Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Kwa nini swali liwe nani?Mfano wako si sahihi
Uweke hivi, umekuta mmasai ameuliwa lakini mwilini mwake kumeandikwa neno kwa damu, hivyo Yale maandishi ya damu yanaashiria kifo chake sio natural someone did that.
Same kwa DNA sijakuuliza nani katengeneza DNA Bali nani ameacha Code, Digital information kwenye DNA zetu,
Hili swali Atheist na Scientist wengi wasioamini Mungu mpaka Leo hawajatupa Jibu, hivyo Mkuu Kiranga tusaidie kama Hakuna Intelligence Designer nani amecode DNA zetu?
Umekuta jani la muembe mlangoni mwako
Unauliza nani kaweka jani hili hapa mlangoni.
Unajuaje swali sahihi ni "nani"?
Kama jani limepeperushwa na upepo huoni kwamba swali la "nani" ni potofu?