Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekatala. Eske umemupatiya jina ya kabhambee Sana. Bon, umuitanie tu petit jhuuu futboli hayuake hata.
Unadhani CAF ni wapumbavu na wana upungufu wa mawazo kama wewe?Sijakuelewa au pengine hujanielewa ...nasema hivi picha za wachezajiwa Vita wakiwa na 'masks' wakati wa halftime zikitumwa huko CAF na FIFA suala hili linaweza likachukua sura nyingine...
Unadhani CAF ni wapumbavu na wana upungufu wa mawazo kama wewe?
na nivizuri zifike ili Vita wathibitishe na pindi ikisibitita sivyo wapate walichotarajia. mambo ni rahisi sana ni uchunguzi then matokeo haradhariLisemwalo lipo Ndugu yangu...but it does not matter...tuwapongeze Simba kwa ushindi....Ila nina hofu na mechi zijazo...picha hizi za wachezaji wa Vita zikitumwa huko CAF na FIFA ni lazima wataleta wataalamu kuchunguza...na hiyo ikitokea ina madhara kwa soka yetu...
na mkuu hakuna kitu kizuri ka kuwaogopesha wapinzani ki saikolojia maana wanatoka mchezoni. na pindi watokapo ndo muda mzuri wa kupata ushindi, mpira ni mbinu na ndo maana kunapropaganda pia ni katika kutafuta ushindi,Ukiangalia mechi za Simba S.C za hivi karibuni utagundua kuwa fitness yao imeimprove sana na ndiyo maana wanapata matokeo second half kuanzia Al Ahly, Yanga na AS Vita.
Fitness coach anafanya kazi yake na inaonekana.
Hii imepelekea timu pinzani kuogopa kuingia changing room kuhofia dawa za kulegeza mwili.
Nafikiri baadaye watadai Simba wapimwe dawa za kuongeza nguvu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha ushirikina wa mitandaoni...ulifungwa na Lipuli na Kipigo kikakamilikia kwa mchinaWote mtakubaliana na mimi kwamba as vita aliecheza kipindi cha kwanza sio yule aliecheza kipindi cha pili...zilikua ni team mbili tofauti kabisa.
Kipindi cha pili as vita walionekana kulegea na miili yao kuchoka sana hio inatokona na dawa zile za kupuliza ambazo huwa zinafanya kazi taratibu na kadri misuli inavyopata moto ndio mwili unalegea...
As vita walijihadhari lakini kishamba sana wao walitumia "dust masks" ambazo kiuhalisia haziwezi kuzuia gas ya sumu..
Hizo picha hapo moja ni dust masks walizovaa wachezaji wa vita wakiwa vyumbani....
Picha ya pili ndio mask ulizotakiwa wavae kwa kipindi chote wakiwa vyumban ikiwezekana na mitungi ya oxygen mgongoni. As vita mjifunze mkiwa mnakuja kucheza na watu wa figisufigusi mjipange kweli kweli sio kufanya mambo ya ajabu kama jana,mmeruhusu sumu iwaingie wachezaji na ikawapoteza kabisa.
Jambo lingine ni uchawi hili nitalizungumzia siku nyingine hadi na kwa mzee walionda hawa viongozi wa mikia fc View attachment 1047447View attachment 1047448
Sent using Jamii Forums mobile app
kweli kabisa mkuu maana ushaidi tayari wanayo, dah nahisi mpaka week iishe lazima 10kg ziwapunguesimba waondolewe wamepuliza hewa ya sumu kwenye vyumba vya kubadilishia nguo
Yaani unawetetea Vita kuliko unavyowatetea Yanga. Hivi Yanga nao wamefungwa na Lipuli kwa uchawi?Wote mtakubaliana na mimi kwamba as vita aliecheza kipindi cha kwanza sio yule aliecheza kipindi cha pili...zilikua ni team mbili tofauti kabisa.
Kipindi cha pili as vita walionekana kulegea na miili yao kuchoka sana hio inatokona na dawa zile za kupuliza ambazo huwa zinafanya kazi taratibu na kadri misuli inavyopata moto ndio mwili unalegea...
As vita walijihadhari lakini kishamba sana wao walitumia "dust masks" ambazo kiuhalisia haziwezi kuzuia gas ya sumu..
Hizo picha hapo moja ni dust masks walizovaa wachezaji wa vita wakiwa vyumbani....
Picha ya pili ndio mask ulizotakiwa wavae kwa kipindi chote wakiwa vyumban ikiwezekana na mitungi ya oxygen mgongoni. As vita mjifunze mkiwa mnakuja kucheza na watu wa figisufigusi mjipange kweli kweli sio kufanya mambo ya ajabu kama jana,mmeruhusu sumu iwaingie wachezaji na ikawapoteza kabisa.
Jambo lingine ni uchawi hili nitalizungumzia siku nyingine hadi na kwa mzee walionda hawa viongozi wa mikia fc View attachment 1047447View attachment 1047448
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu kitu nilichogundua baadhi ya watu wanapiga kelele ila hawaelewi falsafa za kocha, ha yawezekana zile sub hakuona zilikuwa na impact gani.ila mtu angelijua asingelisema yote haya, watu mbele waliingizwa watu ambao walifanya kazi kwa upande wa vita kuwa ngumu maana ni watu ambao wanakasi saa zote mtu ka Rashidi. Dillunga. Niyonzima, sasa unategemea nini kama watu wanamiliki mpira tena mashambulizi yanaongezeka kasi zaidi ya awali?wewe kweli kama kweli umeangalia mpira huwezi kuamini huwo upuuzi. wewe unaona kabisa sub zimefanyika na zimabadili mchezo then unaleta porojo
walishaharibiwa na mtu ambaye aliwapa habari mpaka za mask ila mbona walikaa nje na hawajashinda? au walivuta sumu kidogo nini? Zaheri alikuwa kwenye kamati ya vita nini? ha ahaaaaa😀😀😀😀😀Mpuuzi kweli.
Jana bahati nzuri niliingia kwenye vyumba vya kubadilishia nguo na kulikuwa na hewa nzuri tu ila vyooni kulipuliziw zile dawa ya kusafisha vyoo.
Sasa sijui kama walivyoingia na kusikia harufu ile wakajua wamepuliziwa dawa basi ni wahuni na hawajui lolote.
Aliyewaambia kubeba mask ni mjinga kuliko waliovaa.
Hata Lipuli hawana utu, kuifunga Yanga katika kipindi hiki kigumu ni unyama, tena unyama wa mbwa wa IringaSimba utu hawana....wapo tayari kuwadhuru wenzao ili wao wanufaike