Humu kuna watu wamelemazwa kwa kuzugwa...Uswahili ni shida sana. Nmeangalia mara 4 sioni mazingira ya ushirikina au kitu cha ajabu hapo. Pangekuwa tambalale then gari ikapaa kwenda kwenye nyumba tungeshangaa. Gari imeseleleka toka mlimani sasa uajabu wake nini? Tusipende kila jambo kulifanya kuwa ni issue ya kutolea mitazamo yetu au imai zetu. Jambo hili lipo wazi kabisa halina ukakasi wowote
Humu kuna watu wamelemazwa kwa kuzugwa...Uswahili ni shida sana. Nmeangalia mara 4 sioni mazingira ya ushirikina au kitu cha ajabu hapo. Pangekuwa tambalale then gari ikapaa kwenda kwenye nyumba tungeshangaa. Gari imeseleleka toka mlimani sasa uajabu wake nini? Tusipende kila jambo kulifanya kuwa ni issue ya kutolea mitazamo yetu au imai zetu. Jambo hili lipo wazi kabisa halina ukakasi wowote
Ingekuwa hivo, basi gari ingegonga ukuta na sio kuingia kwenye paa.yani ukuta ungebomokaKwa mazingira hayo, mbona ni tukio la kawaida. Huyo dada shuhuda anasema gari lilitembea bila dereva/ kuendeshwa ni uchawi, kama handbrake/ emergency brake imeachia au haikuwa engaged na kuna mtelemko na nyuma ipo bondeni ajabu ni nini hapo?
Ngende ngende ngende hatari bila kusahau sehemu nyingine inatwa Pande kilwaMshana Jr vipi ushawahi kufika wilayani Liwale kuna kijiji kinaitwa NGENDE nipe uzoefu wa huko mkuu
Ulipewa mtaji nini, 1000 au 2000?[emoji23][emoji23][emoji23]Sitaki hata kupasikia[emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550]
duhh, nlisomaga uko usangi zaman kdg na magari ya mosh usangi ilikua sahara kpnd hicho, sjui km bado yapouchawi upo zaidi ugweno,usangi na lomwe..
muulize rais wa awamu ya 2.
nadhani hata kwenye kitabu chake hakusalimia na hataki kukumbuka!
aliporudi pwani akatafuta wataalam waliobobea akawatuma kule wakasafishe vijiji vya kishirikina!
ilitokea kasheshe kubwa sana wakati huo ikawa ndio habari ya mjini kipindi hicho!
kuna mzee ana mabasi yatokayo moshi-usangi (sitamtaja)huyo mzee ni fire.
ametesa sana matrafiki waliokuwa wanasumbua basi zake.
kuna trafik alizoea kupiga mkono basi zake hadi leo mkono umebakia kauunyosha juu.hapana chezea huyo mzee!
hiyo ni ruti yake na kila ijumaa usafiri ni bure ole wako konda uchkue nauli unajikuta secret parts hazipo...!
Kwa hiyo unataka kusema Mshana Jr ni mchawi?Wengi wao Ila sio wote.
Chunguza watu wote wanaotuhumiwa Uchawi Wana sifa zifuatazo;
1. Waadilifu
2. Sio walevi
3. Sio watu wa kutia aibu
4. Wanakijistiri yaani wanavaa nguo za adabu.
5. Wana lugha nzuri.
Kwa ujumla Wenye tuhuma za uchawi sifa zao kitabia ni zile zile zinazofanana na Wacha Mungu.
Sema Washirikina wao ndio Wanazingua maana ndio wahuni
Nipo huku muda huu mkuu yaani full uchawi mpaka naogopa kulala leo,nimeingia Jana Liwale baada ya kutembea zaidi ya saa 10 kutoka Nangulukuru hadi Liwale,huwezi amini kiongozi Jana nilipanda gari pale Nangulukuru saa 8 mchana lkn ajabu tukaingia Liwale mjini saa 7 usiku[emoji15][emoji15] asubuhi nikajihimu kwenda Ngende gharama ya pikipiki go and return ni zaidi ya sh 35000[emoji15]nipo huku muda huu wakuu wangu niombeeni nirudi salamaNgende ngende ngende hatari bila kusahau sehemu nyingine inatwa Pande kilwa