Nani akampiga chini mwenzake? Huyo mwanamke wa kipare au rafiki yako?Kuna mshkaji wangu Tanga ni afisa uhamiaji akaleta habari zake kuwa ana demu wa kipare na afisa mwenzake..Aisee nilimkatisha nikamwambia kaka usioe huyo mwanamke na piga chini kwakifupi wanawake wa kipare wengi niliokwisha wajua ni washirikina kinomanoma kwa experience yangu..Kumbe bwana katika mengi alonambia alinificha hayo na mimi nikawa nimegusa penyewe.Aisee akaniletea mfululizo wa visanga mpaka sio vizuri na mwisho wa siku akampiga chini.
Wanawake wanaenda kwa babu kuchukua limbwata au?😂Mimi naishi upareni huku hakuna kudhulimiana wala wizi wa kijinga wana uchawi unaitwa " MMA" ni hatari aisee unasafisa ukoo mzima alafu aliyefanya tukio anakua wa mwisho kufa !!!
Hawa jamaa ni shida!!! Nawaogopa sana sana hata mademu akikuendea kwa babu utasahau familia yako!!!
Huku upareni kwa wafugaji hata ngombe wakiibiwa kinachofanyika ni kwamba aliyeibiwa ngombe wakati wanawafatilia ngombe wanachokifanya ni kuokota nyayo za hao ng'ombe (udongo) kisha wanafunga hapo Ngombe walioibiwa wanagoma kwenda wanakoelekezwa na wezi hapo wakati huo wafalikia nyayo wanasogelea
Mamndenyi Manka hujawahi kuteremka Same au Makanya ukitokea Dar kuwaona mababu wa watani?Wachaga huwa wanaenda kununua uchawi upareni, kumbe ni kweli aise
Nifanyaje niweze kuiona hii video!???Hii ndio video husika ya tukio zima. Dereva kama angepatikana angetupa insights za nini kilitokea dakika zile za mwisho. Je, alienda chobingo? Je, ajali ilimtaka yeye? Je, dereva naye yuko fit?
View attachment 1828123
Maskini dada zangu wanasingiziwa mengi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Kuna jamaa yangu ameoa mpare Tena muislamu. Jamaa anazo Ila kila ndugu yake akienda kwa jamaa, jamaa anamfurusha. Hata ndugu zake wakimuomba pesa jamaa anawaambia wakamuambie waif wake. Waif wa jamaa Ni kila kitu amewajengea wazazi wa waif wake huko Same kabla hata hajajenga ya kwake.
Tangu zamani nilikua najua wanawake wa kipare hawaachiki.....kuumbeh
Umeenda kuchukua mtaji wa 1000 au 2000? [emoji23][emoji23][emoji23] pole sana, hapo liwale mjini kuna bar ipo karibu na stand kuna malaya hatariNipo huku muda huu mkuu yaani full uchawi mpaka naogopa kulala leo,nimeingia Jana Liwale baada ya kutembea zaidi ya saa 10 kutoka Nangulukuru hadi Liwale,huwezi amini kiongozi Jana nilipanda gari pale Nangulukuru saa 8 mchana lkn ajabu tukaingia Liwale mjini saa 7 usiku[emoji15][emoji15] asubuhi nikajihimu kwenda Ngende gharama ya pikipiki go and return ni zaidi ya sh 35000[emoji15]nipo huku muda huu wakuu wangu niombeeni nirudi salama
Lakini Wana uzuri wao. Mwanamke wa kipare ni mvumilivu kupitiliza. Ndoa ya Mwanamke wa kipare haifi hata uwe huna hela yeye anaona unazo Ila Ni ubahili unaokusumbua Kama ndugu zake na wazazi wake na wajomba zake walivyo.Maskini dada zangu wanasingiziwa mengi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Hiyo baa naifahamu mkuu wanajifanya very classic aisee,bei zao juu sana eti castle lager ndogo sh 2500 na k vant kubwa 13000!![emoji15][emoji15]Malaya wahudumu wanajisikia sana kutoa huduma,nimeangalia hapo game ya Yanga na biashara yaani full maringo hao mabaamedi sema kwasababu ni mgeni na mji nauogopa nikawa mpore tuUmeenda kuchukua mtaji wa 1000 au 2000? [emoji23][emoji23][emoji23] pole sana, hapo liwale mjini kuna bar ipo karibu na stand kuna malaya hatari
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Lakini Wana uzuri wao. Mwanamke wa kipare ni mvumilivu kupitiliza. Ndoa ya Mwanamke wa kipare haifi hata uwe huna hela yeye anaona unazo Ila Ni ubahili unaokusumbua Kama ndugu zake na wazazi wake na wajomba zake walivyo.
Hakuna Malaya classic dunia hii hata wale covid 19 sio classic.Hiyo baa naifahamu mkuu wanajifanya very classic aisee,bei zao juu sana eti castle lager ndogo sh 2500 na k vant kubwa 13000!![emoji15][emoji15]Malaya wahudumu wanajisikia sana kutoa huduma,nimeangalia hapo game ya Yanga na biashara yaani full maringo hao mabaamedi sema kwasababu ni mgeni na mji nauogopa nikawa mpore tu
Namaanisha hiyo baa yao kuwa classic sio wauza papuchi,utaitwaje classic muuza K??Hakuna Malaya classic dunia hii hata wale covid 19 sio classic.
Kitendo Cha kua Malaya maana yake Ni mtu wa ngazi ya chini kabisa chini ya wazoa takataka au wafagia vyoo vya sokoni.
Tae ni karibu na sujiHaya ndio mazingira ya Tae. Ni milimani kwenye baridi kali lakini kukiwa na greenish nzuri na vijito vinavyotiririsha maji meupe masafi.. Hizi picha niliwahi kutupia hapa JF kule SELFIKA[emoji2]
View attachment 1828124View attachment 1828125View attachment 1828126