Elections 2015 Uchambuzi wa ahadi za mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dr. John Pombe Magufuli

Elections 2015 Uchambuzi wa ahadi za mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dr. John Pombe Magufuli

Dr NDIO CHAGUO LA WENGI, vipaumbele vyake vyote vinatekelezeka ikiwa ni pamoja na hilo la uboreshaji wa huduma za afya.
 
Eti Leo anashangaa barabara kutoisha mapema.Duh wanasiasa bwana ni wanafiki sana.Eti na yeye anamuogopa Mungu wakwti kunavidosho kavipa nyumba za umma na kuwajengea maghorofa.
 
Wakati yeye anaahidi kupambana na rushwa,Samia anawaagiza wapigakura wakiletewa pesa za uchaguzi wachukue ila kura wasiwape
 
Maajabu ya karne; mtu ndani ya serikali yake na ujikosoaji. Kazi ipo...!
 
Na kuna watu walikua wanashangilia wakati akitoa hizi ahadi. Kweli Tanzania bado Kazi ipo
 
Najiuliza Magufuli atakuwa raisi wa barabara peke yake?

Nimekuwa nikimfatilia kwa muda naona amekuwa akiaidi barabara peke yake.

Wana CCM wenzangu tumsutue mgombea wetu ajirekebishe kwenye kampeni zake.
 
hukusikia ahadi zake jangwani?. alizungumzia sekta zote au na wewe ni miongoni mwa m.a.l.o.fa
 
Katika kile kinachowezwa kuelezwa kama jambo la kushangaza na kusikitisha wengi wanachama wengi wa ccm kila kona kuanzia ngazi ya shina mpaka taifa badala ya kunadi sera zao wanamchafua Lowassa.

Tangazeni sera zenu.Tangazeni habari zenu kama wanavyofanya timu Lowassa.Miongoni mwa mambo yanayosikitisha sana ni haya:
1. Hoja ya Afya. Kila mtu ameumbwa na Mungu na sote tutarudi kwa Mungu. Niaibu tena sana kutumia afya ya mtu kwa lengo la kumchafua.Wewe unayejiona mzima leo kesho unaweza kuwa mochwari ni yule unayemuona mgonjwa akahudhuria mazishi yako huku akijikaza kwa maumivu aliyo nayo.

2. Ufisadi. Ni aibu mno. Wizi wa nchi hii haufai kusema hata Magufuli kwenye kampeni anashangaa. Hela za mradi zimetolewa mradi haujaisha.Dawa hospitalini hakuna phamasi zipo.Tena anashangaa meno ya tembo kukamatwa uswisisi.Anashangaa twiga kupanda ndege.Na anaahidi kushughulikia hawa watu.Je Anasema nipeni ridhaa niwashughulikie.Kwa maneno mengine huyu kashindwa kuwashughulikia.Nani wanashughulikiwa watawala wa sasa ambao ni nani ccm.Hakuna shaka yoyote tuna ccm maslahi na ccm ya Watanzania.
 
Hakuna sababu ya serikali ya ccm kuendelea kuongoza nchi hii,ukimsikiliza magufulu unaweza ukadhani labda yuko upinzani,kumbe ccm,kila kitu analalamika na kushangaa,watanzania amkeni ccm ndio inastahili lawama hizo na hivyo iadhibiwe 25/9 mapemaaa
 
Kutoka gazeti la UHURU(27/08/2015-ukurasa wa nne):

1......, asema asikari waliokonda hawali rushwa (kwa maneno mengine walonenepa wanakula rushwa)

2.........hajawahi kukemewa, kujiuzulu wala kufukuzwa kazi (hata pale alipotaka kuvunja tanesco ubungu alipongezwa kweli?)
 
watanzania hatuhitaji kuambiwa Sera tunahitaji majibu kwa nini sukari imepanda? kwanini umasikini umekithiri? kwanini ufisadi umezidi? kwanini hatunufaiki na raslimali zetu? kwanini elimu yetu imezorota? kwanini rushwa imezidi nchini?
 
watanzania hatuhitaji kuambiwa Sera tunahitaji majibu kwa nini sukari imepanda? kwanini umasikini umekithiri? kwanini ufisadi umezidi? kwanini hatunufaiki na raslimali zetu? kwanini elimu yetu imezorota? kwanini rushwa imezidi nchini?

kweli wewe ni nyumbu hata elimu unayotaka majibu hauijui,chama chako 29/kinazindua nini majibi ya kuandamana maana hakuna walichokifanya au ilani?
pili magufuli alishawai kuwa waziri wa elimu?
kama hauna cha kuleta humu basi ficha ujinga wako,unawazalilisha wanzako

 
watanzania hatuhitaji kuambiwa Sera tunahitaji majibu kwa nini sukari imepanda? kwanini umasikini umekithiri? kwanini ufisadi umezidi? kwanini hatunufaiki na raslimali zetu? kwanini elimu yetu imezorota? kwanini rushwa imezidi nchini?

Tunataka kuambiwa mchakato mzima wa kuuza nyumba za serikali na jinsi atakavyozirejesha. Aidha, tunataka kujua wezi waliochukua fedha stanbic na jinsi watakavyowajibishwa.
 
katika kile kinachowezwa kuelezwa kama jambo la kushangaza na kusikitisha wengi wanachama wengi wa ccm kila kona kuanzia ngazi ya shina mpaka taifa badala ya kunadi sera zao wanamchafua lowassa.

Tangazeni sera zenu.tangazeni habari zenu kama wanavyofanya timu lowassa.miongoni mwa mambo yanayosikitisha sana ni haya:
1. Hoja ya afya. Kila mtu ameumbwa na mungu na sote tutarudi kwa mungu. Niaibu tena sana kutumia afya ya mtu kwa lengo la kumchafua.wewe unayejiona mzima leo kesho unaweza kuwa mochwari ni yule unayemuona mgonjwa akahudhuria mazishi yako huku akijikaza kwa maumivu aliyo nayo.

2. Ufisadi. Ni aibu mno. Wizi wa nchi hii haufai kusema hata magufuli kwenye kampeni anashangaa. Hela za mradi zimetolewa mradi haujaisha.dawa hospitalini hakuna phamasi zipo.tena anashangaa meno ya tembo kukamatwa uswisisi.anashangaa twiga kupanda ndege.na anaahidi kushughulikia hawa watu.je anasema nipeni ridhaa niwashughulikie.kwa maneno mengine huyu kashindwa kuwashughulikia.nani wanashughulikiwa watawala wa sasa ambao ni nani ccm.hakuna shaka yoyote tuna ccm maslahi na ccm ya watanzania.

sasa watangaze sera gani? Labda matusi,mipasho na vijembe tu. Ccm hawana tena sera za kumsaidia mtanzania.
 
Ndugu Watanzania, dalili ya mvua ni mawingu hivyo basi kuna kila dalili kwa zaidi ya 99% Dr Magufuli ameshashinda uchaguzi wa Tanzania kwa kishindo baada ya kufanya kampeni katika Mikoa 4 tu.

Ndugu Watanzania, naomba muorodheshe na mtaje viupambele ambavyo mnataka Rais Wetu Mchapakazi Dr Magufuli alifanyie Taifa letu Tanzania kuwa huru kutoa maoni yako, hata kama kama wewe ni peoples power toa maoni yako ya yatafanyiwa kazi kwani sisi hatubagui chama kwani HAPA ni KAZI TU.
 
Ndugu Watanzania, dalili ya mvua ni mawingu hivyo basi kuna kila dalili kwa zaidi ya 99% Dr Magufuli ameshashinda uchaguzi wa Tanzania kwa kishindo baada ya kufanya kampeni katika Mikoa 4 tu.

Ndugu Watanzania, naomba muorodheshe na mtaje viupambele ambavyo mnataka Rais Wetu Mchapakazi Dr Magufuli alifanyie Taifa letu Tanzania kuwa huru kutoa maoni yako, hata kama kama wewe ni peoples power toa maoni yako ya yatafanyiwa kazi kwani sisi hatubagui chama kwani HAPA ni KAZI TU.

Ameshinda au atashinda? Tukuorodheshee wewe kama nani?
 
Back
Top Bottom