Uchawi wa wanawake ni gari, sitosahau gari yangu ya kwanza ilivyogeuka kuwa sumaku ya kuwatumia hadi kuwakinai, Gari! Gari! Gari!

Uchawi wa wanawake ni gari, sitosahau gari yangu ya kwanza ilivyogeuka kuwa sumaku ya kuwatumia hadi kuwakinai, Gari! Gari! Gari!

Katika wanawake ambao hawapendi magari mimi naongoza. Sio kila mwanamke ana ushamba wa magari jamani.

Basi tu sina namna ila natamani sana yule ninayempenda asiwe na gari. Tuishi maisha ya kawaida kabisa maana mentality za wanaume wengi wenye magari ndio kama hizi… wanawake.
Maisha ya roho juu siyawezi.
Sidhani
 
kakangu ana mabinti zake wameshafika chuo, kawanunulia magari kila mmoja. na amewawekea bili ya mafuta pia. nadhani hapo ndipo tunatofautiana, wengine magari wameyapata miaka 5 baada ya kuajiriwa, wakati mwingine wamezaliwa wanayaona nyumbani, wamefika 18 wametafutiwa leseni walikuwa wanaendesha kwenda sokoni na walipoenda chuo wazazi wao wamewanunuliwa. wakati wewe alichoki toka mwanza huko unasugua barabara hadi uje uajiriwe tena ukae miaka kadhaa mshahara wako uongezeke then ukopee hakohako kamshahara ununue gari. hao ndio huyu aliyeleta mada.

kuna siku kuna mdada fulani wa ofisini hapahapa DSM aliomba tumsogeze nyumbani kwao kwasababu siku hiyo hakuja na gari. ni mtu anajishusha huwezi amini kama sio maskini, tukampakia tukaseme tumpitishe kwao, wapi? nikashangaa anatuelekeza tuelekee Masaki duh, tulienda kumshusha kwenye nyumba hiyo, naomba niishie hapa nisiendelee kusema, nilibaki mdomo wazi. familia ambayo kale kagari ka ofisi yetu wanaweza kununua hata 20 huko. sikuongea kitu ila hata nikikutana naye huwa namwangalia tu kwa kumchungulia manake sisi wengine wachaga nafikiri unajua maisha yetu ni ya kimara, sinza huko na tunajifanya tuna maisha mazuri, nilipelekwa sehemu ambao imetuliaaaaa kama maji ya mtungi. pale hadi ubongo lazima utulie aisee. vijana tutafute hela mabinti zetu wasiliwe kimasihara.
 
Aisee ni kweli hii kuna demu alikua anauliza eti ana gari gani huyo mwanaume kwanza kabla sijakubali
 
Katika wanawake ambao hawapendi magari mimi naongoza. Sio kila mwanamke ana ushamba wa magari jamani.

Basi tu sina namna ila natamani sana yule ninayempenda asiwe na gari. Tuishi maisha ya kawaida kabisa maana mentality za wanaume wengi wenye magari ndio kama hizi… wanawake.
Maisha ya roho juu siyawezi.
Acha uongo dada
 
Sema tumeshazeeka pengine wewe tayari upo 45 huko, mabinti wanazuzuka sana na magari tangu kitambo.

Kuna kijana mdogo kabisa ana miaka 23 ana corola, anatembeza mkongoto mpaka kwa dada zake wenye 28
Unaishi wapi Kwanza? Labda circle yako bado ina njaa za magari.
Yan kama mwanaume unaendesha ili uwazuzue mademu bado Una fikra finyu. Gari ni necessity siku hizi kama necessities zingine Tu.
 
wamekariri kwamba kumiliki gari umetoboa life
Sio kwa ubaya ila sio poa kwa jinsi hili jua tena la utosi linavyowaka, kwa sisi wasafiri kuelekea kwenye mishemishe hasa maeneo ya mijini kama Dar ni majonzi na huzuni ukiwa umeshikilia zako bomba kwenye daladala unafuta mijasho huku unavumilia makelele ya konda na masengenyo ya abiria wakorofi

Hakika ukimwona mtu kapanda gari yake anaserereka na kiyoyozi, hakika unamwona katoboa. . .
 
Haijalishi ni Ist, Passo, Carina, Teza, n.k. dada zetu wengi hasa wanaotembea kwa miguu wanachojua gari ni gari, japo ukiwa na mkoko wa maana inakuwa fresh zaidi kupata kuwapata wazoefu wanaomiliki magari ya kawaida.

Binafsi Nakumbuka takribani miaka 10 iliyopita nilipomaliA chuo nilipata sehem ya kujiegesha kwa kazi ambayo mshahara haukuzidi hata laki 4 lakini kama zali vile kuna ndugu alinipa kigari kinisaidie mizunguko ya mjini, Ilikuwa gari ya kiuchumi inatumia mafuta kidogo hivyo sikuhofia kupiga misele, nilikuwa mtunzaji sana wa gari sikuenda sana gereji, kitu pekee kilichokuwa kinanigharimu ni service ambayo ilikuwa naifanya kibahili kila baada ya miezi sita.

Ehh bwana weee !! wanawake wakikuona una gari tena hasa uwe kijana mdogo haujavuka 30 tayari wanajua una uelekeo mzuri kwenye future yako, wanakuona husband material. kumbe wasichojua mtu anaweza kuwa anaingiza chini ya elf 10 kwa siku ila anaweza kutumia gari, kazidiwa kipato hata kwa dereva wa daladala.

Kimasihara masihara nikaanza kutoa lifti kwa kisingizio cha "Dada nakuomba uingie kwenye gari nikusogeze, jua ni kali / mvua itanyesha" kitu imooo !!! niliwahi kuifanya hii hata kwa crush wangu niliekuwa namsaka kwa muda mrefu huku akinitolea nje, game niliisimamia ukuxha 😂 usiku kucha.

Ukiwa na gari usitumie zile mbinu za kuomba namba kwenye daladala ama mtaani ukiwa unafukuzia kwa mguu ama boda, inabidi ujiongeze thamani, tengeneza business card zako, hii inakupa thamani zaidi na kuwazuzua vilivyo kukuona una piga mishe nzito nzito na unalingana na hadhi wanavyokufikiria, kwamba unaweza hata kuja kuwapa konection, binafsi business card zangu zilikuwa za mchongo niliweka Jina la kampuni la kujitungia, nikajipa cheo mimi ni meneja, cha ukweli kilikua ni namba ya simu tu, akishuka mpe card yako na elf 2 ya boda, uhakika wa kukucheki ni 90 %.

kugharamika kwa kila pisi inaweza kukucost elf 20 ukiwa na kigeto chako, ukisema uende lodge huko kuna hela ya Ziada ya chumba.

Exit Strategy ni rahisi sana, waweza tu kusingizia mke wako kagundua, cha muhimu usiweke kambi, ukiweka kambi kwa muda mrefu huwezi ach kienyeji.
Akiki za kijana wa Kitanzania jumatatu ahsubuhi...

Hongera mkuu🤣
 
kakangu ana mabinti zake wameshafika chuo, kawanunulia magari kila mmoja. na amewawekea bili ya mafuta pia. nadhani hapo ndipo tunatofautiana, wengine magari wameyapata miaka 5 baada ya kuajiriwa, wakati mwingine wamezaliwa wanayaona nyumbani, wamefika 18 wametafutiwa leseni walikuwa wanaendesha kwenda sokoni na walipoenda chuo wazazi wao wamewanunuliwa. wakati wewe alichoki toka mwanza huko unasugua barabara hadi uje uajiriwe tena ukae miaka kadhaa mshahara wako uongezeke then ukopee hakohako kamshahara ununue gari. hao ndio huyu aliyeleta mada.

kuna siku kuna mdada fulani wa ofisini hapahapa DSM aliomba tumsogeze nyumbani kwao kwasababu siku hiyo hakuja na gari. ni mtu anajishusha huwezi amini kama sio maskini, tukampakia tukaseme tumpitishe kwao, wapi? nikashangaa anatuelekeza tuelekee Masaki duh, tulienda kumshusha kwenye nyumba hiyo, naomba niishie hapa nisiendelee kusema, nilibaki mdomo wazi. familia ambayo kale kagari ka ofisi yetu wanaweza kununua hata 20 huko. sikuongea kitu ila hata nikikutana naye huwa namwangalia tu kwa kumchungulia manake sisi wengine wachaga nafikiri unajua maisha yetu ni ya kimara, sinza huko na tunajifanya tuna maisha mazuri, nilipelekwa sehemu ambao imetuliaaaaa kama maji ya mtungi. pale hadi ubongo lazima utulie aisee. vijana tutafute hela mabinti zetu wasiliwe kimasihara.
NI lazima kuwe na madaraja kwenye jamii, huyo Kaka yako kabarikiwa ana mafanikio yake kaweza kuwanunulia "watoto wake" magari mapema ni jambo zuri.

Wengine Tumeanza kuyajua magari tukiwa na 24, wengine miaka 7, wengine 16, wengine 30, wengine 40, wengine hawayajui kabisa.

Wengine wanaona Toyota sio magari parking zimejaa audi, Ford,.. House boy ndio kapewa bmw ya kufata watoto tuition.
 
Katika wanawake ambao hawapendi magari mimi naongoza. Sio kila mwanamke ana ushamba wa magari jamani.

Basi tu sina namna ila natamani sana yule ninayempenda asiwe na gari. Tuishi maisha ya kawaida kabisa maana mentality za wanaume wengi wenye magari ndio kama hizi… wanawake.
Maisha ya roho juu siyawezi.
Acha utani aisee.

Nyie wanawake wa kileo ndio kabisa.
 
Katika wanawake ambao hawapendi magari mimi naongoza. Sio kila mwanamke ana ushamba wa magari jamani.

Basi tu sina namna ila natamani sana yule ninayempenda asiwe na gari. Tuishi maisha ya kawaida kabisa maana mentality za wanaume wengi wenye magari ndio kama hizi… wanawake.
Maisha ya roho juu siyawezi.
Nifah bwana umenichekesha sana na ghafla umenifanya nimkumbuke jamaa angu mmoja wa high school alikua pcm anaitwa Jeremiah, yeye hakua akipenda kabisaa kuegemea upande wa walio wengi. Akiona weng mmechagua huku yeye anachagua kulee hata kama kiuhalisia alikua anapenda kule kwingine. He always wanted to be unique or favoured the minority.

Kwahiyo wewe hupend mwenye ukwasi kama magar.
Japo ni mentality nzuri though
 
Back
Top Bottom