squirtinator
JF-Expert Member
- Sep 20, 2015
- 2,765
- 4,182
Fifa wanazo hadi video za ZBC2 wachezaji wa simba walimulikwa machono.Lisemwalo lipo Ndugu yangu...but it does not matter...tuwapongeze Simba kwa ushindi....Ila nina hofu na mechi zijazo...picha hizi za wachezaji wa Vita zikitumwa huko CAF na FIFA ni lazima wataleta wataalamu kuchunguza...na hiyo ikitokea ina madhara kwa soka yetu...
HahahaWamevaa mask kama wapo wodi wa wagonjwa wa kifua kikuu.
Ila Mkuu umeumia sana kuliko hata mlivyofungwa na Lipuli!Huyo kocha nae hajui tunaomia ni sisi...
Hzo masks namba mbili ndio ulitakiwa waje nazo na mitungi ya oxygen wangeweza kupambana
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ndio linalotakiwa...subiri barua zetu zijibiwe caf hukoUkiangalia mechi za Simba S.C za hivi karibuni utagundua kuwa fitness yao imeimprove sana na ndiyo maana wanapata matokeo second half kuanzia Al Ahly, Yanga na AS Vita.
Fitness coach anafanya kazi yake na inaonekana.
Hii imepelekea timu pinzani kuogopa kuingia changing room kuhofia dawa za kulegeza mwili.
Nafikiri baadaye watadai Simba wapimwe dawa za kuongeza nguvu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila Mkuu umeumia sana kuliko hata mlivyofungwa na Lipuli!
Nilichogundua wewe ni mshabiki wa Simba bila kujua!
HahahaUmenitusi sana mkuu....yan toka nizaliwe hakuna mtu aliewahi kunitusi kama wewe
Hivi unajua mimi bora nilale kituoni kuliko kupanda daladala la mwisho lenye chata za simba??
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli mkuu.Mpira uliochezwa ni wa kiwango cha juu .Simba imestaili huu ushindi.Simba utu hawana....wapo tayari kuwadhuru wenzao ili wao wanufaike
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa, fitness level imeongezeka kwa kiwango kikubwa sana.Ukiangalia mechi za Simba S.C za hivi karibuni utagundua kuwa fitness yao imeimprove sana na ndiyo maana wanapata matokeo second half kuanzia Al Ahly, Yanga na AS Vita.
Fitness coach anafanya kazi yake na inaonekana.
Hii imepelekea timu pinzani kuogopa kuingia changing room kuhofia dawa za kulegeza mwili.
Nafikiri baadaye watadai Simba wapimwe dawa za kuongeza nguvu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Fifa wanazo hadi video za ZBC2 wachezaji wa simba walimulikwa machono.
Kwani timu huwa zinakatazwa kacha watu wao ndani ya vyumba??? Hii sababu ya kupuliziwa huwa naisikia sana watu wakifungwa. Swali je hurusiwi kuweka komandoo wako ndani ya chumba kabla ya mchezo na halftime. Au sumu inapulizwa week kabla ya mchezo. Kama madawa michezoni ni haramu, Caf kwa nini wasiwe wanachukua sample za hewa ndani ya vyumba before and after halftime na damu/mkojo za wachezaji kwani maanabara zitaonesha tu. Tuachane na huu ushamba! Ndio maana tukienda kumbe la dunia africa tunafunhwa tu
Hahaha
Inawezekana unashabikia Simba bila kujua Mkuu,halafu mbona umetoa Avatar ile ya Vita?
Kwanza ni upuuzi na uharo umeandikwa hapa.
FIFA hairuhusu haya mambo yafanyike katika soka na kama ushahidi upo Simba anatumia madawa kuwalegeza wenzake mnashindwa nini kupeleka ushahidi wenu CAF au FIFA ili Simba apigwe rungu?
Sidhani kama mtu mzima aliyetimia akili anaweza kuja na hoja za kipuuzi namna hii.
Una ushahidi mgosi?Hakuna pumzi mzeebaba...madawa yakulegeza misuli na kuwadhoodisha wapinzani yamewasaidia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi huo ndio ushahidi kweli na unaona umeongea point?Sijakuelewa au pengine hujanielewa ...nasema hivi picha za wachezajiwa Vita wakiwa na 'masks' wakati wa halftime zikitumwa huko CAF na FIFA suala hili linaweza likachukua sura nyingine...
Hoja mbovu sijapata kuona. Subiri uone kama kuna reaction yoyote itachukuliwa.