sergio 5
JF-Expert Member
- May 22, 2017
- 9,405
- 10,637
Hapana mkuuUna maanisha mimi dada au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mkuuUna maanisha mimi dada au?
hapo sawa.Hapana mkuu
UjingaMsanii wa kimataifa ambaye pia ni mmiliki wa lebo ya WCB Diamond Platnumz hatimaye uchawi unaotumika kumshusha na kummaliza kabisa kisanii wagundulika.
Katika utafiti nilioufanya kwa miezi kadhaa hatimaye nimegundua kuwa kitendo cha diamond kulinganisha kazi zake za kimuziki na wasanii aliowazidi kimafanikio na kiuimbaji hasa huyu Ali kiba kinamrudisha nyuma sana diamond wakati huo huo mpinzani wake anafaidika sana kupitia mchuano huo ndio maana hataki bifu lao liishe.
Miaka kama miwili mitatu iliyopita diamond alipiga hatua kubwa sana za kimuziki mpaka akawashtua wasanii wakubwa duniani kama vile Chris Brown, Nelly, Neyo,Jiddena,Trey Songz,na wengineo wengi sana.
Na kikubwa kilichomfanya diamond kupiga hatua hiyo ni kitendo cha yeye kutoshughulika na wasanii wa kitanzania badala yake alipenda kulinganisha uwezo wake na wasanii kutoka nchi zingine hasa Nigeria.
Na mpinzani wake mkubwa kutoka Nigeria alikuwa David Adeleke Adedeji (DAVIDO) na kiasi kikubwa ilimsaidia diamond kujulikana sana Nigeria mpaka mashabiki wa muziki wengi walimtambua diamond kama msanii kutoka Nigeria.
Kipindi hichohicho pia Kenya walikuwa walishaanza kumtangaza Diamond kuwa ni msanii kutoka nchini kwao na kudai kuwa uthibitisho wanao.
Lakini kitendo cha Diamond kurudi nyuma na kulinganisha kazi zake na Ali Kiba kama hapo awali kimemrudisha nyuma sana Diamond na thamani yake halisi imeanza kufifia.
Rai ; Nikiwa kama shabiki nguli wa diamond napenda sana kumhusia aachane na Ali kiba , Kiba anatembelea nyota ya diamond kwa sasa na anaitumia kama daraja ili kuweza kuzivusha kazi zake za kimuziki mbali zaidi huku yeye diamond akizidi kufifia kimuziki.
Sikiliza hiyo audio video halafu uje tena hapa useme kitu,nakusubili!!Jini la "Seduce Me" bado linaifuata WCB na Team Mondi kwa ujumla....
Team hizo zitawaua haya sema anaitwa nani au uzushi wenu wa kila sikuSikiliza hiyo audio video halafu uje tena hapa useme kitu,nakusubili!!
ploudly ngosha [emoji243][emoji243][emoji243]
Acha unafiki .
Wewe umefata nini humu?
Kwa nini usiende jukwaa husika la mambo ya uchumi ?
Kama wewe unaishi maisha ya dhiki ni wewe usijilinganishe na wengine.
Uzi wa huo wimbo uliotungwa hapo Wasafi Records tumeshaujadili sana humuSikiliza hiyo audio video halafu uje tena hapa useme kitu,nakusubili!!
ploudly ngosha [emoji243][emoji243][emoji243]
upo kitimu sana, cinderella na kamwambie upi umetoka kabla?hapana, diamond anaweza kutusua bila kiba, ila kiba hawezi kutusua bila diamond.