Uchawi unaotumika kummaliza kisanii Diamond Platnumz wagundulika.

Ukizungumzia mziki wa bongoflavour basi unamzungumzia Diamond na mchango wake kwenye mziki wa bongo hata vipofu wanauona ila wale viburi wachache ndo wanaigiza kama hawaoni na yy ndo ameupeleka mziki wa bongo kwny level nyingine so anastahili kuitwa King wa bongoflavour na kumfananisha Diamond na wasanii wengine wa bongo ni sawa na kumtukana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujinga
 
Acha unafiki .

Wewe umefata nini humu?

Kwa nini usiende jukwaa husika la mambo ya uchumi ?

Kama wewe unaishi maisha ya dhiki ni wewe usijilinganishe na wengine.


Nimekuja kuwahamasisha vijana msiojitambua, hivi hamchoki matusi mnayorushiwa na rais Mkapa kweli?
 
Kiba onyesha ukomavu, mpe pole Mheshimiwa kwa kutajwa katika kamati ya makinikia ya Vito. Kumbuka alikusifu na kukupa chati, mpe pole.
 
hapana, diamond anaweza kutusua bila kiba, ila kiba hawezi kutusua bila diamond.
upo kitimu sana, cinderella na kamwambie upi umetoka kabla?
acha kupaniki bifu kaanzisha mondi mwenyewe, kipindi kiba anatoka mondi alikua muuza mitumba karuma pale
 
Kiba ni kati wototo manunda sana toka Cinderala mpaka leo anasongesha gurudumu kivyake ila ndio kama ivi watu tuko busy kufukunyua maisha yake kama vipi tuombe akatike ulimi tu maana atakuja kutoa zaidi ya 'seduce me' hapo ndipo tutapigana wenyewe kwa wenyewe maana inaonekana hana gear ya reverse kama wenzake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…