Iko hivi kwa mujibu wa kanuni za mpira TFF
Mwenye mamlaka ya kufuta mchezo ni Meneja wa uwanja pamoja meneja wa mchezo kanuni zinaeleza.
Mnamo tarehe 7 jioni hawa wote hawakuwa na taarifa kuhusu ujio wa wageni SIMBA katika uwanja kwa ajili ya mazoezi kama kanuni hii inavyosomeka
Timu ngeni itafanya mazoezi kwenye uwanja wa mechi angalau mara moja
kabla ya siku ya mechi katika muda tarajiwa wa mchezo husika. Sababu
zozote za kukwamisha timu mgeni kukidhi ipasavyo au kupata haki hii
zitathibitishwa kwanza na Kamishna wa mchezo."
Pamoja na jitihada za uongozi wa simba kuwatafta na kufika eneo la uwanja (Meneja wa mchezo) Bado alithibitisha kwamba hana taarifa na kutokuruhusu milango ifunguliwe.
kwa mujibu wa kanuni meneja wa kiwanja na meneja wa mchezo wanaruhusiwa kuzuia mchezo usifanyike kwasababu zozote ambazo wataona zinafaa!
Kuzuia utekelezwaji wa takwa la kinanuni timu ngeni kufanya mazoezi ni moja ya sababu ya kuzuia mchezo halisi!
Bodi ya ligi iombe report kutoka kwa meneja wa uwanja ili sababu yoyote iliyopelekea kuwazuia simba ikibainika imetatuliwa basi mechi ipangiwe kuchezwa tarehe nyingine.
Mwenye makosa katika hili siyo SIMBA wala si YANGA bali ni Wasimamizi wa sheria za uwanja ndiyo waliofuta mchezo huu.
Mwenye mamlaka ya kufuta mchezo ni Meneja wa uwanja pamoja meneja wa mchezo kanuni zinaeleza.
Mnamo tarehe 7 jioni hawa wote hawakuwa na taarifa kuhusu ujio wa wageni SIMBA katika uwanja kwa ajili ya mazoezi kama kanuni hii inavyosomeka
Timu ngeni itafanya mazoezi kwenye uwanja wa mechi angalau mara moja
kabla ya siku ya mechi katika muda tarajiwa wa mchezo husika. Sababu
zozote za kukwamisha timu mgeni kukidhi ipasavyo au kupata haki hii
zitathibitishwa kwanza na Kamishna wa mchezo."
Pamoja na jitihada za uongozi wa simba kuwatafta na kufika eneo la uwanja (Meneja wa mchezo) Bado alithibitisha kwamba hana taarifa na kutokuruhusu milango ifunguliwe.
kwa mujibu wa kanuni meneja wa kiwanja na meneja wa mchezo wanaruhusiwa kuzuia mchezo usifanyike kwasababu zozote ambazo wataona zinafaa!
Kuzuia utekelezwaji wa takwa la kinanuni timu ngeni kufanya mazoezi ni moja ya sababu ya kuzuia mchezo halisi!
Bodi ya ligi iombe report kutoka kwa meneja wa uwanja ili sababu yoyote iliyopelekea kuwazuia simba ikibainika imetatuliwa basi mechi ipangiwe kuchezwa tarehe nyingine.
Mwenye makosa katika hili siyo SIMBA wala si YANGA bali ni Wasimamizi wa sheria za uwanja ndiyo waliofuta mchezo huu.