Uchawi ulivyotamalaki milima ya Same Upareni

Uchawi ulivyotamalaki milima ya Same Upareni

Kuna mshkaji wangu Tanga ni afisa uhamiaji akaleta habari zake kuwa ana demu wa kipare na afisa mwenzake..Aisee nilimkatisha nikamwambia kaka usioe huyo mwanamke na piga chini kwakifupi wanawake wa kipare wengi niliokwisha wajua ni washirikina kinomanoma kwa experience yangu..Kumbe bwana katika mengi alonambia alinificha hayo na mimi nikawa nimegusa penyewe.Aisee akaniletea mfululizo wa visanga mpaka sio vizuri na mwisho wa siku akampiga chini.
Nani akampiga chini mwenzake? Huyo mwanamke wa kipare au rafiki yako?
 
Mimi naishi upareni huku hakuna kudhulimiana wala wizi wa kijinga wana uchawi unaitwa " MMA" ni hatari aisee unasafisa ukoo mzima alafu aliyefanya tukio anakua wa mwisho kufa !!!
Hawa jamaa ni shida!!! Nawaogopa sana sana hata mademu akikuendea kwa babu utasahau familia yako!!!
Huku upareni kwa wafugaji hata ngombe wakiibiwa kinachofanyika ni kwamba aliyeibiwa ngombe wakati wanawafatilia ngombe wanachokifanya ni kuokota nyayo za hao ng'ombe (udongo) kisha wanafunga hapo Ngombe walioibiwa wanagoma kwenda wanakoelekezwa na wezi hapo wakati huo wafalikia nyayo wanasogelea
Wanawake wanaenda kwa babu kuchukua limbwata au?😂
 
Kuna jamaa yangu ameoa mpare Tena muislamu. Jamaa anazo Ila kila ndugu yake akienda kwa jamaa, jamaa anamfurusha. Hata ndugu zake wakimuomba pesa jamaa anawaambia wakamuambie waif wake. Waif wa jamaa Ni kila kitu amewajengea wazazi wa waif wake huko Same kabla hata hajajenga ya kwake.
Tangu zamani nilikua najua wanawake wa kipare hawaachiki.....kuumbeh
 
Kuna jamaa yangu ameoa mpare Tena muislamu. Jamaa anazo Ila kila ndugu yake akienda kwa jamaa, jamaa anamfurusha. Hata ndugu zake wakimuomba pesa jamaa anawaambia wakamuambie waif wake. Waif wa jamaa Ni kila kitu amewajengea wazazi wa waif wake huko Same kabla hata hajajenga ya kwake.
Tangu zamani nilikua najua wanawake wa kipare hawaachiki.....kuumbeh
Maskini dada zangu wanasingiziwa mengi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Nipo huku muda huu mkuu yaani full uchawi mpaka naogopa kulala leo,nimeingia Jana Liwale baada ya kutembea zaidi ya saa 10 kutoka Nangulukuru hadi Liwale,huwezi amini kiongozi Jana nilipanda gari pale Nangulukuru saa 8 mchana lkn ajabu tukaingia Liwale mjini saa 7 usiku[emoji15][emoji15] asubuhi nikajihimu kwenda Ngende gharama ya pikipiki go and return ni zaidi ya sh 35000[emoji15]nipo huku muda huu wakuu wangu niombeeni nirudi salama
Umeenda kuchukua mtaji wa 1000 au 2000? [emoji23][emoji23][emoji23] pole sana, hapo liwale mjini kuna bar ipo karibu na stand kuna malaya hatari
 
Maskini dada zangu wanasingiziwa mengi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Lakini Wana uzuri wao. Mwanamke wa kipare ni mvumilivu kupitiliza. Ndoa ya Mwanamke wa kipare haifi hata uwe huna hela yeye anaona unazo Ila Ni ubahili unaokusumbua Kama ndugu zake na wazazi wake na wajomba zake walivyo.
 
Umeenda kuchukua mtaji wa 1000 au 2000? [emoji23][emoji23][emoji23] pole sana, hapo liwale mjini kuna bar ipo karibu na stand kuna malaya hatari
Hiyo baa naifahamu mkuu wanajifanya very classic aisee,bei zao juu sana eti castle lager ndogo sh 2500 na k vant kubwa 13000!![emoji15][emoji15]Malaya wahudumu wanajisikia sana kutoa huduma,nimeangalia hapo game ya Yanga na biashara yaani full maringo hao mabaamedi sema kwasababu ni mgeni na mji nauogopa nikawa mpore tu
 
Lakini Wana uzuri wao. Mwanamke wa kipare ni mvumilivu kupitiliza. Ndoa ya Mwanamke wa kipare haifi hata uwe huna hela yeye anaona unazo Ila Ni ubahili unaokusumbua Kama ndugu zake na wazazi wake na wajomba zake walivyo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hiyo baa naifahamu mkuu wanajifanya very classic aisee,bei zao juu sana eti castle lager ndogo sh 2500 na k vant kubwa 13000!![emoji15][emoji15]Malaya wahudumu wanajisikia sana kutoa huduma,nimeangalia hapo game ya Yanga na biashara yaani full maringo hao mabaamedi sema kwasababu ni mgeni na mji nauogopa nikawa mpore tu
Hakuna Malaya classic dunia hii hata wale covid 19 sio classic.
Kitendo Cha kua Malaya maana yake Ni mtu wa ngazi ya chini kabisa chini ya wazoa takataka au wafagia vyoo vya sokoni.
 
Hakuna Malaya classic dunia hii hata wale covid 19 sio classic.
Kitendo Cha kua Malaya maana yake Ni mtu wa ngazi ya chini kabisa chini ya wazoa takataka au wafagia vyoo vya sokoni.
Namaanisha hiyo baa yao kuwa classic sio wauza papuchi,utaitwaje classic muuza K??
 
Back
Top Bottom