Uchawi na fitna ndio zilizowamaliza AS Vita

Uchawi na fitna ndio zilizowamaliza AS Vita

Lisemwalo lipo Ndugu yangu...but it does not matter...tuwapongeze Simba kwa ushindi....Ila nina hofu na mechi zijazo...picha hizi za wachezaji wa Vita zikitumwa huko CAF na FIFA ni lazima wataleta wataalamu kuchunguza...na hiyo ikitokea ina madhara kwa soka yetu...
Fifa wanazo hadi video za ZBC2 wachezaji wa simba walimulikwa machono.
 
Ukiangalia mechi za Simba S.C za hivi karibuni utagundua kuwa fitness yao imeimprove sana na ndiyo maana wanapata matokeo second half kuanzia Al Ahly, Yanga na AS Vita.

Fitness coach anafanya kazi yake na inaonekana.
Hii imepelekea timu pinzani kuogopa kuingia changing room kuhofia dawa za kulegeza mwili.

Nafikiri baadaye watadai Simba wapimwe dawa za kuongeza nguvu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na ndio linalotakiwa...subiri barua zetu zijibiwe caf huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenitusi sana mkuu....yan toka nizaliwe hakuna mtu aliewahi kunitusi kama wewe

Hivi unajua mimi bora nilale kituoni kuliko kupanda daladala la mwisho lenye chata za simba??
Ila Mkuu umeumia sana kuliko hata mlivyofungwa na Lipuli!

Nilichogundua wewe ni mshabiki wa Simba bila kujua!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani timu huwa zinakatazwa kacha watu wao ndani ya vyumba??? Hii sababu ya kupuliziwa huwa naisikia sana watu wakifungwa. Swali je hurusiwi kuweka komandoo wako ndani ya chumba kabla ya mchezo na halftime. Au sumu inapulizwa week kabla ya mchezo. Kama madawa michezoni ni haramu, Caf kwa nini wasiwe wanachukua sample za hewa ndani ya vyumba before and after halftime na damu/mkojo za wachezaji kwani maanabara zitaonesha tu. Tuachane na huu ushamba! Ndio maana tukienda kumbe la dunia africa tunafunhwa tu
 
Kwanza ni upuuzi na uharo umeandikwa hapa.

FIFA hairuhusu haya mambo yafanyike katika soka na kama ushahidi upo Simba anatumia madawa kuwalegeza wenzake mnashindwa nini kupeleka ushahidi wenu CAF au FIFA ili Simba apigwe rungu?

Sidhani kama mtu mzima aliyetimia akili anaweza kuja na hoja za kipuuzi namna hii.
 
Simba utu hawana....wapo tayari kuwadhuru wenzao ili wao wanufaike

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli mkuu.Mpira uliochezwa ni wa kiwango cha juu .Simba imestaili huu ushindi.
Wapinzani wa Simba walikuwa na matokeo yao ya kubet kuwa lazima Simba ifungwe kwa kuwa walishafungwa tano Kule DRC.
Sasa imekuwa kinyume.
Acheni wivu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiangalia mechi za Simba S.C za hivi karibuni utagundua kuwa fitness yao imeimprove sana na ndiyo maana wanapata matokeo second half kuanzia Al Ahly, Yanga na AS Vita.

Fitness coach anafanya kazi yake na inaonekana.
Hii imepelekea timu pinzani kuogopa kuingia changing room kuhofia dawa za kulegeza mwili.

Nafikiri baadaye watadai Simba wapimwe dawa za kuongeza nguvu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa, fitness level imeongezeka kwa kiwango kikubwa sana.
Yale mazoezi ya kukimbia na mwamvuli na kututana kwa kamba sio mchezo.
 
Fifa wanazo hadi video za ZBC2 wachezaji wa simba walimulikwa machono.

Sijakuelewa au pengine hujanielewa ...nasema hivi picha za wachezajiwa Vita wakiwa na 'masks' wakati wa halftime zikitumwa huko CAF na FIFA suala hili linaweza likachukua sura nyingine...
 
Ndio malalamiko yametumwa caf..ingia kwenye site nyingi za kiafrica utaona,subirini mziki wq cuf enyi mikia
Kwani timu huwa zinakatazwa kacha watu wao ndani ya vyumba??? Hii sababu ya kupuliziwa huwa naisikia sana watu wakifungwa. Swali je hurusiwi kuweka komandoo wako ndani ya chumba kabla ya mchezo na halftime. Au sumu inapulizwa week kabla ya mchezo. Kama madawa michezoni ni haramu, Caf kwa nini wasiwe wanachukua sample za hewa ndani ya vyumba before and after halftime na damu/mkojo za wachezaji kwani maanabara zitaonesha tu. Tuachane na huu ushamba! Ndio maana tukienda kumbe la dunia africa tunafunhwa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zipelekwe mara ngapi?
Kwanza ni upuuzi na uharo umeandikwa hapa.

FIFA hairuhusu haya mambo yafanyike katika soka na kama ushahidi upo Simba anatumia madawa kuwalegeza wenzake mnashindwa nini kupeleka ushahidi wenu CAF au FIFA ili Simba apigwe rungu?

Sidhani kama mtu mzima aliyetimia akili anaweza kuja na hoja za kipuuzi namna hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijakuelewa au pengine hujanielewa ...nasema hivi picha za wachezajiwa Vita wakiwa na 'masks' wakati wa halftime zikitumwa huko CAF na FIFA suala hili linaweza likachukua sura nyingine...
Hivi huo ndio ushahidi kweli na unaona umeongea point?
Labda nikwambie, simba walipokuwa algeria walipokuwa wanamulikwa usoni, angalau wao kama wangelalamika ushahidi wao ni mzito kuliko mtu aliyevaa mask. Unapimaje au unatambuaje kuwa aliyevaa mask kapuliziwa sumu au kitu chochote cha kumdhuru?
Hii kesi hata ustawi wa jamii hawaisikilizi.
 
Nimeumia sana aisee..hivi binadamu unaweza je kumfanyia binadamu mwenzio huu ukatili?
tapatalk_1552812070953.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom