Uchawa unadumaza maendeleo ya nchi, unalinda ufisadi na kubariki kutokuwajibika. Taifa linaangamia

Huwez kuongoza nchi bila chawa we kilaza
 
Mbona hata wewe ni chawa tu
 
Sifa zimezidi.

Ukisikiliza hotuba za wanasiasa ni kusifu tuu kila kitu.

Sijui wana mpango gani na Taifa hili??

Sijui vizazi vijavyo watatuona vipi kwa Tabia hizi za ajabu kabisa.
JPM aliabudiwa kabisa

Mwandri alisema Mungu amshukuru kwa kazi anazozifanya

Kangi akasema jpm ni Yesu

Kuna fala wa uv-ccm akasema miujiza ya jpm inaizidi ya Yesu kwa mbali sana

Kuna diwani kanda ya ziwa huko akasema jpm ni Mungu wa Tanzania

Wakati huo hamkuyaona ndio mnayaona leo!

Tz ndio nchi inaongoza kwa unafki duniani
 
Wazalendo uchwara
 
Hawa wanaolalamika uchawa, ndio hao walikuwa chawa max pro awamu ya jpm. Walimuabudu mpaka wakakufuru.

Sasa waliemuabudu hayupo, kaja bosi mwingine na chawa wake. Halaf wanalalamika chawa as if wao hawakuwa chawa miez kadhaa iliyopita?
 
Hawa wanaolalamika uchawa, ndio hao walikuwa chawa max pro awamu ya jpm. Walimuabudu mpaka wakakufuru.

Sasa waliemuabudu hayupo, kaja bosi mwingine na chawa wake. Halaf wanalalamika chawa as if wao hawakuwa chawa miez kadhaa iliyopita?
Wazalendo uchwara
 

Nimerudia kusoma hoja iliyoko mezani lakini sijaona mahali ambapo mtoa hoja amesema kwamba awamu hii ndiyo awamu pekee yenye chawa. Anzisha na wewe uzi wako utakaojikita kwenye uchawa uliokuwepo wakati wa awamu fulani utakayoichagua!
 

Nakuona Chawa nyemelezi at work
 
Machawa kwa kisayansi tunawaita Parasites. Scientists know what I mean
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…