Hachukui round atakufa tenaHuyo dogo nilivyoambiwa yupo hai sikuamini hadi nikivyokwenda kwao kumshuhudia na uzuri wake mama yake anaruhusu umsalimie,mkuu hatari sana,ila sasa hv anameshajua kuwa alichukuliwa kimazingira na watu wabaya,aliuliwa kimazingira,inauma sana kumbe inawezekana watu kibao hawafi kikwelikweli
Mwezi w tisa huu yupo poa tu,mtaalam aliyemshughulikia anasema akifa sasa hv ni kwa uwezo wa Mungu ila sio mwanadamu,waliomfanyia kutendo hicho wamedondoka mmoja baada ya mwingine hasa pale walipojaribu kumchukua tena kimazingara pale alipoonekana kama amefufukaHachukui round atakufa tena
Yap Yapwatu wanajaribu kuvunja rekodi ya yesu......
Naam kumbe nilikuwa sahihi, salama yake ni hao nyang'au kufaMwezi w tisa huu yupo poa tu,mtaalam aliyemshughulikia anasema akifa sasa hv ni kwa uwezo wa Mungu ila sio mwanadamu,waliomfanyia kutendo hicho wamedondoka mmoja baada ya mwingine hasa pale walipojaribu kumchukua tena kimazingara pale alipoonekana kama amefufuka
Anasema anamkumbuka mama fulani,anamtaja jina,ndio alikuwa anamchukuaga anamfunga kitambaa cheusi anamfanyisha kazi mbalimbali,huyo mama ni wa mtaani kwaoNaam kumbe nilikuwa sahihi, salama yake ni hao nyang'au kufa
Ama sivyo wangemchukua tena
Mkimuuliza ana kumbukumbu ya huko atokako?
Wachawi bwana sijui wanapata nini na hayo mamboAnasema anamkumbuka mama fulani,anamtaja jina,ndio alikuwa anamchukuaga anamfunga kitambaa cheusi anamfanyisha kazi mbalimbali,huyo mama ni wa mtaani kwao
We acha tu,binadam michosho sanaWachawi bwana sijui wanapata nini na hayo mambo
Wangetusaidia kuwanyoosha wazungu wanaotuburuza daily ingependeza
100%Hili shimo mbona jipya kabisa kama halijawahi kufukiwa