Wenye uelewa watanielewa mara moja..!!
Magufuli hayuko sawa... IQ yake ni ndogo sana... i proved this...!!! Anasema asiyoyajua, anayajua asiyo yasema..!!
IQ ya MAGUFULI, is ABNORMAL..!!!!
1: Nitawafunga wafisadi wote... haaaa... so hata boss wake wa sasa, Mkapa, Chenge, Ngeleja, Tibaijuka, MAGUFULI, etc... ataweza..? pure joke.. Mbona sasa anawanadi mafisadi hao akina Chenge, Tibaijuka, Ngeleja..? Hajui anasema nn na anatenda nn, so ATAJIFUNGA NA YEYE..? huyo ndio Magufuli...IQ yake is ABNORMAL..
2: Nitajenga kila kijiji ZAHANATI... wee acha uongo..huwezi hili..?
3: Nitatoa kila kijiji mil 50... IQ ya Magufuli is ABNORMAL... u can't do this, let's bet..!!!
4: Kila MKOA nitajenga HOSPITAL YA RUFAA KUBWA KUBWA... plz, Magufuli plz... stop this, huwezi..!!!
5: Kila mwalimu nitampa laptop, kuboresha elimu, UR OFF TRACK...laptop haziboreshi elimu... omg..!!!
6: Tanzania ya MAGUFULI itakuwa ya VIWANDA, kila kona ya nchi... JE HAJUI CCM ndio IMEUA VIWANDA..? Hata yeye anashangaa hilo... he is not serious...!!
7: Dawa kukosekana hospitalini, na kupatikana ktk pharmacies nearby hospitals, clinics, ANASHANGAA SANAA, as if hagombei CCM...!!
8: Anasema, ataifumua CCM na SERIKALI... kwa ukali kabisa... sasa hapa ndio kichekesho, so ATAJIFUMUA NA YEYE..? He is core part of CCM.. so anaishtaki CCM na yeye kwa WANANCHI...he is ABNORMAL..!!
9: Atafuta misamaha yote ya WABUNGE... lol..!! Hii ina tija kweli..? Au anaongea tu kupata kura..?
10: Wanafunzi wanakaa chini, ANASHANGAA, anasema atakufa na mtu...miti imejaa, kwani for 54 yrs ni CHAMA GANI KILIKUWA MADARAKANI..?
Is he speaking as an OUTSIDER...?
11: Anasema ANACHUKIA SANA UKABILA, hapo hapo akiwa Chato, dakika chache tu AKAANZA KUONGEA KILUGHAAAAAA WEEE, akarudia tenaa na tenaaa anaomba kura... huo sio UKABILAAAAA... Is he Ok..?
IQ ya Magufuli is ABNORMAL...!!
12: Saddam wa Libya mnamjua..? watu eeehh... sorry Saddam wa kulee Kuwait na Gadaffi wa Iraq walitaka mabadiliko, mnaona kilitokea nn, ACHENI MSIFANYE MABADILIKO MTAJUTA.... dakika chache tena hapo hapo... NAFAHAMU WATANZANIA WANATAKA MABADILIKO... MM NDIO NITALETA MABADILIKO... hayaaaaa mamaaaaa... totally confused, hayuko sawa.. si umesema wasifanye MABADILIKO...?😨😨😠😠 mmh.. omg..!!
13: M4C ni MAGUFULI for CHANGE....👇👇 Sasa hapa ndio nikamaliza ANALYSIS YANGU...and PROOF beyond any doubts...kuwa IQ ya MAGUFULI is ABNORMAL...!!!
Ooooh dear.. noo..noo.. something, somewhere, is wrong Mr. Magufuli...!!
Ni mtu wa kukurupuka na HASIRA sana, these are signs of the WEAKEST manager not even to be called a LEADER..!!
Kwa MFUMO wa CCM, Magufuli si chochote, si lolote, HAWEZI FANYA CHOCHOTE...hata yeye anajua hilo wazi wazi, basi tu anajikaza KISABUNI...!!!
In short, ukimsikiliza anachoongea, HUWEZI muamini kabisa ukilingalisha na hali HALISI iliyopo...!!!
IQ ya Magufuli is ABNORMAL...!!! I proved this...!!!