Uchawi na fitna ndio zilizowamaliza AS Vita

Uchawi na fitna ndio zilizowamaliza AS Vita

mkuu kitu nilichogundua baadhi ya watu wanapiga kelele ila hawaelewi falsafa za kocha, ha yawezekana zile sub hakuona zilikuwa na impact gani.ila mtu angelijua asingelisema yote haya, watu mbele waliingizwa watu ambao walifanya kazi kwa upande wa vita kuwa ngumu maana ni watu ambao wanakasi saa zote mtu ka Rashidi. Dillunga. Niyonzima, sasa unategemea nini kama watu wanamiliki mpira tena mashambulizi yanaongezeka kasi zaidi ya awali?
kiufupi mkufunzi alijua muda umekwenda na ile sare isingemsaidia ndo maana akafanya kuongeza viungo washambuliaji ambao waliongeza kasi ya mchezo na kukavuruga mipango yote ya vita na wakashindwa kwenda na ile kasi wakawa wanajitahidi tuu japo kupata sare, na akili zikawa zimeanza kuridhika na sare kitu ambacho hakitakiwi sikuzote unapigana kushambulia ili kupunguza kasi ya kushambuliwa, ila ukipunguza ushambulizi inamaanisha unakaribisha moto nyumbani.
Yotekwa yote Zahera aliwaondoa mchezoni baadaya ya kuwapa fufunu za hujuma kitu ambacho si kweli na kulitusaidia sana kitendo cha kukaa pale nje kuliwapoteza sana. na wakati mwingine wajifunze.
Huyu mleta mada anaelewa ila naona tu anajitoa ufahamu. Dkk kuanzia ya sabini tulishambuliana kwa zamu japo mashambulizi ya simba ndio yalitikisa zaidi maana tulikosa magoli ya wazi karibu mawili na kipa tuu kwa kweli wanae. Aliwasaidia sana kipa kusave.

Sent from my Nokia 6 using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mleta mada anaelewa ila naona tu anajitoa ufahamu. Dkk kuanzia ya sabini tulishambuliana kwa zamu japo mashambulizi ya simba ndio yalitikisa zaidi maana tulikosa magoli ya wazi karibu mawili na kipa tuu kwa kweli wanae. Aliwasaidia sana kipa kusave.

Sent from my Nokia 6 using Jamii Forums mobile app
kingine ni uzalendo tunakosa, mi nikiangaliaga mech za wamisri yani ni non stop kelele za mashabiki na hakuna mashabiki wa timu pinzani na ka wanakuwepo labda kidogo sana ambao hufunikwa na wengi wa timu wenyi, hivi pale kongo nani walitushangilia? au pale Algeria au pale Misri? watanzania tunajisahau sana tena sana
 
Lisemwalo lipo Ndugu yangu...but it does not matter...tuwapongeze Simba kwa ushindi....Ila nina hofu na mechi zijazo...picha hizi za wachezaji wa Vita zikitumwa huko CAF na FIFA ni lazima wataleta wataalamu kuchunguza...na hiyo ikitokea ina madhara kwa soka yetu...
Hapahapa robo kunatosha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wote mtakubaliana na mimi kwamba as vita aliecheza kipindi cha kwanza sio yule aliecheza kipindi cha pili...zilikua ni team mbili tofauti kabisa.
Kipindi cha pili as vita walionekana kulegea na miili yao kuchoka sana hio inatokona na dawa zile za kupuliza ambazo huwa zinafanya kazi taratibu na kadri misuli inavyopata moto ndio mwili unalegea...

As vita walijihadhari lakini kishamba sana wao walitumia "dust masks" ambazo kiuhalisia haziwezi kuzuia gas ya sumu..

Hizo picha hapo moja ni dust masks walizovaa wachezaji wa vita wakiwa vyumbani....

Picha ya pili ndio mask ulizotakiwa wavae kwa kipindi chote wakiwa vyumban ikiwezekana na mitungi ya oxygen mgongoni. As vita mjifunze mkiwa mnakuja kucheza na watu wa figisufigusi mjipange kweli kweli sio kufanya mambo ya ajabu kama jana,mmeruhusu sumu iwaingie wachezaji na ikawapoteza kabisa.

Jambo lingine ni uchawi hili nitalizungumzia siku nyingine hadi na kwa mzee walionda hawa viongozi wa mikia fc View attachment 1047447View attachment 1047448

Sent using Jamii Forums mobile app
Toa Uthibitisho mkuu

Vyura acheni wivu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yan hata mikia wenyewe waangalie rekodi zao jinsi wanavyoshinda pale taifa,mechi zote kipindi cha pili wapinzani wao wanabadilika kiuchezaji na kuwa kua km mazombi,eti wanamsifia niyonzima,wakati niyonzima anaingia wale vita sumu ishawakole mwilini!
Mbona hamuhitaji yanga,afrika lion,azam,stand

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1552826544954.png
 
Mimi ni mzalendo...tehtehtehte...Ila Ndugu yangu...jambo hili siyo zuri...picha hizo za wachezaji wa Vita (kama ni za kweli) zikisambaa mitandaoni na hata kuwafikia CAF au FIFA yaani wachezaji hao wakionekana wamevaa masks wakati wa halftime kwa maelezo kuwa wanajikinga na hewa ya sumu kwenye vyumba vya kubadilishia nguo, nakuthibitishia kuwa this will send shock waves kwenye jamii ya soka duniani.....
wewe ni sawa na wale wanaoamini kila anayevaa kanzu na barghashia au hijab ni muislam

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wote mtakubaliana na mimi kwamba as vita aliecheza kipindi cha kwanza sio yule aliecheza kipindi cha pili...zilikua ni team mbili tofauti kabisa.
Kipindi cha pili as vita walionekana kulegea na miili yao kuchoka sana hio inatokona na dawa zile za kupuliza ambazo huwa zinafanya kazi taratibu na kadri misuli inavyopata moto ndio mwili unalegea...

As vita walijihadhari lakini kishamba sana wao walitumia "dust masks" ambazo kiuhalisia haziwezi kuzuia gas ya sumu..

Hizo picha hapo moja ni dust masks walizovaa wachezaji wa vita wakiwa vyumbani....

Picha ya pili ndio mask ulizotakiwa wavae kwa kipindi chote wakiwa vyumban ikiwezekana na mitungi ya oxygen mgongoni. As vita mjifunze mkiwa mnakuja kucheza na watu wa figisufigusi mjipange kweli kweli sio kufanya mambo ya ajabu kama jana,mmeruhusu sumu iwaingie wachezaji na ikawapoteza kabisa.

Jambo lingine ni uchawi hili nitalizungumzia siku nyingine hadi na kwa mzee walionda hawa viongozi wa mikia fc View attachment 1047447View attachment 1047448

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza ni muongo mana hao vita hata vyumbani hawakuingia, hapo ni kolidoni,
Pili vita hawakuchoka ila walizidiwa mbinu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wote mtakubaliana na mimi kwamba as vita aliecheza kipindi cha kwanza sio yule aliecheza kipindi cha pili...zilikua ni team mbili tofauti kabisa.
Kipindi cha pili as vita walionekana kulegea na miili yao kuchoka sana hio inatokona na dawa zile za kupuliza ambazo huwa zinafanya kazi taratibu na kadri misuli inavyopata moto ndio mwili unalegea...

As vita walijihadhari lakini kishamba sana wao walitumia "dust masks" ambazo kiuhalisia haziwezi kuzuia gas ya sumu..

Hizo picha hapo moja ni dust masks walizovaa wachezaji wa vita wakiwa vyumbani....

Picha ya pili ndio mask ulizotakiwa wavae kwa kipindi chote wakiwa vyumban ikiwezekana na mitungi ya oxygen mgongoni. As vita mjifunze mkiwa mnakuja kucheza na watu wa figisufigusi mjipange kweli kweli sio kufanya mambo ya ajabu kama jana,mmeruhusu sumu iwaingie wachezaji na ikawapoteza kabisa.

Jambo lingine ni uchawi hili nitalizungumzia siku nyingine hadi na kwa mzee walionda hawa viongozi wa mikia fc View attachment 1047447View attachment 1047448

Sent using Jamii Forums mobile app
Nikumbushe Mkuu,Yanga walivaa mask gani Kati ya hizo mbili,nakumbuka nae alipokea kipigo kwenye uwanja huo huo siku si mingi
 
Back
Top Bottom