa Tanzania iko mbioni kusaini mikataba mipya ya gesi ma mafuta.
Kwa maana hiyo, hata mikataba ya gesi na mafuta itakuwa mibovu pia.
CCM na makada wake watoe ufafanuzi hapa ili tujue kama wana uthubutu wa kuwatetea watanzania ili watanzania wafaidike na utajiri wa nchi yao.
Nawasilisha.
 
nakumbuka anayemaliza muda wake pia alitamka atafumua mikataba yote mibovu ya madini sijui iliishia wapi
 
Wapi wajamaa wa CCM...
Ilani yenu inasemaje kuhusu mikataba mibovu ya madini..??
Vipi mikataba hiyo inaendelea 'kupeta' tu...!!
Lizaboni
Simiyu Yetu
Ritz.
 
Last edited by a moderator:
Magufuli hana huo ubavu wa kushughulikia mafisadi kwani ndio waliompa hiyo nafasi na wanaompigia kampeni na wanaopanga kuiba kura kwa manufaa yake.
1: Magufuli atamfunga fisadi Mkapa aliyejimilikisha Kiwira?
2: Magufuli atathubutu kumfunga fisadi Ridhiwani mwenye hisa Tanzanite na aliyejimilikisha UDA kwa mgongo wa mtu mwingine?
3: Magufuli atathubutu kumshughulikia mwenye Home Shopping Center anayekwepa mamilioni ya kodi kila siku kwa kushirikiana na familia ya Kikwete?
 
Magufuli hana huo ubavu wa kushughulikia mafisadi kwani ndio waliompa hiyo nafasi na wanaompigia kampeni na wanaopanga kuiba kura kwa manufaa yake.
1: Magufuli atamfunga fisadi Mkapa aliyejimilikisha Kiwira?
2: Magufuli atathubutu kumfunga fisadi Ridhiwani mwenye hisa Tanzanite na aliyejimilikisha UDA kwa mgongo wa mtu mwingine?
3: Magufuli atathubutu kumshughulikia mwenye Home Shopping Center anayekwepa mamilioni ya kodi kila siku kwa kushirikiana na familia ya Kikwete?

[h=1]FISADI OF THE DAY : RIDHWANI KIKWETE……..[/h] Mange 106 Comments Aug 28,2015 Uncategorized
IMG_0451.JPG
Tukiongelea viongozi wabovu na waliojilimbikizia utajiri Ridhwani Kikwete hakosekani……Na ndo alikuwa mmoja wa wabunge waliopigia debe shut up law Ili watufunge midomo wananchi……. Naomba kwa Mungu asije Kuwa waziri ……. Naamini Magufuli atawakomesha lakini……. Huyu dogo ameinyonya nchi kuliko unavyoelewa…..
Alafu nawashangaa wanaoniita kigeugeu. Kigeugeu nishawahi Kuhama Chama? Yes nipo CCM na pia nitaongelea kiongozi Mbovu hata Kama ni wa CCM….
Huyu dogo ni shareholder wa the biggest Tanzanite company innTanzania , tanzanite one. Aliepewa Dili la UDA ni kivuli Tu….GO FIGURE…kuna sehemu pale town Imekuwa cleared out sehemu kubwaaaa sana wanaporosha sijui mjengo Gani. Yani mautajiri ya hii familia ni kuliko:… Yani naomba nisiingie hata kwenye issue ya wachina kupewa dili la mafuta na wamarekani kugeukwa na JK… Jk atapita nchi zote akiaga ila sidhani kama ataenda kuagana na OBAMA …lol…
Magufuli kasema ataweka na mahakama ya kudeal na mafisadi, angeanza na Ridhwani , baba yake ana immunity so hawezi guswa ila Ridhwani asiachwe kwa kweli…..
Uwiii ikitokea Magufuli akampa Ridhwani uwaziri itabidi taifa tufanye msiba aiseeee maana ile hope yooote ya Magufuli kutondolea mafisadi itaondoka ghafla…Ila na mwiminia Magufuli hatocheka na kima aisee….
U-turn Blog | u turn blog

 
Halafu jamaa ni msanii kuloko hata Kikwete. Eti anawaambia polisi wasiwe wanyonge kwa majambazi... wakati anajua kabisa hawalipwi vizuri na wala hawana vifaa vya kutosha
 
mmmhh kituko kingine, mahakama ya kulipa visasi kwa wabaya wenu sawa.
 
Back
Top Bottom