Uchawi au Majini hayapo! Nani ameshawahi kukutana na jini

Uchawi au Majini hayapo! Nani ameshawahi kukutana na jini

Mkuu kama unajiamini we njoo nikupe namba ya mtaalam wangu.

Mpigie simu umtukane uwezavyo, mchimbe mikwara uwezavyo.

Kitakachokukuta mi sitahusika.

Nilikuwa nae.leo mchana tunaweka mambo flani sawa.

Sina mengi ya kukwambia, karibu mwanza

IMG_20210617_094409_086.jpg
 
Mkuu kama unajiamini we njoo nikupe namba ya mtaalam wangu.

Mpigie simu umtukane uwezavyo, mchimbe mikwara uwezavyo.

Kitakachokukuta mi sitahusika.

Nilikuwa nae.leo mchana tunaweka mambo flani sawa.

Sina mengi ya kukwambia, karibu mwanza

View attachment 1821729
Nikimpigia simu mtu mbona anaweza kunitumia majambazi kwa kutumia namba ya simu.

Wewe mwambie mtaalamu wako amtumie kibomu Kiranga wa JF sasa hivi.

Tena kile cha kukata mikono, Kiranga ashindwe ku type hapa JF, tujue uchawi upo.
 
Nikimpigia simu mtu mbona anaweza kunitumia majambazi kwa kutumia namba ya simu.

Wewe mwambie mtaalamu wako amtumie kibomu Kiranga wa JF sasa hivi.

Tena kile cha kukata mikono, Kiranga ashindwe ku type hapa JF, tujue uchawi upo.
Nicheki whatsapp +255625750755 tumalize kazi.

Mbona rahisi sana hii kuliko kumrudisha msukule.

Niko kilingeni mda huu hio kazi naifanya na bado utasema ni kansa tu sio uchawi
IMG_20210617_094416_507.jpg
IMG_20210617_094416_507.jpg


Mna utani na taaluma za watu nyie
 
Bwana Kiranga.....

Uchawi upo na wachawi wapo.

Nimewashuhudia kwa macho yangu wanaingia ndani ya nyumba usiku saa nane!

Ukiwakurupua wanakimbia wanapotelea ukutani.

Hiyo nayo utanambia nimerukwa na akili?
Kama sio bangi basi njaa, au uchovu au usingizi wa muda mrefu
 
Nicheki whatsapp +255625750755 tumalize kazi.

Mbona rahisi sana hii kuliko kumrudisha msukule.

Niko kilingeni mda huu hio kazi naifanya na bado utasema ni kansa tu sio uchawiView attachment 1821733View attachment 1821733

Mna utani na taaluma za watu nyie
Whatsapp mbona hata wasiojulikana wanaitumia kutafuta watu.

Hiyo hata huhitaji kuwa mchawi ili nikukatalie, unaweza kuwa wasiojulikana tu.

Huo uchawi wako utapata kipi huko Whatsapp ambacho huwezi kukipata hapa?

Maana isije kuwa unanitaka Whatsapp upate namba yangu, unitumie majambazi, halafu useme umenifanyia uchawi.

Wewe uchawi wako upo kwenye Whatsapp tu? JF haufanyi kazi?

Uchawi wa kutumia app maalum?
 
Hata popo bawa ni jini pia, ukipitiwa nalo unaambiwa mpaka utangaze ndio litakuacha
 
Unaweza kuwa sahihi kwa mtazamo wako ila tukiweka mtazamo wako katika mizani hoja zako zinakosa mashiko.

Kuna vitu viwili vya msingi:
Kuwa na uwezo wa kukiona kitu na kitu kuwa na sifa ya kuonekana.

Si kila kitu usicho kiona au kisicho na sifa ya kuonekana hakipo la! Kuna vitu vingi hatuvioni au vyenyewe havina sifa ya kuonekana lakini vipo.

Mfano: Protin, vitamins, gravitational force hivi vyote sayansi inathibitisha kuwa vipo hata wewe mwenyewe unabali kuwa vitu hivi vipo lakini havionekani, hujui rangi wala shep ya vitu hivyo ila ukiulizwa utasema vipo.

Tafiti za kisayansi zimethibitisha uwepo wa baadhi ya vitu kwa nadharia ya matokeo.
Nadharia hii hutumika kuthibitisha uwepo wa kitu au kutokuwepo kwake Kwa kutazama matokeo.
 
Kwanza kabisa nimeuliza uchawi ni nini.

Na utajuaje huu ni uchawi na si kitu kingine ambacho si uchawi ila hujakielewa tu.

Hujajibu.

Muandishi wa riwaya za kisayansi wa Kiingereza Arthur C. Clarke alikuwa na usemi wake mmoja naupenda sana.

Alisema " Any sufficiently advanced technology is indistinguishable from magic".

Yani hata watu kutoka Ulaya walivyokuja na mambo ya gramophone inayopiga muziki, mababu zetu wakaona muziki na sauti za watu zinatoka katika hiki kibox cha gramophone, waliona uchawi.

Hawa mababu zetu wangekuwepo leo wakaona ndege zinaruka, wangeona tunawasilianankwa simu kutoka oande zote za dunia, wangeita huu ni uchawi.

Kumbe ni sayansi tu.

Hawa watu wa kutoka Ulaya walivyoweza kutabiri lini jua litapatwa (solar eclipse), kwa kujua sayansi tu, walionekana wachawi.

Sasa, uchawi ni nini na wewe unajuaje huu ni uchawi na si kitu kingine ambacho hukijui tu kama babu zetu walivyokuwa hawajui gramophone na jinsi ya kutabiri solar eclipse?
una hoja nzito sema tu wengi tunapenda maelezo rahisi. kuna uhusiano mkubwa sana kati ya kuamin katika uchawi na kutoheshim sayansi! watu wengi ukomo wao wa uelewa na ufikiri unapoishia huingia phase ya kuamin uchawi. hivyo uchawi ni pale sayansi inapoishia. na kila mtu ana pa kuishia pake!
 
Nikikwambia kwamba mimi ni Mungu, ila wewe huwezi kujua hilo, kwa sababu ukweli huo umepita uwezo wa akili yako kujua, utabishaje?

Chochote utakachobisha, mimi nitakujibu "huwezi kujua ukweli huu, kwa sababu ukweli huu umepita uwezo wa akili yako kujua".

Huoni hizo habari za "ukweli huu umepita uwezo wa akili yako kuujua" ni kichaka cha kuficha uongo wowote ule?
Una kichwa kigumu sana,inakuwaje una rudia maswali niliyo kujibu ? Jibu hili swali.

Kingine,uwe una jibu maswali ninayo kuuliza.
 
Vitabu vya dini vinakuambia mababu na mabibi zako wote waliozaliwa kabla ya Yesu na Mtume, na hata waliozaliwa baada lakini hawakuwajua wageni hawa na dini zao kwa sababu ya umbali huko Africa watachomwa na moto wa milele na Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, kwa kuwa hawakumjua huyo Mungu, kwa kuwa hawakupewa ufunuo wa vitabu hivyo vya dini kumjua huyo Mungu.

Unaamini hili nalo?
Vitabu gani vinasema haya ? Nitajie vitabu vinne tu.
 
I have meets with this guys,they are so cool and humble "THIS IS CREATURES OF SPECIAL PRINCIPLES...DO YOU WISH TO SEE? ARE YOU CLEAN ENOUGH?,DO YOU WANT TO POSSESS ONE?I HAVE MANY I CAN GIVE YOU A LITTLE ONE.
sikupingi mtaalamu 🦹🏿‍♂️
 
Whatsapp mbona hata wasiojulikana wanaitumia kutafuta watu.

Hiyo hata huhitaji kuwa mchawi ili nikukatalie, unaweza kuwa wasiojulikana tu.

Huo uchawi wako utapata kipi huko Whatsapp ambacho huwezi kukipata hapa?

Maana isije kuwa unanitaka Whatsapp upate namba yangu, unitumie majambazi, halafu useme umenifanyia uchawi.

Wewe uchawi wako upo kwenye Whatsapp tu? JF haufanyi kazi?

Uchawi wa kutumia app maalum?
Hapo kwenye picha kasha tapeli mjinga mmoja buku tano [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi nakupa mfano wangu, wewe unauacha mfano wangu unakuja na mwingine tofauti.

Kwa nini unaanza na swali la nani?

Unajuaje jibu linaendana na nani?

Huoni kwamba swali la nani, kuuliza kitu ambacho hatujalijua jibu lake, limejikita kwenye jibu unalolitaka wewe na halijajikita kutafuta jibu la kweli?

Kwa nini swali liwe "nani"?
Sababu mfano wako haushabihiani na swali langu, unatunga mfano wa uongo ili update urahisi wa kujibu.

Swali lipo pale pale nani ka code DNA zetu? Kama hauna jibu usipotoshe watu humu wakati mwenyewe huna majibu.
 
Back
Top Bottom