Rogojin The Idiot
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 2,969
- 3,392
Mlisema anaupiga mwingi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha udini we ajuza.Unamtetea mtu eti kisa Muislam na wale waarabu.Ungekuwa karibu yangu ningekuzaba vibao.Mnainguzwa mjenge. Na. Mleta mada aliyeleta vipande tu vya mkataba na kuwalisha maoni yake.
Aweke mkataba kamili.
Huyu ni wale wale tu, kina ndugai na bashiru.
Watu wamerukia article ya 23 kuhusu termination wakaacha articles za awali kuhusu jinsi miradi iliopo kwenye makubaliano itakavoendeshwa.Mnainguzwa mjenge. Na. Mleta mada aliyeleta vipande tu vya mkataba na kuwalisha maoni yake.
Aweke mkataba kamili.
Huyu ni wale wale tu, kina ndugai na bashiru.
Hawa wabunge "viazi ulaya vya CCM" walioko Dodoma wana akili kweli za kuweza kusoma na kuyaona au wanakwenda kesema tu " ndiyooooooo upite?"Mkataba Kati ya Serikali ya Tanzania na kampuni ya DPW ya Emirates Dubai umeacha maswali mengi na kuamsha hisia za kudai Katiba mpya kwa nguvu zote...
Hata kama hajaleta vyote hivi alivyoleta tu vinafanya hata hivyo alivyoacha visiwe na maana yoyote ni kupakana mafuta kwa mgongo wa chupaMnainguzwa mjenge. Na. Mleta mada aliyeleta vipande tu vya mkataba na kuwalisha maoni yake.
Aweke mkataba kamili.
Huyu ni wale wale tu, kina ndugai na bashiru.
Raisi na yeye anasaini bila kusoma?Waliokuwa wanaingia haya si wapo? Kwani Mwanasheria Mkuu wa Serikali hakutoa Ushauri wa kisheria?
Hao walioingia huu mkataba walijiridhisha na Nchi zingine ndivyo mikataba Yao Iko?
Mwisho kwani hii mikataba Huwa Watzn wanaoambatana na Rais Huwa hawasomi kabla ya kumshauri Rais kusaini?
Naona umekosa hoja umekimbilia kwenye dini.Acha udini we ajuza.Unamtetea mtu eti kisa Muislam na wale waarabu.Ungekuwa karibu yangu ningekuzaba vibao.
FaizaFoxy siku zote legal document huwa ni ngumu kuielewa. Ili uielewe inakubidi utulize akili.Huu mkataba unaiingiza rasmi Tanzania kwenye biashara za Kimataifa.
Wenye uelewa wa biashara za Kimataifa watalielewa hilo...
Acha mzaha Rais anaweza soma mavifungu yote hayo yenye lugha za kisheria ,hata akisoma ataelewa? Hata wewe hapo kama sio Mwanasheria hakuna unachoelewa,Ndio maana kuna wasaidizi..Raisi na yeye anasaini bila kusoma?
Sahihi kbs ✔️Huu mkataba unaiingiza rasmi Tanzania kwenye biashara za Kimataifa.
Wenye uelewa wa biashara za Kimataifa watalielewa hilo.
Mambumbumbu wa biashara mtabaki bandari imeuzwa, imeuzwa.
Imeuzwa kupelekwa wapi?