Uchawi au Majini hayapo! Nani ameshawahi kukutana na jini

Uchawi au Majini hayapo! Nani ameshawahi kukutana na jini

Mleta mada niko na wewe waache waamini wenyewe hayo ma imagination yao. Km wanaweza watuletee prove apa si kuleta stor za alfu ulela hapa. Mleta mada safi sana
 
Hivi mbona maneno yamekuwa meengi lakini hakuna anayeweka picha ya JINI au ushahidi rasmi ili tumalize huu ubishi?

Kusema tu Majini yapo ilihali hata picha ya jini angalau mmoja haiwekwi hapa ni kupoteza muda na kubishana pasipo mwisho

Kama wenzetu Waislam mnaswali nao si mtusaidie angalau tuone picha hata ya Maimuna tu?
Wanaweza wakaja na kisingizio kwamba jini halipigiki picha!

Waumini wa uchawi wana visingizio vingi!
 
Acha upambavu dogo.
uchawi upo me mwenyewe nishapoteza ndugu kwa huo uchawi (hawakuwa warengwa)

Kuhusu jini sijawahi liona, ila uchawi sio kuuonatu, mpaka kuubeba.

Ila malezi nayo yana changia, huwezi lelewa maisha ya mboga saba ukaujua uchawi, ila ungezaliwa uswahilini usingeongea hivi.
Leta uthibitisho
 
Unajua kilugha tamko "nini" ni kwa vile ambavyo havina akili yaani hayawani. Sasa kwanini iwe nini ? Na nini inaweza kufanya nini ? Yaani unaijua mipaka ya tamko "nini ?" ? Usitake kulazimisha Uongo uwe ukweli,jambo ambalo ni Muhali.
Meza ni hayawani?
 
Naam ni Hayawani.

Uwe unajibu maswali ninayo kuuliza. Hujajibu hata moja mpaka muda huu.
Wewe hata Kiswahili tu hujui.


Swahili[edit]​

Etymology[edit]​

From Arabic حَيَوَان‎ (ḥayawān).

Pronunciation[edit]​

  • Audio (Kenya)
    1623948247171.png


    MENU


    0:00

Noun[edit]​

hayawani (n class, plural hayawani)

  1. (uncommon, literary) animal
  2. idiot, brute (a person who behaves animalistically)

Synonyms[edit]​

 
Wewe hata Kiswahili tu hujui.


Swahili[edit]​

Etymology[edit]​

From Arabic حَيَوَان‎ (ḥayawān).

Pronunciation[edit]​

Noun[edit]​

hayawani (n class, plural hayawani)

  1. (uncommon, literary) animal
  2. idiot, brute (a person who behaves animalistically)

Synonyms[edit]​

Vitu ni katika hayawani mzee,ndiyo maana nimekwambia vyote visivyo na akili au maarifa. Wanyama wanaingia na vitu vinaingia.

Shida yako hukujua hata tamko "Hayawani" ni la asili ya kiarabu.
 
Vitu ni katika hayawani mzee,ndiyo maana nimekwambia vyote visivyo na akili au maarifa. Wanyama wanaingia na vitu vinaingia.

Shida yako hukujua hata tamko "Hayawani" ni la asili ya kiarabu.
Acha kufikiri kwamba wewe pekee ndiye unajua mizizi ya maneno.

Mimi nimekuwekea link inayoonesha mzizi wa neno ni Kiarabu, utasemaje sijui mzizi wa neno ni Kiarabu?

Kwani hapa tunajadili Kiswahili au Kiarabu?

Mbona Kiswahili tunamuita Rais mwanamke Amiri wakati Kiarabu Amiri ni mwanamme?

Swali lako la "nani" lina assume kwamba, ulimwengu ni lazima umeumbwa na Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote mwenye nafsi

Wakati huna ushahidi wala uthibitisho wowote.

Unauliza swali ukiwa umelenga jibu lako unalolitaka tayari.

Hujauliza swali lililo open ili ujue jibu.

Huyo Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote ni hadithi tu, kiuhalisia hayupo.

Ndiyo maana mpaka sasa hujaweza kuthibitisha Mungu huyo yupo, na wala hujaweza kuondoa contradictions katika dhana ya uwepo wake.
 
Wanaweza wakaja na kisingizio kwamba jini halipigiki picha!

Waumini wa uchawi wana visingizio vingi!
Dunia ni zaidi ya uijuavyo na ina mambo mengi ambayo haujayajua bado.

Ukitaka kuyajua utayajua. Ukitaka midahalo ya ubishi pia ni sawa. Ni uchaguzi.

Unachagua kati ya kujuzwa ama kukomaa na ubishi.

Uchawi upo na tumeuona.

Utauliza uchawi unafananaje? Nikikwambia uchawi unafanana na sufuria utaamini?

Au utaniita mgonjwa wa akili?

Mnaita nini ile? schizophrenia sijui?
 
Dunia ni zaidi ya uijuavyo na ina mambo mengi ambayo haujayajua bado.

Ukitaka kuyajua utayajua. Ukitaka midahalo ya ubishi pia ni sawa. Ni uchaguzi.

Unachagua kati ya kujuzwa ama kukomaa na ubishi.

Uchawi upo na tumeuona.

Utauliza uchawi unafananaje? Nikikwambia uchawi unafanana na sufuria utaamini?

Au utaniita mgonjwa wa akili?

Mnaita nini ile? schizophrenia sijui?
Unaweza thibitisha uchawi upo?
 
Unaweza thibitisha uchawi upo?
Wewe umefika mbali huko kwenye kuthibitisha?

Mimi nimeanza kutaka definition tu ya uchawi.

Uchawi ni nini?

Mpaka sasa sijajibiwa.

Sasa, watu wasioweza hata kutoa definition tu, kunieleza uchawi ni nini, napata tabu kukubali kwamba watakuwa na uwezo wa kuthibitisha uchawi upo.
 
Mwingine mimemueleza humu kwamba nimewaona wachawi wakiingia na kutokomea ukutani, akabaki kung'aka...... oooh umerukwa na akili!

Nimerukwa na akili? Hahahaa.....

Ati nina schizophrenia!

Mwingine akaniambia nina malaria sugu!!

Yaani.... ni mwendo wa ubishi ubishi tu!

Ohh ati hiyo ni metaphysics na sio uchawi!

Metaphysics eeehhh???
 
Acha kufikiri kwamba wewe pekee ndiye unajua mizizi ya maneno.

Mimi nimekuwekea link inayoonesha mzizi wa neno ni Kiarabu, utasemaje sijui mzizi wa neno ni Kiarabu?

Kwani hapa tunajadili Kiswahili au Kiarabu?

Mbona Kiswahili tunamuita Rais mwanamke Amiri wakati Kiarabu Amiri ni mwanamme?

Swali lako la "nani" lina assume kwamba, ulimwengu ni lazima umeumbwa na Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote mwenye nafsi

Wakati huna ushahidi wala uthibitisho wowote.

Unauliza swali ukiwa umelenga jibu lako unalolitaka tayari.

Hujauliza swali lililo open ili ujue jibu.

Huyo Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote ni hadithi tu, kiuhalisia hayupo.

Ndiyo maana mpaka sasa hujaweza kuthibitisha Mungu huyo yupo, na wala hujaweza kuondoa contradictions katika dhana ya uwepo wake.
Hujui kama Hayawani ni katika maneno ya Kiarabu ? Lazima turudi katika asili.
 
Mwingine mimemueleza humu kwamba nimewaona wachawi wakiingia na kutokomea ukutani, akabaki kung'aka...... oooh umerukwa na akili!

Nimerukwa na akili? Hahahaa.....

Ati nina schizophrenia!

Mwingine akaniambia nina malaria sugu!!

Yaani.... ni mwendo wa ubishi ubishi tu!

Ohh ati hiyo ni metaphysics na sio uchawi!

Metaphysics eeehhh???
Uchawi ni nini?

Unaelewa kwamba hakuna shrria ya kisayansi inayokuzuia wewe kupita kwenye ukuta wa matofali usio na mlango, kinachokuzuia ni statistical chances tu?

Unaelewa kwamba mtu anaweza kupita kwenye ukuta wa matofali akatokea upande wa pili bila kuchubuka wala kuvunja sheria yoyote ya kisayansi?
 
Uchawi ni nini?

Unaelewa kwamba hakuna shrria ya kisayansi inayokuzuia wewe kupita kwenye ukuta wa matofali usio na mlango, kinachokuzuia ni statistical chances tu?

Unaelewa kwamba mtu anaweza kupita kwenye ukuta wa matofali akatokea upande wa pili bila kuchubuka wala kuvunja sheria yoyote ya kisayansi?
Wewe unaweza kupita kwenye ukuta na kutokezea upande wa pili?
 
Mbona Kiswahili tunamuita Rais mwanamke Amiri wakati Kiarabu Amiri ni mwanamme?
Hakuna kanuni ya Kiswahili inayoruhusu kuandika tamko lisilo na irabu mwisho,rekebisha hapo "Rais" ni "Raisi".

Hili la kumuita Raisi wa kike Amiri Jeshi lazima utupe marejeo ya kielimu toka kwa Wanazuoni wa lugha ya Kiswahili.
 
Mwingine mimemueleza humu kwamba nimewaona wachawi wakiingia na kutokomea ukutani, akabaki kung'aka...... oooh umerukwa na akili!

Nimerukwa na akili? Hahahaa.....

Ati nina schizophrenia!

Mwingine akaniambia nina malaria sugu!!

Yaani.... ni mwendo wa ubishi ubishi tu!

Ohh ati hiyo ni metaphysics na sio uchawi!

Metaphysics eeehhh???
Uliwaona wapi wewe hao wachawi wakiingia na kutokomea ukutani?

You are funny AF 🤣🤣
 
Wewe unaweza kupita kwenye ukuta na kutokezea upande wa pili?
Mpaka leo sijaweza, kwa sababu ya statistical chances.

Lakini pia sijaweza kuendesha ndege. Kuendesha ndege si uchawi. Your question is moot.

Let me indulge you.

Wewe unaweza kuthibitisha kuna watu waliweza?

Nikisema hujaona hilo, unadanganya tu, utathibitisha vipi kwamba limetokea kweli?
 
Back
Top Bottom