johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kuli: Yana Mwisho
Mwandishi: Adam Shaffi
Mwandishi: Adam Shaffi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa stahili hii tutauzwa..Nimekutana na picha ya ndinga ikiwa na jina la KITENGE, nikakumbuka siku za hivi karibuni Maulid Kitenge alikuwa busy kuipigia upatu kampuni ya DP World kuwekeza nchini. Akiwa na wenzake wawili Zembwela na Hando waliweza kusafiri mpaka Dubai ziliko ofisi kuu za kampuni hii.
Je, uchawa umewalipa mpaka kuvuta ndinga hii?
View attachment 2681203
Nimekutana na picha ya ndinga ikiwa na jina la KITENGE, nikakumbuka siku za hivi karibuni Maulid Kitenge alikuwa busy kuipigia upatu kampuni ya DP World kuwekeza nchini. Akiwa na wenzake wawili Zembwela na Hando waliweza kusafiri mpaka Dubai ziliko ofisi kuu za kampuni hii.
Je, uchawa umewalipa mpaka kuvuta ndinga hii?
View attachment 2681203
Wamelipwa zaidi ya hayo unayoyaonaNimekutana na picha ya ndinga ikiwa na jina la KITENGE, nikakumbuka siku za hivi karibuni Maulid Kitenge alikuwa busy kuipigia upatu kampuni ya DP World kuwekeza nchini. Akiwa na wenzake wawili Zembwela na Hando waliweza kusafiri mpaka Dubai ziliko ofisi kuu za kampuni hii.
Je, uchawa umewalipa mpaka kuvuta ndinga hii?
View attachment 2681203
Tafadhali nifikishie Taarifa kwa Maulid Kktenge kuwa pamoja na Kujifaragua kote huku, kwenda Marekani na UAE na kula Bata ila Nyumba yao aliyozaliwa na Kukulia iliyoko Uwanja wa Uhuru inatazamana na Geti la Mahakama ya Temeke inakaribia Kuanguka / Kubomoka, Kenchi zineachia, Tandabui wamezaliana, Vumbi limekubali huku Ndugu zake walioko hadi na Majirani wanamshangaa mno.Nimekutana na picha ya ndinga ikiwa na jina la KITENGE, nikakumbuka siku za hivi karibuni Maulid Kitenge alikuwa busy kuipigia upatu kampuni ya DP World kuwekeza nchini. Akiwa na wenzake wawili Zembwela na Hando waliweza kusafiri mpaka Dubai ziliko ofisi kuu za kampuni hii.
Je, uchawa umewalipa mpaka kuvuta ndinga hii?
View attachment 2681203
Ndo maana nakupenda.Endelea kushabikia mkuu....kula nyama meza...nchi haijawahi kuwa yetu toka kitambo...hawajaanza Hawa tunaowalaumu
Hii itakuwa hela ya NgorongoroNimekutana na picha ya ndinga ikiwa na jina la KITENGE, nikakumbuka siku za hivi karibuni Maulid Kitenge alikuwa busy kuipigia upatu kampuni ya DP World kuwekeza nchini. Akiwa na wenzake wawili Zembwela na Hando waliweza kusafiri mpaka Dubai ziliko ofisi kuu za kampuni hii.
Je, uchawa umewalipa mpaka kuvuta ndinga hii?
View attachment 2681203
Manara, stevenyerere na Zembwela wamefanyia nini hela walizopewa?Hata msukuma alshapata nae akawekewa jina kwenye plate no. daadek!! Uchawa unapay mbayambovu
Ma shaa Allah.Nimekutana na picha ya ndinga ikiwa na jina la KITENGE, nikakumbuka siku za hivi karibuni Maulid Kitenge alikuwa busy kuipigia upatu kampuni ya DP World kuwekeza nchini. Akiwa na wenzake wawili Zembwela na Hando waliweza kusafiri mpaka Dubai ziliko ofisi kuu za kampuni hii.
Je, uchawa umewalipa mpaka kuvuta ndinga hii?
View attachment 2681203
Manaa si kakimbia nazo yule binti aliyemuoa.Manara, stevenyerere na Zembwela wamefanyia nini hela walizopewa?
Samahani.....hivi Manara ana kazi nyingine hapa mjini zaidi ya kuhamasisha ?
Tutajie wewe ili tuelewe.Kwani hana kazi ya kumwingizia kipato? Watanzania tuache wivu wa kijinga!
Biashara ya kuuza watumwa ina faida kubwa Sana, kumbika Slave trade USA, ya Royal Family UK, Tip Tippu etc sasa ya DP vorld na mawakala waoNimekutana na picha ya ndinga ikiwa na jina la KITENGE, nikakumbuka siku za hivi karibuni Maulid Kitenge alikuwa busy kuipigia upatu kampuni ya DP World kuwekeza nchini. Akiwa na wenzake wawili Zembwela na Hando waliweza kusafiri mpaka Dubai ziliko ofisi kuu za kampuni hii.
Je, uchawa umewalipa mpaka kuvuta ndinga hii?
View attachment 2681203
Hivi uzalendo maana yake ni uchoka mbaya ?Yaani chawa wanaishi maisha mazuri kuliko wazalendo! Kwa hali hii hasira zikizidi unaweza kujikuta uko msituni.