Uchambuzi wa point za Simba kwa miaka mitano iliyopita kimataifa na harakati za Yanga kumpita

Uchambuzi wa point za Simba kwa miaka mitano iliyopita kimataifa na harakati za Yanga kumpita

Mimi huwa napenda sana namba na hesabu

Kwani hazidanganyi, haziongopi wala hazipendelei

Jinsi Simba alivyojizolea point 35 katika msimamo wa vilabu bora Afrika

1) Msimu wa 2018/2019 aliishia robo fainali Klabu Bingwa hivyo akajizolea point zake 3

2) Msimu wa 2019/2020 alipata point 0

Sijui alikuwa na shida gani

3) Msimu wa 2020/2021 aliishia robo fainali hivyo akajizolea point zake 3

4) Msimu wa 2021/2022 aliiangukia shirikisho akajipatia point zake 2 baada ya kubondwa na yeye kwa hasira akaamua kuchoma kiwanja moto kwa hasira

5) Msimu wa 2022/2023 aliingia robo fainali na akajizolea point zake 3

Ebu sasa tuzidishe hizi point tufunge hesabu ya kiwasibu

3×1,0×2,3×3,2×4, na 3×5 jumla yake 35

Sasa kwa misimu yooote mitano huko nyuma mnyama ana point zake 35 akiwa nafasi ya 9

Haya ni matumizi mabaya ya muda aisee

Miaka mitano point 35 du!

Sasa tumuuone Yanga anayekuja kwa kasi ya kimbunga

1) Msimu wa 2018/2019 alipata point 0

2) Msimu wa 2019/2020 alipata point 0

3) Msimu wa 2020/2021 alipata point 0

4) Msimu wa 2021/2022 alipata point 0

5) Msimu wa 2022/2023 alipata point 4 kwa kuingia fainali ya kombe la shirikisho

Yaani msimu mmoja point 20,duh!

Sasa haya ndo matumizi bora ya muda

Huyu sasa ndo aliitumia likizo yake vizuri (in Paul Makonda's voice)

Ebu sasa tuzidishe hizi point tupate hesabu ya kiwasibu
0x1,0x2,0x3,0×4 na 4x5 jumla yake 20

Wakuu ukiangalia hesabu hizo utaona kuwa yanga kapata karibu 2/3 ya point za Simba kwa msimu mmoja tu kwa kuingia fainali ya shirikisho

Pigia mstari neno msimu mmoja tu

Regardless ya kutokuonekana kwenye soka la kimatiifa Afika tangu miaka ya tisini huko,haya ni mafanikio makubwa

Simba anachotakiwa kuomba ni Yanga aishie makundi tu na yeye Simba atinge nusu fainali au fainali kabisa ili kujiongezea point na aweze hama toka top ten hadi top five na kama haitoshi apande toka pot 2 hadi pot 1

Kinyume na hapo atalia

Iwapo Yanga atavuka robo fainali na Simba akaishia robo kama kawaida yake basi kilio kitasikika Msimbazi

Simba waombe Yanga asifike nusu fainali au fainali kabisa

Kila mtu apambane na hali yake

Kama kuna masahihisho,nyongeza au ushauri karibu
View attachment 2795437
#Mpira bila ya Mbereko Inawezekana
Bila Simba Yanga angepata hiyo nafasi ya kujikusanyia hizo point.

Aliyekuwezesha unamdharau.

Vitoto vya mwaka 2000 mkishajua kuandika Ni Basi usumbufu.
 
Bila Simba Yanga angepata hiyo nafasi ya kujikusanyia hizo point.

Aliyekuwezesha unamdharau.

Vitoto vya mwaka 2000 mkishajua kuandika Ni Basi usumbufu.
Mwaka ambao Yanga alifika fainali shirikisho bingwa wa msimu wa nyuma yake lihi kuu Tanzania bara alikuwa nani?
 
Mafanikio makubwa yapi ya kombe la looser ambalo al ahly hajawahi kucheza hata fainali.
Screenshot_20231028-204856_Chrome.jpg

Muwe mnagoogle kabla ya kuandika uongo
 
Points zipo sahihi...ila Kadri miaka inavyozidi kwenda kizidishio hakibaki kuwa kilekile points 20 msimu unaokuja zitapungua kubaki 16 bila kujumlisha za mwaka huu ambazo zitapatikana
Sawa mkuu
 
Mimi huwa napenda sana namba na hesabu

Kwani hazidanganyi, haziongopi wala hazipendelei

Jinsi Simba alivyojizolea point 35 katika msimamo wa vilabu bora Afrika

1) Msimu wa 2018/2019 aliishia robo fainali Klabu Bingwa hivyo akajizolea point zake 3

2) Msimu wa 2019/2020 alipata point 0

Sijui alikuwa na shida gani

3) Msimu wa 2020/2021 aliishia robo fainali hivyo akajizolea point zake 3

4) Msimu wa 2021/2022 aliiangukia shirikisho akajipatia point zake 2 baada ya kubondwa na yeye kwa hasira akaamua kuchoma kiwanja moto kwa hasira

5) Msimu wa 2022/2023 aliingia robo fainali na akajizolea point zake 3

Ebu sasa tuzidishe hizi point tufunge hesabu ya kiwasibu

3×1,0×2,3×3,2×4, na 3×5 jumla yake 35

Sasa kwa misimu yooote mitano huko nyuma mnyama ana point zake 35 akiwa nafasi ya 9

Haya ni matumizi mabaya ya muda aisee

Miaka mitano point 35 du!

Sasa tumuuone Yanga anayekuja kwa kasi ya kimbunga

1) Msimu wa 2018/2019 alipata point 0

2) Msimu wa 2019/2020 alipata point 0

3) Msimu wa 2020/2021 alipata point 0

4) Msimu wa 2021/2022 alipata point 0

5) Msimu wa 2022/2023 alipata point 4 kwa kuingia fainali ya kombe la shirikisho

Yaani msimu mmoja point 20,duh!

Sasa haya ndo matumizi bora ya muda

Huyu sasa ndo aliitumia likizo yake vizuri (in Paul Makonda's voice)

Ebu sasa tuzidishe hizi point tupate hesabu ya kiwasibu
0x1,0x2,0x3,0×4 na 4x5 jumla yake 20

Wakuu ukiangalia hesabu hizo utaona kuwa yanga kapata karibu 2/3 ya point za Simba kwa msimu mmoja tu kwa kuingia fainali ya shirikisho

Pigia mstari neno msimu mmoja tu

Regardless ya kutokuonekana kwenye soka la kimatiifa Afika tangu miaka ya tisini huko,haya ni mafanikio makubwa

Simba anachotakiwa kuomba ni Yanga aishie makundi tu na yeye Simba atinge nusu fainali au fainali kabisa ili kujiongezea point na aweze hama toka top ten hadi top five na kama haitoshi apande toka pot 2 hadi pot 1

Kinyume na hapo atalia

Iwapo Yanga atavuka robo fainali na Simba akaishia robo kama kawaida yake basi kilio kitasikika Msimbazi

Simba waombe Yanga asifike nusu fainali au fainali kabisa

Kila mtu apambane na hali yake

Kama kuna masahihisho,nyongeza au ushauri karibu
View attachment 2795437
#Mpira bila ya Mbereko Inawezekana
Usichojua ni kua mwakani Simba ataanza hivi
1) Msimu wa 2019/2020 alipata point 0x5
= 0

2) Msimu wa 2020/2021 aliishia robo fainali hivyo akajizolea point zake 3
3x2= 6

3) Msimu wa 2021/2022 aliiangukia shirikisho akajipatia point zake 2
2x3=6

4) Msimu wa 2022/2023 aliingia robo fainali na akajizolea point zake 3
3x4 =12

Jumla hapo ukiacha msimu huu ni
0+6+6+12 =24

Yanga nae ukiacha msimu huu ataanza kama ifuatavyo

1) Msimu wa 2019/2020 alipata point 0

2) Msimu wa 2020/2021 alipata point 0

3) Msimu wa 2021/2022 alipata point 0

4) Msimu wa 2022/2023 alipata point 4 kwa kuingia fainali ya kombe la shirikisho
4x4 =16

Kwa hiyo Simba na Yanga wakiishia hatua sawa kwenye makundi basi Simba anakua juu ya yanga Kwa zaidi (tofauti) ya points 24-16= 8.

Wote wawili mfano wakiingia robo watajiongezea points 3 ambazo zitakua 3x5 = 15 Kila mmoja.
 
Usichojua ni kua mwakani Simba ataanza hivi
1) Msimu wa 2019/2020 alipata point 0x5
= 0

2) Msimu wa 2020/2021 aliishia robo fainali hivyo akajizolea point zake 3
3x2= 6

3) Msimu wa 2021/2022 aliiangukia shirikisho akajipatia point zake 2
2x3=6

4) Msimu wa 2022/2023 aliingia robo fainali na akajizolea point zake 3
3x4 =12

Jumla hapo ukiacha msimu huu ni
0+6+6+12 =24

Yanga nae ukiacha msimu huu ataanza kama ifuatavyo

1) Msimu wa 2019/2020 alipata point 0

2) Msimu wa 2020/2021 alipata point 0

3) Msimu wa 2021/2022 alipata point 0

4) Msimu wa 2022/2023 alipata point 4 kwa kuingia fainali ya kombe la shirikisho
4x4 =16

Kwa hiyo Simba na Yanga wakiishia hatua sawa kwenye makundi basi Simba anakua juu ya yanga Kwa zaidi (tofauti) ya points 24-16= 8.

Wote wawili mfano wakiingia robo watajiongezea points 3 ambazo zitakua 3x5 = 15 Kila mmoja.
Nashukuru kwa ufafanuzi na elimu hii

Umeniongezea kitu
 
Back
Top Bottom