Ucheleweswaji wa malipo kwa wakulima kutoka kwa vyama vya msingi imekua kero sana baadhi ya Wilaya mkoani Ruvuma ikiwemo Tunduru

SELF-CHANGe loveTz

New Member
Joined
Jun 12, 2024
Posts
1
Reaction score
0
Hi

Naomba serikali kuvunja mfumo wa kuuza mazao katika vyama vya msingi kwani vimekua vikitunyima uhuru katika mazao yetu.

Baadhi ya Vyama hivyo vimekua vikichelewesha Malipo kwa wakulima pasipo na sababu yeyote.

Kuna muda kukaa na pesa za wakulima mbaka mwezi Baadhi ya mnada kupitishwa na minada kuendelea kufanyika hii inamfanya mkulima.
kuvunjika moyo .
 
Pole mpambanaji.






KAZI ni kipimo cha UTU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…