The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Hamjajibu hoja,uchawa wa mtu unarudishaje nyuma maendele?Chawa wa Samia umeingia mzima mzima,Mkuu Stroke jiwe lako limelenga kwenye utosi wa huyu chawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamjajibu hoja,uchawa wa mtu unarudishaje nyuma maendele?Chawa wa Samia umeingia mzima mzima,Mkuu Stroke jiwe lako limelenga kwenye utosi wa huyu chawa
Hana jipya tenaJamaa anatia kinyaa sana, kutoka kuwa mwandishi nguli mwenye hoja elimishi zilizoshiba hadi kuwa kuwa chawa wa Halima!!!
Nchi imejaa watu wajinga snSio rahisi.
Kuhusu nini?Kwani Lord denning anasemaje?!
Bora hata huyo lord dening, ila hilo li jamaa lingine kila uzi lipo ili kumtetea mamakeChawa wakuu siku hizi ni Lord denning na The Sunk Cost Fallacy
Mbona hata wewe ni chawa tuKuna ajira mpya ya kisiasa imezuka katika Taifa letu nayo inaitwa uchawa.
Uchawa ni kitendo cha kuwa mfuasi kindaki ndaki wa mtu kwa matendo na kauli zake bila kujali uhalali wa kile kinachofanywa.
Mtu huyo anaweza kuwa Kiongozi mkuu wa nchi au mwanasiasa yeyote mwenye ushawishi.
Kiongozi mwenye dhamana ya kuliongoza Taifa anao wajibu wa kikatiba kulinda maslahi ya watu wake hivyo inategemewa kwamba kila anachokifanya maslahi ya uma yanapewa kipaumbele.
Ila inapotokea kiongozi huyo akakengeuka katika maamuzi yake basi kwa mifumo ya kiutawala tuliyonayo wananchi wana haki ya kumkumbusha wajibu wake.
Kwa kutambua umuhimu wa kuwa na nafasi za kukosoana na kushauriana Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alituasa vijana tuwe na hulka ya kuhoji , kwamba pale tunapoona kuna jambo linafanyika na tunaamini linafanyika sio kwa maslahi yetu ya Taifa basi tunapaswa kuhoji.
Hali sasa ni tofauti kabisa, kizazi cha kuhoji kinapotea na ni kama hakipo kabisa kwani watu wamegeuka wabinafsi na kuangalia maslahi yao binafsi.
Kijana anaona kuliko kuhoji na kukosa fursa kwa kuonekana mtukutu bora akubaliane na kila jambo la nwanasiasa au kiongozi wa kitaifa ili akumbukwe kwa favours mbali mbali wanaita kulamba asali.
Kitendo hiki kina faida za muda mfupi ila hasara kwa muda mrefu wa vizazi vijavyo kwani kunauwezekano wa matendo ya wanasiasa kuwa ya kuliangamiza Taifa.
Kijana au mtu mwingine yeyote anapamua kuwa chawa anashiriki kuliangamiza Taifa lake kwani kiongozi husika hatakuwa na woga wa kufanya jambo lolote kwani anajua hakuna wa kumhoji kwa lolote.
Hivyo basi ni vyema tukaondoa dhana hii ya uchawa kwani inaliangamiza Taifa.
JPM aliabudiwa kabisaSifa zimezidi.
Ukisikiliza hotuba za wanasiasa ni kusifu tuu kila kitu.
Sijui wana mpango gani na Taifa hili??
Sijui vizazi vijavyo watatuona vipi kwa Tabia hizi za ajabu kabisa.
Wazalendo uchwaraKwanini unaona uchawa wa sasa hivi ni mbaya kuliko uchawa wa kipindi cha mwendazake?.Au kwavile sio zamu yako kulamba asali.Kipindi ambacho wewe ulikua mfuasi wa mtu hukuona kama hicho kitendo ni kibaya,au kwavile aliyepo sasa huna maslahi naye ndo unaibuka na hoja yakujifanya huupendi uchawa.Siku tutakayoamua kuacha unafiki na kuamua kusimama na nchi badala ya mtu ndio siku tutakayoanza kupiga hatua yakulisaidia hili taifa.sasa hivi watu bado wanapokezana kulamba asali.
Hata wewe ni chawa sema zamu yako imeisha baada ya meko kudanja umebaki kulialiaBora hata huyo lord dening, ila hilo li jamaa lingine kila uzi lipo ili kumtetea mamake
Hawa wanaolalamika uchawa, ndio hao walikuwa chawa max pro awamu ya jpm. Walimuabudu mpaka wakakufuru.JPM aliabudiwa kabisa
Mwandri alisema Mungu amshukuru kwa kazi anazozifanya
Kangi akasema jpm ni Yesu
Kuna fala wa uv-ccm akasema miujiza ya jpm inaizidi ya Yesu kwa mbali sana
Kuna diwani kanda ya ziwa huko akasema jpm ni Mungu wa Tanzania
Wakati huo hamkuyaona ndio mnayaona leo!
Tz ndio nchi inaongoza kwa unafki duniani
Wazalendo uchwaraHawa wanaolalamika uchawa, ndio hao walikuwa chawa max pro awamu ya jpm. Walimuabudu mpaka wakakufuru.
Sasa waliemuabudu hayupo, kaja bosi mwingine na chawa wake. Halaf wanalalamika chawa as if wao hawakuwa chawa miez kadhaa iliyopita?
JPM aliabudiwa kabisa
Mwandri alisema Mungu amshukuru kwa kazi anazozifanya
Kangi akasema jpm ni Yesu
Kuna fala wa uv-ccm akasema miujiza ya jpm inaizidi ya Yesu kwa mbali sana
Kuna diwani kanda ya ziwa huko akasema jpm ni Mungu wa Tanzania
Wakati huo hamkuyaona ndio mnayaona leo!
Tz ndio nchi inaongoza kwa unafki duniani
Chawa wa awamu hii wagumu sana kuelewa jambo dogo tu.Nimerudia kusoma hoja iliyoko mezani lakini sijaona mahali ambapo mtoa hoja amesema kwamba awamu hii ndiyo awamu pekee yenye chawa. Anzisha na wewe uzi wako utakaojikita kwenye uchawa uliokuwepo wakati wa awamu fulani utakayoichagua!
Hivi kuna chawa walizidi enzi za dikteta uchwara?
JPM aliabudiwa kabisa
Mwandri alisema Mungu amshukuru kwa kazi anazozifanya
Kangi akasema jpm ni Yesu
Kuna fala wa uv-ccm akasema miujiza ya jpm inaizidi ya Yesu kwa mbali sana
Kuna diwani kanda ya ziwa huko akasema jpm ni Mungu wa Tanzania
Wakati huo hamkuyaona ndio mnayaona leo!
Tz ndio nchi inaongoza kwa unafki duniani