Uchawi au Majini hayapo! Nani ameshawahi kukutana na jini

Uchawi au Majini hayapo! Nani ameshawahi kukutana na jini

Mfano wako si sahihi

Uweke hivi, umekuta mmasai ameuliwa lakini mwilini mwake kumeandikwa neno kwa damu, hivyo Yale maandishi ya damu yanaashiria kifo chake sio natural someone did that.

Same kwa DNA sijakuuliza nani katengeneza DNA Bali nani ameacha Code, Digital information kwenye DNA zetu,

Hili swali Atheist na Scientist wengi wasioamini Mungu mpaka Leo hawajatupa Jibu, hivyo Mkuu Kiranga tusaidie kama Hakuna Intelligence Designer nani amecode DNA zetu?
Kwa nini swali liwe nani?

Umekuta jani la muembe mlangoni mwako

Unauliza nani kaweka jani hili hapa mlangoni.

Unajuaje swali sahihi ni "nani"?

Kama jani limepeperushwa na upepo huoni kwamba swali la "nani" ni potofu?
 
We hujawahi KUAMINI kwahiyo ni ngumu kukuaminisha.
We endelea kujua kua Mzungu ndio katengeneza simu inatosha.

Mtu umezaliwa mboga saba, utaujua uchawi kweli?

Ipo siku mutabisha kua hakuna chawa wala kunguni, kisa tu haujawahi kuwaona.
Hujaweza hata ku define uchawi ni nini.

Sitaki kuamini. Nataka kuelewa. Nataka kujua.
 
Ukiwa unasoma nachokiandika unatakiwa usome kwa umakini.

Hakuna "contradiction" hapo. Kuna kujua kwa kutafakari kulingana na ishara zilizopo na kujua kwa hakika ya jambo kwa msaada wa ufunuo. Mathalani,leo hii mtu ambaye akili yake iko salama hakatai uwepo wa Mola muumba,ila kujua sifa na nini anacho taka Mola,akili haiwezi kujua hilo mpaka ipate msaada wa ufunuo.

Yaani kama ilivyo akili pekee haiwezi kumuongoza Mwanadamu katika kujua hakika ya kila jambo
Vitu ambavyo viko nje ya uwezo wa akili zetu kuvijua tutavijuaje ikiwa kujua chochote tunatumia akili zetu?

Na pia, mtu akitaka kutunga uongo wowote na kukuambia ni ukweli ulio nje ya uwezo wa akili yako, utajuaje huu ni uongo ikiwa chochote utakachosema utaambiwa akili yako ni ndogo huwezi kuelewa, kubali tu hiki kipo nje ya akiki yako?

Nikikwambia Mimi ndiye Mungu muumba ulimwengu, na hujui tu hilo, kwa sababu liko nje ya uwezo wa akili yako kujua, utakanushaje hilo?

Chochote utakachosema kukanusha, nitakwambia una makosa, huwezi kuelewa vitu vilivyo nje yabuwezo wa akiki yako kuelewa.

Sasa hapo utawezaje kukanusha huo uongo?
 
Kama vitabu vya dini vimesadiki wew Ni Nani usiamini uchawi au majini hayapo

Tatizo binadamu tuliopatikana kwa tone la maniii huwa tunashida Sana

Kuwa uyaone pata shida zikukabe mpaka uone Mungu Yuko mbali nawe ndio utajua uchawi uko au hauko ,majini yako au hayako

Kwa Mara ya kwanza namuona jini ilikuwa Moshi natoka club usiku laliga

Sent from my TECNO B1 using JamiiForums mobile app
Alikuaje? Nini kilikujuza kuwa huyo ni jini?
 
Hizo ni mental /brain disorders tu!

Kwa Tanzania, matatizo ya akili ni mpaka mtu aokote makopo.

Mtu mwenye auditory hallucinations watu watasema amepandwa na mashetani!

Mwenye tactile hallucinations watadai wachawi wanamtekenya!

Tatizo ni ujinga. Mambo tusiyoyajua au tusiyoyaelewa, tunayabatiza uchawi!
 
Vitu ambavyo viko nje ya uwezo wa akili zetu kuvijua tutavijuaje ikiwa kujua chochote tunatumia akili zetu?

Na pia, mtu akitaka kutunga uongo wowote na kukuambia ni ukweli ulio nje ya uwezo wa akili yako, utajuaje huu ni uongo ikiwa chochote utakach9sema utaambiwa akiki yako ni ndogo huwezi kuelewa, kubali tu hiki kipo nje ya akiki yako?

Nikikwambia Mimi ndiye Mungu muumba ulimwengu, na hujui tu hilo, kwa sababu liko nje ya uwezo wa akiki yako kujua, itakanushaje hilo?

Chochote utakachosema kukanusha, nitakwambia una makosa, huwezi kuelewa vitu vilivyo nje yabuwezo wa akiki yako kuelewa.

Sasa hapo utawezaje kukanusha huo uongo?
Mazee….hebu cheki hizi aina za hallucinations halafu unambie mtu bongo akiwa nazo watu watasemaje.

Pata picha mtu ana tactile hallucination au auditory hallucination [hawa si ndo huwa wanapandwa na mashetani?]

 
Vitu ambavyo viko nje ya uwezo wa akili zetu kuvijua tutavijuaje ikiwa kujua chochote tunatumia akili zetu?
Hujaona nilichokwambia au kuonyesha kisaidizi cha akili ? Jaribu kuwa unasoma ninacho koandika.
Na pia, mtu akitaka kutunga uongo wowote na kukuambia ni ukweli ulio nje ya uwezo wa akili yako, utajuaje huu ni uongo ikiwa chochote utakach9sema utaambiwa akiki yako ni ndogo huwezi kuelewa, kubali tu hiki kipo nje ya akiki yako
Naujia kwa kutumia uhalisia na kuhoji.

Kama ilivyo majini ni Uhalisia na Uchawi ni uhalisia,ndiyo maana mtoa mada ameenda kinyume na kanuni za kimjadala,kwamba yeye ambaye anakanusha uwepo wa viwili hivyo alipaswa kuweka ushahidi wa kutokuwepo kwake. Lakini hali ilivyo ni kinyume chake.
ulimwengu, na hujui tu hilo, kwa sababu liko nje ya uwezo wa akiki yako kujua, itakanushaje hilo?
Ukisema hivyo utakuwani mjinga,au akili zako hazifanyi kazi au unayo yote mawili.

Sababu Mola ana sifa anuai zake kwazo zikafanya akawa ni Mola. Wewe ni mwadamu na unaenda chooni na huna uwezo zaidi ya ubinadamu wako. Kwahiyo utathibitisha ya kuwa wewe ni mgonjwa wa akili.
Chochote utakachosema kukanusha, nitakwambia una makosa, huwezi kuelewa vitu vilivyo nje yabuwezo wa akiki yako kuelewa.
Mpaka uthibitishe hilo,kinyume na hapo utakuwa unafurahisha nafsi yako na kupoteza muda.
Sasa hapo utawezaje kukanusha huo uongo?
Uongo ni kinyume cha ukweli. Maana ya Ukweli ni kauli au kitendo kuafikiana na hali halisi. Uhalisia au hali halisi ipo.
 
Mazee….hebu cheki hizi aina za hallucinations halafu unambie mtu bongo akiwa nazo watu watasemaje.

Pata picha mtu ana tactile hallucination au auditory hallucination [hawa si ndo huwa wanapandwa na mashetani?]

Naam.

Nimeona. Nimeuliza hapo juu, watu wanajuaje kuwa hizo ripoti za uchawi si matatizo ya akili tu, hallucinations na kukubali mambo kwa mob psychology tu?

Sijaona jibu la kueleweka.
 
Hujaona nilichokwambia au kuonyesha kisaidizi cha akili ? Jaribu kuwa unasoma ninacho koandika.

Naujia kwa kutumia uhalisia na kuhoji.

Kama ilivyo majini ni Uhalisia na Uchawi ni uhalisia,ndiyo maana mtoa mada ameenda kinyume na kanuni za kimjadala,kwamba yeye ambaye anakanusha uwepo wa viwili hivyo alipaswa kuweka ushahidi wa kutokuwepo kwake. Lakini hali ilivyo ni kinyume chake.

Ukisema hivyo utakuwani mjinga,au akili zako hazifanyi kazi au unayo yote mawili.

Sababu Mola ana sifa anuai zake kwazo zikafanya akawa ni Mola. Wewe ni mwadamu na unaenda chooni na huna uwezo zaidi ya ubinadamu wako. Kwahiyo utathibitisha ya kuwa wewe ni mgonjwa wa akili.

Mpaka uthibitishe hilo,kinyume na hapo utakuwa unafurahisha nafsi yako na kupoteza muda.

Uongo ni kinyume cha ukweli. Maana ya Ukweli ni kauli au kitendo kuafikiana na hali halisi. Uhalisia au hali halisi ipo.
Hicho kisaidizi cha akili utakitumia bila kutumia akili?

Huko kuhoji utahoji bila kutumia akili?

Nikikwambia mimi ndiye Mungu, na kanusho lako lolote halitafaa kwa sababu ukweli huo, kwamba mimi ndiye Mungu, umepita uwezo wa akili yako kuelewa, utakanushaje hilo?

Chochote utakachokanusha kimepitia akili yako, na mimi nishakwambia akili yako haiwezi kuelewa ukweli huu kwamba mimi ndiye Mungu.

Utakanushaje?
 
Naam.

Nimeona. Nimeukiza hapo juu, watu wanajuaje kuwa hizo ripoti za uchawi si matatizo ya akili tu, hallucinations na kukubali mambo kwa mob psychology tu?

Sijaona jibu la kueleweka.
Mtu labda ana tactile hallucination.

Anajisikia kama vile anapandwa na madudu washa au anachomwa miba na watu.

Yeye anajisikia hivyo. Nyie mliomzunguka hamuoni chochote kwa macho yenu kinachomsibu.

Mnaona mtu anawashwa tu kujikuna kuna.

Watu watasema karogwa huyo! So simplistic!

Hatuna muda [pengine hata uwezo] wa kujifunza na kutaka kujua zaidi.

False sensory experiences zipo na ni aina tu ya matatizo ya akili/ ubongo.
 
Kwa nini swali liwe nani?

Umekuta jani la muembe mlangoni mwako

Unauliza nani kaweka jani hili hapa mlangoni.

Unajuaje swali sahihi ni "nani"?

Kama jani limepeperushwa na upepo huoni kwamba swali la "nani" ni potofu?
Again mfano sio sahihi, umekuta Jani LA muembe ndani ya Jani kumechorwa sigara,

Je ule mchoro umejichora wenyewe ama intelligent being imeuweka ule mchoro?

Nazungumzia code ndani ya DNA na Sio DNA yenyewe.

Swali linarudi pale pale kwanini DNA zetu zina Digital information? Nani ameweka Codes kwenye DNA zetu? Kuna ushahidi wowote wa Digital information kutokea sababu ya Nature ama revolution?
 
Again mfano sio sahihi, umekuta Jani LA muembe ndani ya Jani kumechorwa sigara,

Je ule mchoro umejichora wenyewe ama intelligent being imeuweka ule mchoro?

Nazungumzia code ndani ya DNA na Sio DNA yenyewe.

Swali linarudi pale pale kwanini DNA zetu zina Digital information? Nani ameweka Codes kwenye DNA zetu? Kuna ushahidi wowote wa Digital information kutokea sababu ya Nature ama revolution?
Mimi nakupa mfano wangu, wewe unauacha mfano wangu unakuja na mwingine tofauti.

Kwa nini unaanza na swali la nani?

Unajuaje jibu linaendana na nani?

Huoni kwamba swali la nani, kuuliza kitu ambacho hatujalijua jibu lake, limejikita kwenye jibu unalolitaka wewe na halijajikita kutafuta jibu la kweli?

Kwa nini swali liwe "nani"?
 
kuna DADA moja nilikutana nae bar flani hiv hapa mjini..nikamuita tujuike pamoja...duh akaanza kusema ana njaa nimpe 10000 ya chakula,mara aseme mama ake ni mgonjwa anahitaji 100000 ya operation,...sijakaa vizuri ktkt ya maongezi mara anasema tena nimpe 35000 anataka kwenda saloon kesho ..eh hata sijamjibu kitu akapita machinga kabeba viatu flan vya kimasai hivi...akaniambia tena Baby ninulie hiki tsh 30000 tu...
Dah Nilivoondoka ondoka pale hata sielewi nilijikuta tu nimefika home..

MAJINI yapo jamani WANAUME wenzangu
😂 😂 😂
 
Kuna nadharia za ajabu sana Africa ambazo huwezi ziona dunia ya kwanza.
Uchawi ni nn.. Nani ambaye anaweza kutupa prove uchawi upo? Nani alimuona mchawi? Nani anaujua uchawi? Uchawi una nguvu gani?

Hayo Majini ni nini? Hakuna cha majini wala babu yake na majini?
Hizo ni drama za kufikirika.

Utasikia kuna majini. Ushawahi kuliona! Utasikia majini majini ni viumbe visivyoonekana kama hayaonekani umejuaje km yapo.
Majini na uchawi ni dhana za kufikilika
Lete prove hapa.

Hakuna cha majini wala uchawi
Mkuu haya mambo yasikie hivi hivi tu omba sana yasikukute..
 
Mtu labda ana tactile hallucination.

Anajisikia kama vile anapandwa na madudu washa au anachomwa miba na watu.

Yeye anajisikia hivyo. Nyie mliomzunguka hamuoni chochote kwa macho yenu kinachomsibu.

Mnaona mtu anawashwa tu kujikuna kuna.

Watu watasema karogwa huyo! So simplistic!

Hatuna muda [pengine hata uwezo] wa kujifunza na kutaka kujua zaidi.

False sensory experiences zipo na ni aina tu ya matatizo ya akili/ ubongo.
Jamii kuwa na imani ya uchawi sana ni dalili ya uvivu uliokithiri katika hiyo jamii.

Watu wavivu kuchunguza vyanzo vya mambo ni rahisi sana kusingizia uchawi vitu.

Hawataki kuvichunguza na wanataka kupata majibu rahisi.

Wanaishia kusema uchawi.
 
Kwa nini swali liwe nani?

Umekuta jani la muembe mlangoni mwako

Unauliza nani kaweka jani hili hapa mlangoni.

Unajuaje swali sahihi ni "nani"?

Kama jani limepeperushwa na upepo huoni kwamba swali la "nani" ni potofu?
You are good at debates!

Lakini ukitaka kujuzwa ukweli lazima ulegeze shingo kidogo!

Ukigangamara na midahalo utaishia kwenye ubishi tu.

Na wewe najua huwa hushindwi.

Kwa tuliokumbana na nguvu za giza tunatizama tu tunasema Hiiiiiiiii....
 
Back
Top Bottom