Uchambuzi wa kisheria; Mchezo wa Simba dhidi ya Yanga Umefutika kuchezwa kwa mujibu wa kikanuni

Uchambuzi wa kisheria; Mchezo wa Simba dhidi ya Yanga Umefutika kuchezwa kwa mujibu wa kikanuni

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Iko hivi kwa mujibu wa kanuni za mpira TFF

Mwenye mamlaka ya kufuta mchezo ni Meneja wa uwanja pamoja meneja wa mchezo kanuni zinaeleza.

Mnamo tarehe 7 jioni hawa wote hawakuwa na taarifa kuhusu ujio wa wageni SIMBA katika uwanja kwa ajili ya mazoezi kama kanuni hii inavyosomeka
Timu ngeni itafanya mazoezi kwenye uwanja wa mechi angalau mara moja
kabla ya siku ya mechi katika muda tarajiwa wa mchezo husika. Sababu
zozote za kukwamisha timu mgeni kukidhi ipasavyo au kupata haki hii

zitathibitishwa kwanza na Kamishna wa mchezo."

Pamoja na jitihada za uongozi wa simba kuwatafta na kufika eneo la uwanja (Meneja wa mchezo) Bado alithibitisha kwamba hana taarifa na kutokuruhusu milango ifunguliwe.

kwa mujibu wa kanuni meneja wa kiwanja na meneja wa mchezo wanaruhusiwa kuzuia mchezo usifanyike kwasababu zozote ambazo wataona zinafaa!

Kuzuia utekelezwaji wa takwa la kinanuni timu ngeni kufanya mazoezi ni moja ya sababu ya kuzuia mchezo halisi!

Bodi ya ligi iombe report kutoka kwa meneja wa uwanja ili sababu yoyote iliyopelekea kuwazuia simba ikibainika imetatuliwa basi mechi ipangiwe kuchezwa tarehe nyingine.

Mwenye makosa katika hili siyo SIMBA wala si YANGA bali ni Wasimamizi wa sheria za uwanja ndiyo waliofuta mchezo huu.
 
Na huku kwetu TANESCO wameshakata Umeme kabisa muende uwanjan
 
Tatizo tff inawabeba Sana Hawa mapacha Simba na yanga wanajiona wako juu ya sheria, yanga nao wametoa taarifa kua game isipochezwa Leo hawatakua tayari kuja kucheza siku nyingine tena, ngoja tuone mwisho wake
 
Tatizo tff inawabeba Sana Hawa mapacha Simba na yanga wanajiona wako juu ya sheria, yanga nao wametoa taarifa kua game isipochezwa Leo hawatakua tayari kuja kucheza siku nyingine tena, ngoja tuone mwisho wake
Wale wametoa hiyo kauli ili kulinda fedha za kingilio wasije kudaiwa...
 
Tatizo tff inawabeba Sana Hawa mapacha Simba na yanga wanajiona wako juu ya sheria, yanga nao wametoa taarifa kua game isipochezwa Leo hawatakua tayari kuja kucheza siku nyingine tena, ngoja tuone mwisho wake
Ni mwendo wa kuvimbiana tu, bora tuendelee kufuatilia soka la Ulaya tu si kwa ujinga huu unaofanywa na wasimamizi wa mpira wa miguu na viwanja nchini.
 
Iko hivi kwa mujibu wa kanuni za mpira TFF

Mwenye mamlaka ya kufuta mchezo ni Meneja wa uwanja pamoja meneja wa mchezo kanuni zinaeleza.

Mnamo tarehe 7 jioni hawa wote hawakuwa na taarifa kuhusu ujio wa wageni SIMBA katika uwanja kwa ajili ya mazoezi kama kanuni hii inavyosomeka
Timu ngeni itafanya mazoezi kwenye uwanja wa mechi angalau mara moja
kabla ya siku ya mechi katika muda tarajiwa wa mchezo husika. Sababu
zozote za kukwamisha timu mgeni kukidhi ipasavyo au kupata haki hii

zitathibitishwa kwanza na Kamishna wa mchezo."

Pamoja na jitihada za uongozi wa simba kuwatafta na kufika eneo la uwanja (Meneja wa mchezo) Bado alithibitisha kwamba hana taarifa na kutokuruhusu milango ifunguliwe.

kwa mujibu wa kanuni meneja wa kiwanja na meneja wa mchezo wanaruhusiwa kuzuia mchezo usifanyike kwasababu zozote ambazo wataona zinafaa!

Kuzuia utekelezwaji wa takwa la kinanuni timu ngeni kufanya mazoezi ni moja ya sababu ya kuzuia mchezo halisi!

Bodi ya ligi iombe report kutoka kwa meneja wa uwanja ili sababu yoyote iliyopelekea kuwazuia simba ikibainika imetatuliwa basi mechi ipangiwe kuchezwa tarehe nyingine.

Mwenye makosa katika hili siyo SIMBA wala si YANGA bali ni Wasimamizi wa sheria za uwanja ndiyo waliofuta mchezo huu.
Viongozi wa Tz wanawajua Watanzania ni watu wa aina ipi,
Kilichotokea huenda nyuma yake ni kufanya propaganda za kuwafanya Watanzania wasijadili vitu vya msingi,
Bali kwa wiki kadhaa zitumike kujadili kilichotokea baina ya Yanga na Simba.
 
Hakuna mechi TFF wametoa tamko
Weka uthibitisho wa hilo tamko la TFF hapa jukwaani. Kwa sababu kuna watu wametoka Mikoani wametumia fedha zao ili kuja kuushuhudia huu mchezo.

Na wakati huo huo Yanga wamewaambia mashabiki wao kujitokeza kama kawaida kuja kushuhudia huo mchezo! Kwa hiyo msituchezee shere tafadhali.
 
Back
Top Bottom