Uchawi vs akili

Uchawi vs akili

Kwa wale wamiliki wa vyombo vya usafiri magari,mabasi, taxi, etc
Unakuta kaweka kijichupa chenye mafuta, maji maji Fulani ndani yake,
ambayo yeye mwenyewe mmiliki wa Chombo hicho hajui yametokana na nini

AU karatasi yeye maandishi Fulani,

Au anaweka Rosali, tasbihi, kwenye rear mirror, AU wanaweka kwenye dashboard ya Gari.

Et ni Kwa ajili ya ulinzi wa chombo chake na yeye awewapo barabarani.

Je ni kwanini Wana viweka ndani ya Gari na Sio nje ya Gari ,ikawa kama ngao ya kumkinga na Ajali, ikiwa kama ni Kweli hivyo vitu vina uwezo wa kumkinga na Ajali..

Cha ajabu Wao ndio wameviweka salama kabisa, ndani ya Gari, yani Wao Sasa madereva ndio wanao vilinda visianguke wala kuharibika.

Jamani madereva fuatisheni Sheria zote za barabarani, na kuweni na uvumilivu muwapo barabarani,


Na kuna madereva wa mabasi utawakuta wamevaa bangili za Shaba AU silver, lakini bado wanakula mizinga,

Uchawi ni utapeli Tu
 
Kwa wale wamiliki wa vyombo vya usafiri magari,mabasi, taxi, etc
Unakuta kaweka kijichupa chenye mafuta, maji maji Fulani ndani yake,
ambayo yeye mwenyewe mmiliki wa Chombo hicho hajui yametokana na nini

AU karatasi yeye maandishi Fulani,

Au anaweka Rosali, tasbihi, kwenye rear mirror, AU wanaweka kwenye dashboard ya Gari.

Et ni Kwa ajili ya ulinzi wa chombo chake na yeye awewapo barabarani.

Je ni kwanini Wana viweka ndani ya Gari na Sio nje ya Gari ,ikawa kama ngao ya kumkinga na Ajali, ikiwa kama ni Kweli hivyo vitu vina uwezo wa kumkinga na Ajali..

Cha ajabu Wao ndio wameviweka salama kabisa, ndani ya Gari, yani Wao Sasa madereva ndio wanao vilinda visianguke wala kuharibika.

Jamani madereva fuatisheni Sheria zote za barabarani, na kuweni na uvumilivu muwapo barabarani,


Na kuna madereva wa mabasi utawakuta wamevaa bangili za Shaba AU silver, lakini bado wanakula mizinga,

Uchawi ni utapeli Tu

Dereva atapata confidence akitumia hivyo vidubwasha akiwa anaendesha Gari, akiamini Kwamba vinamlinda ,Lakin ukweli haviwezi (vidubwasha)kumzuia kupata Ajali barabarani
 
Hapa unatwanga maji.....
Tunaoongoza dunia nzima....92%

1700779953445.png
 
Uchawi ni taaluma iliyoshindwa kuthibitishwa kisayansi. Mfano kwenda Marekani kwa nusu saa.

Lakini uenda uchawi ungetumiwa vizuri ungekuwa na manufaa... Ubaya wa uchawi ni kuuana, kulogana. Yani uchawi ni sambamba na Roho mbaya ya kuwafelisha watu, wakati Sayansi ni sambamba na roho nzuri ya kusaidia wengine.
Dr. ROBERT Gallo alipotengeneza HIV kutokana na kuunganisha vinasaba kutoka Bovine Leucaemia Virus na Visna Virus wa Kondoo lengo lake lilikuwa kufelisha watu au kuwafaulisha
 
Kuna nchi nyingi zilizofanikiwa kimaendeleo baada ya kuacha uchawi. Baadhi ya mifano ni pamoja na;-

Ufaransa: Nchi hii hapo awali ilikuwa na utamaduni wa kuamini uchawi na imani za kidini. Hata hivyo, katika karne ya 18, Ufaransa ilianza mageuzi ya kidini na kisayansi ambayo yalisababisha kupungua kwa imani za kuamini uchawi. Mageuzi haya yalisababisha maendeleo katika elimu, teknolojia, na sayansi, ambayo yalisaidia Ufaransa kuwa moja ya nchi tajiri na zenye nguvu zaidi duniani.

Uingereza: Nchi hii pia ilikuwa na utamaduni wa kuamini uchawi na imani za kidini. Hata hivyo, katika karne ya 17, Uingereza ilianza mageuzi ya kidini ambayo yalisababisha kupungua kwa imani katika uchawi. Mageuzi haya yalisababisha maendeleo katika elimu, teknolojia, na sayansi, ambayo yalisaidia Uingereza kuwa moja ya nchi tajiri na zenye nguvu zaidi duniani.

Japani: Nchi hii hapo awali ilikuwa na utamaduni wa kuamani uchawi na imani za kidini. Hata hivyo, katika karne ya 20, Japani ilianza mageuzi ya kijamii na kiuchumi ambayo yalisababisha kupungua kwa imani katika uchawi. Mageuzi haya yalisababisha maendeleo katika elimu, teknolojia, na sayansi, ambayo yalisaidia Japani kuwa moja ya nchi tajiri na zenye nguvu zaidi duniani.

Katika nchi hizi, kuacha uchawi kulisababisha maendeleo makubwa katika maeneo mbalimbali, ikiwa ni pamoja na:

Elimu: Elimu ikawa muhimu zaidi, na serikali ziliwekeza katika mifumo ya elimu ya kisasa. Hii ilisababisha kuongezeka kwa ufahamu wa kisayansi na kupungua kwa imani katika uchawi.

Teknolojia: Teknolojia mpya zilitengenezwa, ambazo zilisaidia kuboresha uzalishaji na maendeleo ya kiuchumi. Hii ilisababisha kuongezeka kwa utajiri na ustawi wa jamii pamoja na kuongezeka Kwa uzalishaji mali

Sayansi: Sayansi ikawa muhimu zaidi, na serikali ziliwekeza katika utafiti wa kisayansi. Hii ilisababisha maendeleo katika matibabu, teknolojia, kilimo, AFYA, mawasiliano,uchukuzi, na nyanja nyinginezo za maendeleo.

Kuacha uchawi ni sehemu muhimu ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii.
jamii Inapoacha imani na mawazo ya kichawi na kuanza kutegemea akili na sayansi, jamii inaweza kufikia uwezekano wake wote wa maarifa.
Vipi kuhusu kuchanganya imani za kidini na mambo ya kiserikali?
 
Vipi kuhusu kuchanganya imani za kidini na mambo ya kiserikali?
Wanasiasa wengi ni wajanja,wamesoma political science,
Iko ivi , apo mwanasiasa anataka akubalike na viongozi wa kidini, hence wafuasi wa Dini hiyo Nao wanakuwa Wana mkubali mwanasiasa.

Ndio maana unaona wanasiasa misikitini, makanisani wakipiga magoti kabisa Kwa unyenyekevu mkubwa kumbe wapi, anawaigiilizia kama ni MTU Wao kabisa wamuamini,

They just playing with your mind attitude
 
Sayansi naiona Ni tempo ya Uchawi inayojivika uungwana ilhali ndio fundraiser nambari moja wa matatizo mengi hapa Duniani..... ( uharibifu )
Huku wakiuita advancement.

They sanitize words to manufacture consent and first time impression ..... Sigmund Freud.( Freemason )

Sayansi haijawahi kugundua kitu bali inajitahidi kuelezea tu.... Albert Pike ( Freemason )

Why great scientist are members of secret societies ?
 
Sayansi naiona Ni tempo ya Uchawi inayojivika uungwana ilhali ndio fundraiser nambari moja wa matatizo mengi hapa Duniani..... ( uharibifu )
Huku wakiuita advancement.

They sanitize words to manufacture consent and first time impression ..... Sigmund Freud.( Freemason )

Sayansi haijawahi kugundua kitu bali inajitahidi kuelezea tu.... Albert Pike ( Freemason )

Why great scientist are members of secret societies ?
Freeman ni kikundi cha watu wenye talanta tofauti tofauti
 
Dr. ROBERT Gallo alipotengeneza HIV kutokana na kuunganisha vinasaba kutoka Bovine Leucaemia Virus na Visna Virus wa Kondoo lengo lake lilikuwa kufelisha watu au kuwafaulisha
Hiyo ni udhibutisho Tosha kuwa sayansi ina nguvu
 
Mwafrica ni mtu aliepotea kutokana na husuda na kutamani vya majirani ili hali hajui hata jirani kafikaje hapo. Hao mnaowaita sijui technlogical advanced sijui kitu gani utagundua it's all bullshit. Ukweli ni kuwa wao wamegraduate kutoka uchawi mpaka kwenye advanced level ya kuongea na baba wa uchawi kabisa( devil himself) na kuwapa mifumo mipya ya kuwahadaa wajinga kama waafrika. Kwanza vijana wengi wa Afrika wataangukia pabaya katika umasikini mkubwa na wengi mpaka leo hawajui direction yao ni ipi maana hawana imani ila wanaabudu sayansi ambayo nayo hata hawaijui ni matope tu kichwani. Mtu hana imani na hana ujuzi wa hicho anachokiamini ndo maana ukifuatilia vijana wengi wa 90's bado ni masikini wakati enzi hizo wazee walikuwa wanatoboa miaka 18+ tu. Halafu na vijana wengi wamenyweshwa madawa sana utotoni na marituals kibao wengine wako kwenye mikataba ya wazazi wao na maagano ya shetani hivyo hawajui wanaishije ndo kutwa kuwaita watu wajinga kwa kuwa ni imani thabiti kama ya dini. Mfano mmoja wamarekani mnaowaita sijui advanced sijui upuuzi gani lakini rituals wanazofanya daily hasa wale iconic figures wao utashangaa ni vitu gani. Mfano tunaita washed up industries kama Hollywood kuna ritual maarufu ya kuvaa dresses (magauni na skirt) kwa male celebrities ambapo utaona madili ya movie yanamwagika kwa celebrity husika( hii mfano mastar kibao walishaiaddress na wakapotea kwenye game kweli)

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Mkuu 90s kurudi nyuma wasomi walikuwa wachache Sana,

So nafasi za Kazi kwao zilikuwa nje nje,

Hali Sasa ni tofauti serikali imeshindwa Ku control Birth rate, watu ni wengi mno
Fursa za >Ajira haziendani na <Birth rate .

Viongozi wa Africa kuwa na ubinafsi, mambo ya hovyo Kwa Africa ni mengi sana
 
Watu wengi wanakuwa na Sonona,hofu, umaskini kwa sababu ya kukosa maarifa sahihi.

Upungufu wa huduma Bora za afya na za kisasa, imepeleke kuwa na matapeli wengi wanaodai kumsaidia kutibu watu ,

Mfano swala la mwanamke kushindwa kupata uzajiuzito , [emoji118] , hili tatizo limekuwa na utapeli mwingi Sana ,

Lakini si lazima mwanamke abebe ujauzito, anaweza kutumia njia ya chupa kukuza mtoto mpaka miezi 9, Hata hapa Dar hii huduma IPO ni sh million 28 ivi, AU akapandikizwa mwanamke mwingine mwenye uwezo wa kushika Mimba.

Kwa sababu Sio lazima kila wanawake wabebe ujauzito, ni kupoteza Tu Muda na kupunguza uzalisha
ji mali.
Hahahaaa!
JamiiForums-2113419272.jpg
 
Sayansi naiona Ni tempo ya Uchawi inayojivika uungwana ilhali ndio fundraiser nambari moja wa matatizo mengi hapa Duniani..... ( uharibifu )
Huku wakiuita advancement.

They sanitize words to manufacture consent and first time impression ..... Sigmund Freud.( Freemason )

Sayansi haijawahi kugundua kitu bali inajitahidi kuelezea tu.... Albert Pike ( Freemason )

Why great scientist are members of secret societies ?
Umemtaja mwamba Albert Pike
A man near the devil. Shida watu hawaelewi ndio maana wanakuja na justifications dhaifu wakijifanya wanajua kuhusu uchawi.
Everything is about power mafanikio ya mtu aliyesuuzwa ubongo yanaweza kukushangaza sana atakuja na kadegree kake ka chuo akiamini yeye ni wa tofauti ilihali wote tupo kwenye circle moja
Wewe ukihisi umeelimika anza kuchunguza kwanza aina ya elimu uliyopewa huko ulikotoka je inafanana na ile pesa aliyolipishwa mzazi wako? Kabla hujaanza kujifanya mjuaji wa mambo ya watu wakati hujui kitu,
Eti Uchawi hauna maana uko serious ?
 
Umemtaja mwamba Albert Pike
A man near the devil. Shida watu hawaelewi ndio maana wanakuja na justifications dhaifu wakijifanya wanajua kuhusu uchawi.
Everything is about power mafanikio ya mtu aliyesuuzwa ubongo yanaweza kukushangaza sana atakuja na kadegree kake ka chuo akiamini yeye ni wa tofauti ilihali wote tupo kwenye circle moja
Wewe ukihisi umeelimika anza kuchunguza kwanza aina ya elimu uliyopewa huko ulikotoka je inafanana na ile pesa aliyolipishwa mzazi wako? Kabla hujaanza kujifanya mjuaji wa mambo ya watu wakati hujui kitu,
Eti Uchawi hauna maana uko serious ?
Sasa mkuu ni jamii Gani hapa duniani ilifanikiwa Kwa kutumia uchawi
 
Back
Top Bottom