Uchawi au Majini hayapo! Nani ameshawahi kukutana na jini

Uchawi au Majini hayapo! Nani ameshawahi kukutana na jini

kosa lipo wapi hapo?
"had" onyesha lingine moja tu.
1. I have meets this guys🚫❌

I have met these guys✔

2. THIS IS CREATURES OF SPECIAL PRINCIPLES...DO YOU WISH TO SEE? ❌

THESE ARE CREATURES OF SPECIAL PRINCIPLES. DO YOU WISH TO SEE THEM?✔

3. N.b:-I'm in study and research of this dudes...!❌

I'm in a study and research about these dudes..✔

Kama lugha huiwezi tumia unayoweza kuliko kujimwambafai kumbe unaharibu.
 
Quran yenyewe ni proof uwepo wake wa miaka 1400 na mpaka Leo mtu kushindwa kutoa weakness zake ni proof, na mwenyezi mungu aka challenge zaidi kama haitoki kwa Mungu basi mjaribu ku andika hata sura moja Tu kama Quran na mpaka Leo hakuna aliefanikiwa japo mamilioni ya watu wanaichallenge.
Mi sijauliza proof ya quran, na hata ninheuliza najia kwa hakika huna uthibitisho

Swali langu ni quran imeshawahi kuthibitisha mungu yupo kwa hakika?

Unaweza thibitisha?
Quran haijacopy per se, Bali injil, taurat, zabur na Quran vina Muandishi mmoja ambaye ni Mungu
Thibitisha mungu aliandika hivyo vitabu?
Hivyo Mwenyez Mungu hawezi kujicopy mwenyewe.
Mpaka sasa hujathibitisha mungu yupo
Na sababu corruption ilitokea kwenye vitabu vya nyuma Quran ikaja kusahihisha.
Vitabu gani?
Tupe proof havitoki kwa mungu
We ulijuaje vilitoka kwa mungu?
1. Quran ni karne ya 7 hicho ya 10
2. Kina record za vifo vya wafalme
3.kimekuwa edited Mara kibao (tayari kimeshapoteza sifa ya kuwa divine book, maneno ya Mungu hayawi edited
Kwani nani kasema hicho kitabu ni cha mungu?

Nimekuonesha kitabu ambacho umedai kime exist kwa miaka zaidi ya 100 bila kukosolewa, ndo hicho sasa

Kuwa edited hakuna maana ya kwamba kimekosolewa au ni kitabu cha uongo, labda nipe reference ambayo ime ditiwa ikikosoa kuonesha uongo ulio andikwa mwanzo na kuweka maneno mapya


4.ni kitabu cha science, science ina involve observation na experiments, mwenyez Mungu akisema kuwa inakuwa Hafanyi experiment na science ina improve ina maana kila iki improve wanabadili.

Tayari hapa kimekosa sifa ya kuitwa Divine Book.
Kwani nani kasema hicho kitabu ni cha mungu? Nimekuambia hakuna kitabu cha mungu na kama unabisha thibitisha huyo mungu yupo, mbona umeshindwa?
 
Kuna nadharia za ajabu sana Africa ambazo huwezi ziona dunia ya kwanza.
Uchawi ni nini. Nani ambaye anaweza kutupa proof uchawi upo? Nani alimuona mchawi? Nani anaujua uchawi? Uchawi una nguvu gani?

Hayo Majini ni nini? Hakuna cha majini wala babu yake na majini?
Hizo ni drama za kufikirika.

Utasikia kuna majini. Ushawahi kuliona! Utasikia majini majini ni viumbe visivyoonekana kama hayaonekani umejuaje kama yapo.
Majini na uchawi ni dhana za kufikilika

Eti mchawi anatembea angani kwenye ungo.. Uongo tu.. Waambie hayo majini yawape pesa.. Wanaojiita waganga au wenye majini maskini km nini.
Tunaweza kuuprove upepo..
Hayo majini yenu mbn hamuwezi.
Hata hawa wanaopandisha majini/mashetani hakuna chochote wanaumwa akili au km wanawake wanaumwa hysteria.



Lete Proof hapa.

Hakuna cha majini wala uchawi
Njoo pm mara moja nikuhakikishie na uamini kuwa majini yapo ila jiweke sawa
 
Mi sijauliza proof ya quran, na hata ninheuliza najia kwa hakika huna uthibitisho

Swali langu ni quran imeshawahi kuthibitisha mungu yupo kwa hakika?
Yes Quran yenyewe ni uthibitisho toka kuanzia kushuka kwake, structure yake, maneno yake, namna watu wanavyoifuata, jinsi ilivyohifadhiwa etc ndio maana ukaona mpaka leo ipo kwa usahihi ule ule.

Na kuna maelfu ya signs kutoka Quran toka kwa mwenyez Mungu Mwenyewe ambayo hakuna kiumbe yoyote anayeweza kuelezea miaka zaidi ya 1000 iliopita na mpaka Leo yakahold value.
Unaweza thibitisha?

Thibitisha mungu aliandika hivyo vitabu?
Uthibitisho wa Rahisi ni predictions tu ambazo zipo kwenye hivyo vitabu, mtu wa kawaida hawezi aka andika melfu ya maneno akaita kitabu na Baada ya maelfu ya miaka Yale maneno bado yakatwa na maana, kama inawezekana lete ushahidi W kitabu tofauti na vya dini.
Mpaka sasa hujathibitisha mungu yupo
Hili tuliweke kwenye comment yake
Vitabu gani?

We ulijuaje vilitoka kwa mungu?

Kwani nani kasema hicho kitabu ni cha mungu?

Nimekuonesha kitabu ambacho umedai kime exist kwa miaka zaidi ya 100 bila kukosolewa, ndo hicho sasa

Kuwa edited hakuna maana ya kwamba kimekosolewa au ni kitabu cha uongo, labda nipe reference ambayo ime ditiwa ikikosoa kuonesha uongo ulio andikwa mwanzo na kuweka maneno mapya



Kwani nani kasema hicho kitabu ni cha mungu? Nimekuambia hakuna kitabu cha mungu na kama unabisha thibitisha huyo mungu yupo, mbona umeshindwa?
Sasa mimi hoja nimekwambia Quran ni kitabu cha Mungu sababu ni perfect ni Kaku challenge lete kitabu kama hicho. Then Unaniletea kitabu kina revision, huoni kama hapo sio perfect? Huoni waki update means wanaongeza vitu? Huoni wakiongeza vitu ina maana mwanzo kilikuwa hakija kamilika? Ule u perfect unaondoka?
 
Kama humuamini Mungu we Ni atheist Ni sawa ukiongea hivyo



Ila kama unaenda kanisani cjui msikitini unasali kabisa unaamini Mungu


Nitakuchukulia kama mpumbavu

Au antention seeker kuuliza swali kama hili
 
Mpaka sasa hujathibitisha mungu yupo
Kumuelewa Mungu kama yupo ama hayupo Assume kama wewe ni game developer, take Role ya Creator.

Umetengeneza game lako then ndani umeweka character wako watatu, japo wewe una exist wale character wako wa game hawataweza kuku discover wewe, ila unaweza Ukawawekea sign kuprove uwepo wako.

Same kwa sisi Binadamu tupo kwenye Test, hatuwezi maisha yetu yote kumgundua Mungu ama kumuona mahala fulani, lakini ametuachia signs mbalimbali kuthibitisha uwepo wake. Tutaenda kumuona kiama.

1. Uumbwaji wa Dunia yetu
Dunia na Universe kwa ujumla ilivyoumbwa ukibadili kitu hata kidogo isinge exist, kuanzia Gravity, expansion ya universe hadi position ya Dunia against jua.
Hii video enaelezea vizuri


2.maajabu ya Nyuki.
Mkuu Quran toka karne ya 7 imeelezea mambo mengi ya Nyuki, ikiwemo Nyuki mwanamke ndio anatengeneza asili, matumbo ya Nyuki, precision yake, Nyuki hategemei hives tu Bali hata kwenye mawe anatengeneza asali etc vingi vimegunduliwa miaka ya Karibuni

3.divine ratio, toka divine ratio igunduliwe vitu vyote duniani kuanzia maumbo yetu mpaka vinavyotuzunguka vinatumia hii formula, video nyengine interesting


4.Atom udogo wake na kwamba kuna kitu kidogo kuliko atom vimeelezewa toka karne ya 7


5.dynamic space, kwamba space haipo ombwe tu Bali yenyewe nayo ni kitu ina bend etc


6.maajabu ya ngozi kwamba finger print zetu hazifanani yalielezewa toka karne ya 7, pia kwamba ngozi ikiunguzwa maumivu yanapungua.

Hizi signs zipo nyingi sana, no way karne ya 7 mtume aandike tu hivi vitu mwenyewe bila kupata Msaada wa Intelligent creator.
 
Yes Quran yenyewe ni uthibitisho toka kuanzia kushuka kwake, structure yake, maneno yake, namna watu wanavyoifuata, jinsi ilivyohifadhiwa etc ndio maana ukaona mpaka leo ipo kwa usahihi ule ule.
Swali langu sijui unalikwpa kwa makusudi au ni bahati mbaya hulielewi

nimeuliza "quran imeshawahi kuthibitisha mungu yupo kwa hakika?"
Na kuna maelfu ya signs kutoka Quran toka kwa mwenyez Mungu Mwenyewe ambayo hakuna kiumbe yoyote anayeweza kuelezea miaka zaidi ya 1000 iliopita na mpaka Leo yakahold value.
kama hakuna mtu anaweza kuelezea we umejuaje ni signs za mungu?
Uthibitisho wa Rahisi ni predictions tu ambazo zipo kwenye hivyo vitabu, mtu wa kawaida hawezi aka andika melfu ya maneno akaita kitabu na Baada ya maelfu ya miaka Yale maneno bado yakatwa na maana, kama inawezekana lete ushahidi W kitabu tofauti na vya dini.
hapa ume assume, hii sio fact. Kimsingi hata godbles lemma kwa hoja yako naye ni mungu maana alitabiri magufuli atakufa na ikawa kweli

hoja yako inalenga kumuita mtu yeyote mungu endapo tu utabiri wake utatimia kama alivyo bashiri.

Hujathibitisha mungu yupo
Hili tuliweke kwenye comment yake
Ni kwasababu huwezi?
Sasa mimi hoja nimekwambia Quran ni kitabu cha Mungu sababu ni perfect ni Kaku challenge lete kitabu kama hicho.
Hayo ni madai sio fact, hata mkristo anaweza akasema hivyo kutetea biblia kwa nafasi yake.

Afu unakiita perfect wakati umeshindwa kukitumia ku prove uwepo wa mungu
Then Unaniletea kitabu kina revision, huoni kama hapo sio perfect? Huoni waki update means wanaongeza vitu? Huoni wakiongeza vitu ina maana mwanzo kilikuwa hakija kamilika? Ule u perfect unaondoka?
Nina mashaka na ubongo wako, hivi kati ya kilicho updated na kilicho outdated ni kipi kilicho bora zaidi?

Huoni kisichokua updated maana yake ni primitive kilipaswa kutumika nyakati za zamani na sdio sasa kwasababu kimekosa habari nyingi mpya ambazo ndio maisha wanayoishi watu kila siku?

Mpaka hapa hakiwezi kuwa perfect kwasababu kuna miss informations kibao
 
Kumuelewa Mungu kama yupo ama hayupo Assume kama wewe ni game developer, take Role ya Creator.

Umetengeneza game lako then ndani umeweka character wako watatu, japo wewe una exist wale character wako wa game hawataweza kuku discover wewe, ila unaweza Ukawawekea sign kuprove uwepo wako.
We unajuaje hao character wana mind set ya kuweza kufikiri kuhusu chanzo chao?

Kwasababu ume assume ebu chukulia wamejua upo, je hiyo itathibitisha developer hana chanzo?
Same kwa sisi Binadamu tupo kwenye Test, hatuwezi maisha yetu yote kumgundua Mungu ama kumuona mahala fulani, lakini ametuachia signs mbalimbali kuthibitisha uwepo wake. Tutaenda kumuona kiama.
Sio mungu tu ambaye hatuwezi kumuona, hatuwezi kumuona spiderman, zeus, flying pot, othor, unicorns nk. Lakini kutokuweza kuona hao characters hakuna maana kwamba wana exist au walishawahi kuwepo.

Nikisema signs ya kuthibitisha spiderman yupo nikakuletea spider web pamoja na zile suit, hapo nitakua nimeweza kuthibitisha spiderman yupo?


1. Uumbwaji wa Dunia yetu
hapa bado unaendelea ku assume?

Dunia na Universe kwa ujumla ilivyoumbwa ukibadili kitu hata kidogo isinge exist, kuanzia Gravity, expansion ya universe hadi position ya Dunia against jua.
Hii video enaelezea vizuri

The premise of your argument is fallacy, umeanza na kusema dunia imeumbwa badala ya kuthibitisha then how do we know what you tellin us ain't lies?
2.maajabu ya Nyuki.
Mkuu Quran toka karne ya 7 imeelezea mambo mengi ya Nyuki, ikiwemo Nyuki mwanamke ndio anatengeneza asili, matumbo ya Nyuki, precision yake, Nyuki hategemei hives tu Bali hata kwenye mawe anatengeneza asali etc vingi vimegunduliwa miaka ya Karibuni
Nyuki anatumika kuthibitisha mungun yupo, ama kweli quran ilikua dedicated kwa zama za ujinga kushawishi wajinga yani ilikosa mambo ya msingi kabisa acha kiwe outdated tu.
3.divine ratio, toka divine ratio igunduliwe vitu vyote duniani kuanzia maumbo yetu mpaka vinavyotuzunguka vinatumia hii formula, video nyengine interesting



4.Atom udogo wake na kwamba kuna kitu kidogo kuliko atom vimeelezewa toka karne ya 7


5.dynamic space, kwamba space haipo ombwe tu Bali yenyewe nayo ni kitu ina bend etc


6.maajabu ya ngozi kwamba finger print zetu hazifanani yalielezewa toka karne ya 7, pia kwamba ngozi ikiunguzwa maumivu yanapungua.

Hizi signs zipo nyingi sana, no way karne ya 7 mtume aandike tu hivi vitu mwenyewe bila kupata Msaada wa Intelligent creator.

Mwanzo nilipokuletea hoja ulisema nime google, now unaniwekeaa mi link nikueleweje? BTW hizo inks hakuna iliyothibitisha mungu yupo
 
Swali langu sijui unalikwpa kwa makusudi au ni bahati mbaya hulielewi

nimeuliza "quran imeshawahi kuthibitisha mungu yupo kwa hakika?"

kama hakuna mtu anaweza kuelezea we umejuaje ni signs za mungu?

hapa ume assume, hii sio fact. Kimsingi hata godbles lemma kwa hoja yako naye ni mungu maana alitabiri magufuli atakufa na ikawa kweli

hoja yako inalenga kumuita mtu yeyote mungu endapo tu utabiri wake utatimia kama alivyo bashiri.

Hujathibitisha mungu yupo

Ni kwasababu huwezi?

Hayo ni madai sio fact, hata mkristo anaweza akasema hivyo kutetea biblia kwa nafasi yake.

Afu unakiita perfect wakati umeshindwa kukitumia ku prove uwepo wa mungu

Nina mashaka na ubongo wako, hivi kati ya kilicho updated na kilicho outdated ni kipi kilicho bora zaidi?

Huoni kisichokua updated maana yake ni primitive kilipaswa kutumika nyakati za zamani na sdio sasa kwasababu kimekosa habari nyingi mpya ambazo ndio maisha wanayoishi watu kila siku?

Mpaka hapa hakiwezi kuwa perfect kwasababu kuna miss informations kibao
Sababu ni mwenyezi mungu anaweza tengeneza kitu miaka 1400 na still kikawa sio outdated mfano mzuri ni hio quran.

Hebu chukulia mfano huu.

Mimi nakupa offer ku kutengeneza kitanda perfect, unanipa hela, Baada ya mwezi nakwambia nahitaji kufanya marekebisho, kile kitanda ni perfect?

Ukishafanya marekebisho tayari sio perfect.

Quran imeshuka miaka 1400 iliopita na mpaka Leo watu zaidi ya bilioni wanaifuata.

Unaweza elezea kwanini Quran ipo Outdated!?
 
we unajuaje hao character wana mind set ya kuweza kufikiri kuhusu chanzo chao?

kwasababu ume assume ebu chukulia wamejua upo, je hiyo itathibitisha developer hana chanzo?
Mkuu tuishie hapa, sababu nikitoa hoja huna haja ya ku jibu hoja husika Bali utashi wako.

Nakuombea tu kwa Mungu akufunilie uone njia ya haki.
 
Swali langu sijui unalikwpa kwa makusudi au ni bahati mbaya hulielewi

nimeuliza "quran imeshawahi kuthibitisha mungu yupo kwa hakika?"

kama hakuna mtu anaweza kuelezea we umejuaje ni signs za mungu?

hapa ume assume, hii sio fact. Kimsingi hata godbles lemma kwa hoja yako naye ni mungu maana alitabiri magufuli atakufa na ikawa kweli

hoja yako inalenga kumuita mtu yeyote mungu endapo tu utabiri wake utatimia kama alivyo bashiri.

Hujathibitisha mungu yupo

Ni kwasababu huwezi?

Hayo ni madai sio fact, hata mkristo anaweza akasema hivyo kutetea biblia kwa nafasi yake.

Afu unakiita perfect wakati umeshindwa kukitumia ku prove uwepo wa mungu

Nina mashaka na ubongo wako, hivi kati ya kilicho updated na kilicho outdated ni kipi kilicho bora zaidi?

Huoni kisichokua updated maana yake ni primitive kilipaswa kutumika nyakati za zamani na sdio sasa kwasababu kimekosa habari nyingi mpya ambazo ndio maisha wanayoishi watu kila siku?

Mpaka hapa hakiwezi kuwa perfect kwasababu kuna miss informations kibao
Dah afu watu kama nyie ndiyo mnapewaga umri mrefu kweli - wewe mwenyewe tu unathibitisha mungu yupo, embu angalia sura yako angalia miguu yako mikono yako makalio, mwenyezi mungu kakutengeneza vizuri leo hii we we unakuwa wa kwanza kumpinga.

Unakula chakula unaenda chooni acha ubishi ndugu yangu ivi unajua kabla ya kuwa hai ulikuwa umekufa, umekaa tumboni miezi 9 wewe.tumia akili ndugu yangu.

Quran Surat yasin aya 77 inasema Kwani mwanaadamu haoni ya kwamba Sisi tumemuumba yeye kutokana na tone la manii? Kisha sasa yeye ndio amekuwa ndiye mgomvi wa dhaahiri!
 
Kuna nadharia za ajabu sana Africa ambazo huwezi ziona dunia ya kwanza.
Uchawi ni nini. Nani ambaye anaweza kutupa proof uchawi upo? Nani alimuona mchawi? Nani anaujua uchawi? Uchawi una nguvu gani?

Hayo Majini ni nini? Hakuna cha majini wala babu yake na majini?
Hizo ni drama za kufikirika.

Utasikia kuna majini. Ushawahi kuliona! Utasikia majini majini ni viumbe visivyoonekana kama hayaonekani umejuaje kama yapo.
Majini na uchawi ni dhana za kufikilika

Eti mchawi anatembea angani kwenye ungo.. Uongo tu.. Waambie hayo majini yawape pesa.. Wanaojiita waganga au wenye majini maskini km nini.
Tunaweza kuuprove upepo..
Hayo majini yenu mbn hamuwezi.
Hata hawa wanaopandisha majini/mashetani hakuna chochote wanaumwa akili au km wanawake wanaumwa hysteria.



Lete Proof hapa.

Hakuna cha majini wala uchawi
Bila shaka swali zito kwa Mwamposa anayetoa majini, Mtume Mwingira, Nabii Melisa, Mzee wa Upako, nabii Geodavie, kuhani Musa na wengine wengi wanaosema wana miungu wao wa kutoa majini.
 
Sababu ni mwenyezi mungu anaweza tengeneza kitu miaka 1400 na still kikawa sio outdated mfano mzuri ni hio quran.
Unathibitisha vipi kua ni Mungu?
Hebu chukulia mfano huu.

Mimi nakupa offer ku kutengeneza kitanda perfect, unanipa hela, Baada ya mwezi nakwambia nahitaji kufanya marekebisho, kile kitanda ni perfect?
Chukulia fundi ulikua na task ya kutengeneza vitanda viwili kwa watu wawili tofauti, vyote ulivitengeneza kwa kutumia same materials. Baada ya mwezi ukaja kwangu kufanya maintenance kwangu afu upande wa pili kule hujaenda na kitanda kipo katika the same damn condition as mine

Kitanda changu kitakua kiimepoteza sifa ya kuwa perfect kwasababu kisha fanyiwa marekebisho na kile ambacho hakija fanyiwa marekebisho ndio perfect?

kwa hiyo una maanisha ili kitanda kiwe perfect ilitakiwa fundi asije kutengeneza bila kuangalia condition yake jinsi kilivyo?


Ukishafanya marekebisho tayari sio perfect.
Na hayo marekebisho yaliyofanywa yanapaswa kuwepo kwenye kitabu kinacho daiwa kuwa ni perfect. Endapo hizo habari hazitakuwepo kwenye hicho kitabu unachokidai kua ni perfect basi kitakosa hiyo sifa ya ukamilifu.
Quran imeshuka miaka 1400 iliopita na mpaka Leo watu zaidi ya bilioni wanaifuata.

Unaweza elezea kwanini Quran ipo Outdated!?

Thibitisha quran imeshuka

Kwasababu habari nyingi updated hazipo
 
Mkuu tuishie hapa, sababu nikitoa hoja huna haja ya ku jibu hoja husika Bali utashi wako.

Nakuombea tu kwa Mungu akufunilie uone njia ya haki.
Sitaki kuombewa, nataka majibu ya maswali niliyokuuliza

Hujathibitisha mungu yupo
 
Dah afu watu kama nyie ndiyo mnapewaga umri mrefu kweli - wewe mwenyewe tu unathibitisha mungu yupo, embu angalia sura yako angalia miguu yako mikono yako makalio, mwenyezi mungu kakutengeneza vizuri leo hii we we unakuwa wa kwanza kumpinga.

Unakula chakula unaenda chooni acha ubishi ndugu yangu ivi unajua kabla ya kuwa hai ulikuwa umekufa, umekaa tumboni miezi 9 wewe.tumia akili ndugu yangu.

Quran Surat yasin aya 77 inasema Kwani mwanaadamu haoni ya kwamba Sisi tumemuumba yeye kutokana na tone la manii? Kisha sasa yeye ndio amekuwa ndiye mgomvi wa dhaahiri!
thibitisha mungu yupo
 
Back
Top Bottom