Wangetoka sare bado Vita wangetolewa kwani wangelingana pointi na Soura, pointi 8, hivyo kanuni ya head to head ingetumika, kumbuka walitoka sare pale Kinshansa na Vita walifungwa kule Soura.Wana YANGA mnashindana na mipango ya Mungu kwani ile dakika ya 82 As vita si walikuwa wanatushambulia lkn golikipa alikuwa imara, unajua AS vita alijua ile game anamaliza kwa sare sababu alijua JS soura kashapigwa kule CAIRO
Wabongo mmeshaanza theory zenu za kijinga oh madawa sijui uchawi.. kama kawaida yenu. Akifanikiwa mtu lazima mtafute ya kusema..Hakuna pumzi mzeebaba...madawa yakulegeza misuli na kuwadhoodisha wapinzani yamewasaidia
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe inaonekana una uchungu na mkeka wako wala sio timu. Mashabiki wa yanga mnakasumba sana watani wakishinda. Simba ameonyesha improvement jana baada ya kucheza pumba huko ugenini. Ni mchezo wa kurekebisha makosa tu.. unalia lia nn sasa?Nimeumia sana aisee..hivi binadamu unaweza je kumfanyia binadamu mwenzio huu ukatili?View attachment 1047470
Sent using Jamii Forums mobile app
Sumu iliyowadhoofisha As Vita ni Zahera tu, hakuna kingine hizo ni porojo tuWote mtakubaliana na mimi kwamba as vita aliecheza kipindi cha kwanza sio yule aliecheza kipindi cha pili...zilikua ni team mbili tofauti kabisa.
Kipindi cha pili as vita walionekana kulegea na miili yao kuchoka sana hio inatokona na dawa zile za kupuliza ambazo huwa zinafanya kazi taratibu na kadri misuli inavyopata moto ndio mwili unalegea...
As vita walijihadhari lakini kishamba sana wao walitumia "dust masks" ambazo kiuhalisia haziwezi kuzuia gas ya sumu..
Hizo picha hapo moja ni dust masks walizovaa wachezaji wa vita wakiwa vyumbani....
Picha ya pili ndio mask ulizotakiwa wavae kwa kipindi chote wakiwa vyumban ikiwezekana na mitungi ya oxygen mgongoni. As vita mjifunze mkiwa mnakuja kucheza na watu wa figisufigusi mjipange kweli kweli sio kufanya mambo ya ajabu kama jana,mmeruhusu sumu iwaingie wachezaji na ikawapoteza kabisa.
Jambo lingine ni uchawi hili nitalizungumzia siku nyingine hadi na kwa mzee walionda hawa viongozi wa mikia fc View attachment 1047447View attachment 1047448
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili za chura sijui zina IQ ya aje? Nenda kalambe limao kama ushindi wa Simba umekuletea kichefuchefu.Lisemwalo lipo Ndugu yangu...but it does not matter...tuwapongeze Simba kwa ushindi....Ila nina hofu na mechi zijazo...picha hizi za wachezaji wa Vita zikitumwa huko CAF na FIFA ni lazima wataleta wataalamu kuchunguza...na hiyo ikitokea ina madhara kwa soka yetu...
Hivi uchawi kwenye mpira upo?Wote mtakubaliana na mimi kwamba as vita aliecheza kipindi cha kwanza sio yule aliecheza kipindi cha pili...zilikua ni team mbili tofauti kabisa.
Kipindi cha pili as vita walionekana kulegea na miili yao kuchoka sana hio inatokona na dawa zile za kupuliza ambazo huwa zinafanya kazi taratibu na kadri misuli inavyopata moto ndio mwili unalegea...
As vita walijihadhari lakini kishamba sana wao walitumia "dust masks" ambazo kiuhalisia haziwezi kuzuia gas ya sumu..
Hizo picha hapo moja ni dust masks walizovaa wachezaji wa vita wakiwa vyumbani....
Picha ya pili ndio mask ulizotakiwa wavae kwa kipindi chote wakiwa vyumban ikiwezekana na mitungi ya oxygen mgongoni. As vita mjifunze mkiwa mnakuja kucheza na watu wa figisufigusi mjipange kweli kweli sio kufanya mambo ya ajabu kama jana,mmeruhusu sumu iwaingie wachezaji na ikawapoteza kabisa.
Jambo lingine ni uchawi hili nitalizungumzia siku nyingine hadi na kwa mzee walionda hawa viongozi wa mikia fc View attachment 1047447View attachment 1047448
Sent using Jamii Forums mobile app