Uchambuzi wa Mkataba wa kuendesha bandari ya Dar es Salaam kati ya Tanzania na Dubai

Wakati mwingine naumia wakati mwingine Naona Ni sawa. Maana wazawa wakipewa hawawezi endesha. Ni upigaji na fitina kwa waagiza mizigo ambao fulani anauuza. Yaani mtu akawahonga ukija mwingine na mzigo Kama unapigwa Kodi so utauza Bei ya juu mwenzako anauza ya chini so anashika soko.
Pia waafrika nadhani uchumi tuwachie hao jamaa weupe. Cheki sauzi wazungu walibaki cheki iko juu kiuchumi. Mugabe akafukuza wazungu cheki kilichotokea.
Angalia Angola huko raisi na mwanae binti wakaibia nchi utajiri wote.
Mifano Ni mingi tukianza kuchambua. Waza hata reli,tanesco ,atcl tumeshashindwa. Hii nchi ama afrika yote ilitakiwa iwe na akina jpm,Sankara,gadafi,sokoine,etc ili isonge mbele tukishakuwa na maendeleo ndio turuhusu demokrasia hata wanaotaka kuolewa waolewe wawe gay okay. Watu wanadhani maendeleo yanakuja kiulaini kwa kubembelezana. Rudi huko nyuma hata USA , German,France,Spain,Russia,China Kuna watu walikufa waliuwa so wapo walipo na ndio Mana ukienda kwao wanakucheki ulivyoshindwa kujenga kwako
 
Huu mkataba unaiingiza rasmi Tanzania kwenye biashara za Kimataifa.

Wenye uelewa wa biashara za Kimataifa watalielewa hilo.


Mamvunbu wa biashara mtabaki bandari imeuzwa, imeuzwa. Imeuzwa kupelekwa wapi?

Genge la Msoga kama kawaida yenu...

Kipara hii dhambi itakutafuna Sana

Hii deal tangu last year ishakuwa matured

Kipara kama kipara... Unaupiga Mwingi Sana....
 
Genge la Msoga kama kawaida yenu

Kipara hii dhabi itakutafuna Sana

Hii deal tangu last year ishakuwa matured

Kipara kama kipara... Unaupiga Mwingi Sana....
Hilo lisikupe shida, toka mama alipoenda Dubai lilikuwa tayari.


Halihusishi Bandari ya Dar tu. Bandari zote na mifumo yake.


Nyinyi kaeni mnalalamika bandari inapoteza mapato kila kukicha. Mama kapata Mwarubaini wake.

Ndanib ya miezi mitatu toka wakiabidhiwa rasmi tutaona bandari inavyo kuza uchumi wetu.
 
Buriani bandari, buriani TRA, buriani TPA bila kusahau usalama wa nchi yetu. Tumeuzwa mchana kweupeee
 
Kwa maana hiyo huu mkataba haupishani sana na ule kati ya Mangungu wa Msowero na Wajerumani
Historia Ina tabia ya kujirudia hasa wanaoisoma wakiiita SoMo la kike🤣🤣🤣🤣
Nchi inauzwa mbele ya macho yetu siye wasomi uchwara😭
 
Weka mkataba kamili mbona unaweka vipande vipande tu?
 
Huu mkataba unaiingiza rasmi Tanzania kwenye biashara za Kimataifa.

Wenye uelewa wa biashara za Kimataifa watalielewa hilo.


Mambumbumbu wa biashara mtabaki bandari imeuzwa, imeuzwa.

Imeuzwa kupelekwa wapi?
Uzeni pote maana mmepata wasaa wakutawala wajinga watanzania. Wataandamana siku wakisikia Simba au Yanga zimeuzwa sio bandari wala mbuga za wanyama.
 
Mnaingizwa mkenge na nketa mada na nyinyi mnauvaa kichwa kichwa, Mleta mada ameleta vipande tu vya mkataba na kuwalisha maoni yake.

Aweke mkataba kamili.

Huyu ni wale wale tu, kina ndugai na bashiru.
Umesoma mkataba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…