Uchawi unaotumika kummaliza kisanii Diamond Platnumz wagundulika.

Huo ndio ukweli kataa usikatae.

Mashabiki wa kiba wakiongozwa na kiba mwenyewe hawataki bifu liishe kwa kuwa kiba anamtumia mondi kama daraja

Bila Mondi , Kiba hawezi kusimama kamwe kimuziki .
"FRESH" kumbe alikiba alimchana diamond!
 
Sir Chande aliondoka na goroli za Diamond kajaribu kwenda kuoga ziwa Tanganyika lakini mambo bado magumu..kijana wa Kariakoo si wa mchezo.
 
Umefuata nini celebrities forum?

Wewe kama unahitaji hayo mambo ya uchumi nenda kwenye jukwaa husika

Usitupigie kelele hapa.
 
Bila hata kumshauri kwa jinsi alivyojipanga diamond nivigumu sana kushuka kisanii binafsi namkubali sana mange ila kwa ushauri huu nimeamini team kiba wanamdanganya sijawai kuona hizo show off za mond kwaajili ya kushindana na kiba sababu hata kabla ya kiba kufufuka hayo ndio yalikua maisha ya diamond.Pengine tunashindwa kuelewa mtu kufanya show off nimpaka uwe na vyakufanyia hiyo show off sasa kama huna utafanyaje hiyo show off? Muacheni kijana wawatu Mungu amembariki niwakati wake huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Kijana wa Tanzania fanya kazi, kwa nini unabweteka na vitu vya kijinga visivyo na faida kwako? Rais Mkapa anawatukana kila kukicha hamjapata ujumbe tu bado?
 
Kijana wa Tanzania fanya kazi, kwa nini unabweteka na vitu vya kijinga visivyo na faida kwako? Rais Mkapa anawatukana kila kukicha hamjapata ujumbe tu bado?
Acha unafiki .

Wewe umefata nini humu?

Kwa nini usiende jukwaa husika la mambo ya uchumi ?

Kama wewe unaishi maisha ya dhiki ni wewe usijilinganishe na wengine.
 
Ha ha ha ha ha eti Diamond aliwastua wasanii kama Jidenna.. ha ha wewe sio mzima..Diamond awezi hata kuvipangusa viatu vya Jidenna..
Bambi bambi aah aah bambi, no one can take you from me mmama, ooh baby girl, eti amlinganishe na domo!! Wacha nifurahi mie[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…