Uchawi unaotumika kummaliza kisanii Diamond Platnumz wagundulika.

Uchawi unaotumika kummaliza kisanii Diamond Platnumz wagundulika.

Hata Mange kamshauri leo ndio mkae nae boss wenu mumwambie anachofanya kiba na yeye anaiga
 
Hata Mange kamshauri leo ndio mkae nae boss wenu mumwambie anachofanya kiba na yeye anaiga
Mange alini block kitambo sana.


Kuna siku alipost pumba kama kawaida yake ,nikamchana vilivyo mpaka leo kaniblock.
 
Mange alini block kitambo sana.


Kuna siku alipost pumba kama kawaida yake ,nikamchana vilivyo mpaka leo kaniblock.
Ndio mkae na boss wenu akafate ushauri wa Mange sio kila anachofanya kiba na yeye anafanya kiba kafanya show mbagala na yeye kaenda sema boss wenu inaonekana hapendi ushauri
 
Ndio mkae na boss wenu akafate ushauri wa Mange sio kila anachofanya kiba na yeye anafanya kiba kafanya show mbagala na yeye kaenda sema boss wenu inaonekana hapendi ushauri
Afate ushauri wa Mange????????


Huwezi kuwa serious kwa kweli.

Mange anajua nini kuhusu mziki?
 
Ndio mkae na boss wenu akafate ushauri wa Mange sio kila anachofanya kiba na yeye anafanya kiba kafanya show mbagala na yeye kaenda sema boss wenu inaonekana hapendi ushauri
Mabashite wanashaurika toka lini msipoteze muda we huoni mfano kwa aliyeanzisha thread ?
 
Afate ushauri wa Mange????????


Huwezi kuwa serious kwa kweli.

Mange anajua nini kuhusu mziki?
Huo ndio ujinga sasa kashauriwa vizuri sana hata kama Mange ana matatizo yake basi mwacheni awe mfuasi wa kiba kila anachofanya anamuiga
 
Huo ndio ujinga sasa kashauriwa vizuri sana hata kama Mange ana matatizo yake basi mwacheni awe mfuasi wa kiba kila anachofanya anamuiga
Diamond na Ali kiba nani anamuiga mwenzake??
 
Msanii wa kimataifa ambaye pia ni mmiliki wa lebo ya WCB Diamond Platnumz hatimaye uchawi unaotumika kumshusha na kummaliza kabisa kisanii wagundulika.

Katika utafiti nilioufanya kwa miezi kadhaa hatimaye nimegundua kuwa kitendo cha diamond kulinganisha kazi zake za kimuziki na wasanii aliowazidi kimafanikio na kiuimbaji hasa huyu Ali kiba kinamrudisha nyuma sana diamond wakati huo huo mpinzani wake anafaidika sana kupitia mchuano huo ndio maana hataki bifu lao liishe.


Miaka kama miwili mitatu iliyopita diamond alipiga hatua kubwa sana za kimuziki mpaka akawashtua wasanii wakubwa duniani kama vile Chris Brown, Nelly, Neyo,Jiddena,Trey Songz,na wengineo wengi sana.

Na kikubwa kilichomfanya diamond kupiga hatua hiyo ni kitendo cha yeye kutoshughulika na wasanii wa kitanzania badala yake alipenda kulinganisha uwezo wake na wasanii kutoka nchi zingine hasa Nigeria.

Na mpinzani wake mkubwa kutoka Nigeria alikuwa David Adeleke Adedeji (DAVIDO) na kiasi kikubwa ilimsaidia diamond kujulikana sana Nigeria mpaka mashabiki wa muziki wengi walimtambua diamond kama msanii kutoka Nigeria.

Kipindi hichohicho pia Kenya walikuwa walishaanza kumtangaza Diamond kuwa ni msanii kutoka nchini kwao na kudai kuwa uthibitisho wanao.

Lakini kitendo cha Diamond kurudi nyuma na kulinganisha kazi zake na Ali Kiba kama hapo awali kimemrudisha nyuma sana Diamond na thamani yake halisi imeanza kufifia.


Rai ; Nikiwa kama shabiki nguli wa diamond napenda sana kumhusia aachane na Ali kiba , Kiba anatembelea nyota ya diamond kwa sasa na anaitumia kama daraja ili kuweza kuzivusha kazi zake za kimuziki mbali zaidi huku yeye diamond akizidi kufifia kimuziki.
Ok.
 
Msanii wa kimataifa ambaye pia ni mmiliki wa lebo ya WCB Diamond Platnumz hatimaye uchawi unaotumika kumshusha na kummaliza kabisa kisanii wagundulika.

Katika utafiti nilioufanya kwa miezi kadhaa hatimaye nimegundua kuwa kitendo cha diamond kulinganisha kazi zake za kimuziki na wasanii aliowazidi kimafanikio na kiuimbaji hasa huyu Ali kiba kinamrudisha nyuma sana diamond wakati huo huo mpinzani wake anafaidika sana kupitia mchuano huo ndio maana hataki bifu lao liishe.


Miaka kama miwili mitatu iliyopita diamond alipiga hatua kubwa sana za kimuziki mpaka akawashtua wasanii wakubwa duniani kama vile Chris Brown, Nelly, Neyo,Jiddena,Trey Songz,na wengineo wengi sana.

Na kikubwa kilichomfanya diamond kupiga hatua hiyo ni kitendo cha yeye kutoshughulika na wasanii wa kitanzania badala yake alipenda kulinganisha uwezo wake na wasanii kutoka nchi zingine hasa Nigeria.

Na mpinzani wake mkubwa kutoka Nigeria alikuwa David Adeleke Adedeji (DAVIDO) na kiasi kikubwa ilimsaidia diamond kujulikana sana Nigeria mpaka mashabiki wa muziki wengi walimtambua diamond kama msanii kutoka Nigeria.

Kipindi hichohicho pia Kenya walikuwa walishaanza kumtangaza Diamond kuwa ni msanii kutoka nchini kwao na kudai kuwa uthibitisho wanao.

Lakini kitendo cha Diamond kurudi nyuma na kulinganisha kazi zake na Ali Kiba kama hapo awali kimemrudisha nyuma sana Diamond na thamani yake halisi imeanza kufifia.


Rai ; Nikiwa kama shabiki nguli wa diamond napenda sana kumhusia aachane na Ali kiba , Kiba anatembelea nyota ya diamond kwa sasa na anaitumia kama daraja ili kuweza kuzivusha kazi zake za kimuziki mbali zaidi huku yeye diamond akizidi kufifia kimuziki.
Wewe utakuwa umetoka kishumundu, hujui mziki kabisa,, umeongea pumba Never see

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msanii wa kimataifa ambaye pia ni mmiliki wa lebo ya WCB Diamond Platnumz hatimaye uchawi unaotumika kumshusha na kummaliza kabisa kisanii wagundulika.

Rai ; Nikiwa kama shabiki nguli wa diamond napenda sana kumhusia aachane na Ali kiba , Kiba anatembelea nyota ya diamond kwa sasa na anaitumia kama daraja ili kuweza kuzivusha kazi zake za kimuziki mbali zaidi huku yeye diamond akizidi kufifia kimuziki.
"
KAULI YA MHENGA"
Tumia muda wako kufikiria na kuandika vitu vitakavyokusaidia to move to the next level of your achievement.
Sina hakika kama haya unayoaandika yanakupa huo msaada.
 
Eti shoo ya mbagala mavi kile kigagula cha abroad ki psychopath ile behind the scenes ya zilipendwa nyomi lile akitangaza kwenda kupiga show mtakalia kidole chakati mwenye rohombaya ni sawa na mchawi na muuaji
 
Back
Top Bottom