Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajinga ndio waliwao, hata hapa anatangaza biashara tu huyu.Hapo kwenye picha kasha tapeli mjinga mmoja buku tano [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimekuuliza hivi, kwa nini swali liwe nani?Sababu mfano wako haushabihiani na swali langu, unatunga mfano wa uongo ili update urahisi wa kujibu.
Swali lipo pale pale nani ka code DNA zetu? Kama hauna jibu usipotoshe watu humu wakati mwenyewe huna majibu.
Wewe ulikuwa umelewa balimikuna DADA moja nilikutana nae bar flani hiv hapa mjini..nikamuita tujuike pamoja...duh akaanza kusema ana njaa nimpe 10000 ya chakula,mara aseme mama ake ni mgonjwa anahitaji 100000 ya operation,...sijakaa vizuri ktkt ya maongezi mara anasema tena nimpe 35000 anataka kwenda saloon kesho ..eh hata sijamjibu kitu akapita machinga kabeba viatu flan vya kimasai hivi...akaniambia tena Baby ninulie hiki tsh 30000 tu...
Dah Nilivoondoka ondoka pale hata sielewi nilijikuta tu nimefika home..
MAJINI yapo jamani WANAUME wenzangu
Sawa mkuu ila tunaomba utudhibitishie.Yani wewe huwezi elewa sababu Shetani ameshakuwin na huwezi pata jaribu lolote lile.
Funny thing na shetani, akishakuweka kwenye 18 na ukaishi kwenye kambi yake huwezi ona mauza uza hata siku moja kwa sababu wewe ndo ushaolewa tayari
Hayo yote utayaona kwenye vita ya kiroho, otherwise tutabishana miaka 1000 na tusikubaliane.
Mie nimeshapambana na nguvu za kishetani mara kibao na kila ninaposali sana lazima siku hiyo nijaribiwe.
Dhibitisha uchawi na majini mkuu ili tuamini.Nimeishia kumuonea huruma
😀😀😀😀😀😀...Naomba nikusaidie kidogo mto mada. Hapo kwenye 'lete Prove' inatumiaka zaidi 'Lete Proof'!!
Kwanza kabisa nimeuliza uchawi ni nini.
Uchawi unajulikana kwa sababu nyingi sana,hasa kwa masharti ambayo ukiyapima huoni uhusiano wa moja kwa moja na huwa ni magumu. Mathalani ukiambiwa uende njia panda upasue nazi kisha usigeuke nyuma na mfano wa hayo.Na utajuaje huu ni uchawi na si kitu kingine ambacho si uchawi ila hujakielewa tu.
Huyu muongo na alikuwa hajui nini UCHAWI.Muandishi wa riwaya za kisayansi wa Kiingereza Arthur C. Clarke alikuwa na usemi wake mmoja naupenda sana.
Alisema " Any sufficiently advanced technology is indistinguishable from magic".
Wazee wetu mambo mengi sana walikuwa wanayafanya pasi na elimu ya hakika kabisa,sababu laiti kama wangejua historia ya Uchawi basi hayo ya Wazungu wasingeona uchawi. Uchawi umegawanyika sehemu mbili,na wa mwanzo kuwa na elimu ya Uchawi ni majini,na majini walikuwa wanawafundisha watu,rejea habari za Mfalme Suleyman,aina ya pili ya uchawi ni ule uchawi ambao walikuja nao Malaika wawili wakashuka nao kule Baabil (Babeli),wanazuoni wanasema Uchawi huu ni ule wa kuwafarakanisha wapenda nao yaani mke na mume,na ule wanao fundisha Mashetani ndiyo unao husu mambo mengine kama vile mauaji na mfano wake.Yani hata watu kutoka Ulaya walivyokuja na mambo ya gramophone inayopiga muziki, mababu zetu wakaona muziki na sauti za watu zinatoka katika hiki kibox cha gramophone, waliona uchawi.
Hawa mababu zetu wangekuwepo leo wakaona ndege zinaruka, wangeona tunawasilianankwa simu kutoka oande zote za dunia, wangeita huu ni uchawi.
Kumbe ni sayansi tu
Kwa anaye jua Sayansi na misingi yake hawezi kudai Uchawi ni Sayansi au kulinganisha viwili hivi.Kumbe ni sayansi tu.
Suala jua kupatwa au mwezi kupatwa,sisi wengine tunajua pasi na kutegemea tabiri za Kisayansi,ambazo zimemili katika ubahatishaji,mimi najua kabisa ya kupatwa kwa jua hakutoi nje ya tarehe fulani miaka yote kadhalika kupatwa kwa mwezi.Hawa watu wa kutoka Ulaya walivyoweza kutabiri lini jua litapatwa (solar eclipse), kwa kujua sayansi tu, walionekana wachawi.
Haya jibu nini/kipi/nani aliecode/kilichocode DNA zetu?Nimekuuliza hivi, kwa nini swali liwe nani?
Swali linaweza kuwa nini, kipi, etc, kwa nini liwe nani?
Huoni kwamba unakuja na jibu lako mfukoni halafu unauliza swali linalolenga kwenye jibu lako?
Au unafanya hivyo kwa ufinyu wa mawazo tu, huelewi kwamba swali la "nini" ni pana na zuri zaidi ya swali la "nani"?
Unaelewa kwamba "nani" ipo katika "nini" lakini nini haipo katika "nani"?
Unaelewa kwamba "nani" ni subset ya "nini"?
Kwa nini unauliza swali la subset wakati unaweza kuuliza swali la full set?
Hii si kweli sababu tamko "nani ?" ni kiulizi kwa kile chenye ufahamu na nini ni kinyume chake (au tunasema kwa Hayawani).Unaelewa kwamba "nani" ni subset ya "nini"?
Ngoja nikupe faida,kuhusu kupatwa kwa jua na mwezi.Hawa watu wa kutoka Ulaya walivyoweza kutabiri lini jua litapatwa (solar eclipse), kwa kujua sayansi tu, walionekana wachawi.
Unajua kilugha tamko "nini" ni kwa vile ambavyo havina akili yaani hayawani. Sasa kwanini iwe nini ? Na nini inaweza kufanya nini ? Yaani unaijua mipaka ya tamko "nini ?" ? Usitake kulazimisha Uongo uwe ukweli,jambo ambalo ni Muhali.Nimekuuliza hivi, kwa nini swali liwe nani?
Swali linaweza kuwa nini, kipi, etc, kwa nini liwe nani?
Huoni kwamba unakuja na jibu lako mfukoni halafu unauliza swali linalolenga kwenye jibu lako?