Uchawa kwa DP World umemlipa Maulid Kitenge? Naona kavuta ndinga

Uchawa kwa DP World umemlipa Maulid Kitenge? Naona kavuta ndinga

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
6,067
Reaction score
10,938
Nimekutana na picha ya ndinga ikiwa na jina la KITENGE, nikakumbuka siku za hivi karibuni Maulid Kitenge alikuwa busy kuipigia upatu kampuni ya DP World kuwekeza nchini. Akiwa na wenzake wawili Zembwela na Hando waliweza kusafiri mpaka Dubai ziliko ofisi kuu za kampuni hii.

Je, uchawa umewalipa mpaka kuvuta ndinga hii?

IMG_20230707_184510_265.jpg
 
Sasa Bora kujipatia chako tu maana hata wakiwekeza wanufaika wakuu ni wao viongozi na familia zao.
 
Hata msukuma alshapata nae akawekewa jina kwenye plate no. daadek!! Uchawa unapay mbayambovu
 
1688752431012.png
1688752431012.png

Nadhani maelezo yanatosha kuonesha umuhimu wa wenzetu upande wa pili. Nadhani DP World ni baba lao
 
Back
Top Bottom