magagafu
JF-Expert Member
- Jan 31, 2016
- 1,196
- 1,309
Vita wamefungwa na vitu vitatu
1.ubora wa Simba wakiwa nyumbani na mashabiki wake
2.Zahera kawatoa mchezoni kawajaza sumu Kila kitu wakawa wanaona wanafanyiwa uchawi...kipindi Cha pili hawajaingia changing room wakawa koridoni,wakakosa utimamu wamwili wakawa na hofu kuwa washarogwa
3.Matokeo ya As Vita Yale ya sare yalikua mabaya kwao kwani CAF sikuhizi nao wanaangalia Head to Head...Kama uliona kuanzia dkk ya 70 As Vita timu ilikatika mbele wapo wa 5 Kati kupo tupu nyuma wa 5 na sub za Simba zilikua za kiufundi Sana maana anaingia Niyonzima ni kiungo,Rashidi juma kiungo mshambuliaji,Dilunga kiungo waliotoka kotei na mzamiru ambao kwa Jana walikua viungo wakabaji kwaio mechi inaelekea mwisho Simba hatuna kiungo mkabaji halisi,As Vita kocha alikosea kumtoa makusu maana nae alitakiwa afunguke Kama simba alivyofunguka walitakiwa watoe kiungo mkabaji au hata beki aingie forward kusaidiana na wakina makusu....ila rekodi ya Simba pale kwa mkapa inatisha Sanaaaaaa "Uwanja wa Taifa kwenye Klabu bingwa Africa ni kabuli la wazi" by Haji S Manara
Sent using Jamii Forums mobile app
1.ubora wa Simba wakiwa nyumbani na mashabiki wake
2.Zahera kawatoa mchezoni kawajaza sumu Kila kitu wakawa wanaona wanafanyiwa uchawi...kipindi Cha pili hawajaingia changing room wakawa koridoni,wakakosa utimamu wamwili wakawa na hofu kuwa washarogwa
3.Matokeo ya As Vita Yale ya sare yalikua mabaya kwao kwani CAF sikuhizi nao wanaangalia Head to Head...Kama uliona kuanzia dkk ya 70 As Vita timu ilikatika mbele wapo wa 5 Kati kupo tupu nyuma wa 5 na sub za Simba zilikua za kiufundi Sana maana anaingia Niyonzima ni kiungo,Rashidi juma kiungo mshambuliaji,Dilunga kiungo waliotoka kotei na mzamiru ambao kwa Jana walikua viungo wakabaji kwaio mechi inaelekea mwisho Simba hatuna kiungo mkabaji halisi,As Vita kocha alikosea kumtoa makusu maana nae alitakiwa afunguke Kama simba alivyofunguka walitakiwa watoe kiungo mkabaji au hata beki aingie forward kusaidiana na wakina makusu....ila rekodi ya Simba pale kwa mkapa inatisha Sanaaaaaa "Uwanja wa Taifa kwenye Klabu bingwa Africa ni kabuli la wazi" by Haji S Manara
Sent using Jamii Forums mobile app