Uchawi unaotumika kummaliza kisanii Diamond Platnumz wagundulika.

Ushasikia wapi alikiba ana mdisi mond but nachojua mond anamchokoa sana kibakuli wawatu

Aimbe vzri atatoka sema nyimbo zake za kelele mala zilipendwa mala fire fire Kwann hamjiuliz i miss u inapendwa na kila mtu

Kwanza ni production nzuri
Sema mwishon angalia ana shngapi naww unashngapi

TUPIGANE KUPATA KATIBA MPYA
 
yaani diamond afate ushauri wa huyo mwehu chizi Mange?
Tushangae wote mzee mwenzangu.

Wa Tz wengi Mange Kimambi amewageuza kama mandondocha chochote atakachokisema wao wanaitikia tu bila kuhoji wala kujifikiria.
 
Dada zake chai jaba wanakuja kutetea kijana wao
 
yaani hapo ndo tulipofikia Watanzania wenzetu wanapambana na ugumu wa maisha na jinsi ya kujikwamua na hali mbaya ya maisha wewe umekazana Diamond na Alli Kiba, mwisho wa siku unaanza kulalamika maisha magumu oohh kabana hela sasa unategemea kwa ushabiki huu kutolalamika njaa
 
Huo ndio ukweli kataa usikatae.

Mashabiki wa kiba wakiongozwa na kiba mwenyewe hawataki bifu liishe kwa kuwa kiba anamtumia mondi kama daraja

Bila Mondi , Kiba hawezi kusimama kamwe kimuziki .

Nanani Huwa anamchokonoa mwenzie kila saa? Ukipata jibu hapo utajua Nani anaependa bifu
 
nilivyosoma 'uchawi' nikajua imepatikana hirizi au tunguli labda. tangu lini mashindano(hata yasiyo na kichwa wala miguu) yakawa uchawi boss?
 
Mondi hana jipya na sound zake za Kinaija...Uswahili mwingiiii...Unaenda P square walipo kimuziki
 
Tushangae wote mzee mwenzangu.

Wa Tz wengi Mange Kimambi amewageuza kama mandondocha chochote atakachokisema wao wanaitikia tu bila kuhoji wala kujifikiria.
Mange mwemyewe zero brain halafu anashauri watu.
Kashindwa mshauri mdogo ake sepenga akaanze shauri wasiomuhusu
 
"Kiba anatembelea nyota ya diamond" huu msemo huwa siulewi,maana nilitegemea alikiba ndo awe Mtu wa kuanzisha bifu na diamond ili apate kiki,lkn imekuwa kinyume chake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…