Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Wewe umekuja na ushahidi upi zaidi ya pumba tu? Maswali yako yote yamejibiwa na Mohamed Said ukarukia Somalia na Nigeria. Duhhh, Mohamed Said kakupa za USO mpaka hujijui hujitambui.
Wewe ni mpuuzi siku zote, huwezi kusimama kwa hoja zako, kazi yako ni kudandia na kupotosha hoja za watu wengine!
 
Mzee Mshume akikaa Tandamti.
Mie nimezaliwa Dar es Salaam.

Nafungua macho namwona Mzee Mshume.

Leo unaniuliza swali kama hilo kweli?
Nikujibu nini?
 

Mwanakijiji asante sana kwa shule hii murua bila shaka walimwengu wanapembuka na kuhalalisha ngano za Mzee wetu Mohamed Said!
 

Nguruvi3 Mungu akubariki.
 
kwa kweli miye nishatoa mchango wangu wa kutosha kwenye hili sasa ni wakati wa kumove on; mwenye hekima atakuwa amesoma na kuelewa; na kufunguka.
 
Randal nimemsoma siku nyingi sana.

Nami nakupa kitu kasome ndipo utamuelewa
yeye na mfano wa yeye.

Katafute "Tanzania Notes and Records." soma yaliyomo humo.

Utapata jarida hizo East Africana Maktaba ya Chuo Kikuu.
Jarida hizo zilikuwa ukumbi wa wenyewe wakoloni wa Kiingereza.

Huyo ndiyo Randal.
Lakini ukipenda kumwamini hakuna shida.

Mwamini huo ni uhuru wako wa mawazo.
 
Mkuu Mzee Mwanakijiji, hapo kwenye bold naomba kutofautiana na wewe kidogo, kwa vile Maalim Mohamed Said is "a man with a mission" lengo lake likiwa ni kueneza uwongo, uzushi, uchanganishi, fitna, uchochezi in the name of Islam, na hii thread mpaka sasa imesomwa na watu 22,482, na kuchangiwa na watu 2,185!, hayo ni mafanikio makubwa sana kwa "a man with a mission", ni kama amadurufu copy nyingine 20,000 za kitabu chake cha uzushi, uchochezi na uchonganishi, ndio maana this time he is more happy kila akipata mwanya alikuwa anazidi kumwaga sumu!. Japo tumemkosoa sana, ila pia amefanikiwa kupata uungwaji mkono mkubwa tuu ikiwa ni pamoja na ku recruit some few diciples ambao wanaamini hii ni vita ya Jihad, na ndio hawa ambao watakuwa tayari kufanya lolote in the name of Islam!, hivyo amefanikiwa sana!. The more we post, the more he gets, and this makes him very successful and very happy!.
Dawa pekee ni ku denounce andiko lake kwa andika la ukweli. Kama amezaliwa 1952, mwaka huu he is 61!, nashauri kazi hii ifanyike mapema akingali hai, ili ashuhudie ule uwongo wake ukiwa defeated akingali hai na uwe screped from literacy books such that ikifika jioni yake wakati wa kulala, "he should sleep a miserable man indeed!". If he sleeps anytime now kabla hatujafanya kitu, "he'll sleep a happy man!" and "a hero wa Wazee wa Darisalama!".
Pasco.
 

Mkuu Pasco,
Umeongea jambo la msingi sana hata mimi nilitoa ushauri kama wako humu JF.

Jambo la msingi unganisheni nguvu za pamoja Jasusi, adolay, Fundi Mchundo, WildCard, Pasco, Nguruvi3, Mzee Mwanakijiji, Yericko Nyerere, Mag3, muandike hicho kitabu mkosoe halafu muweke ukweli. Bahati mbaya waandishi wote mtakuwa Wakiristu.
 
Last edited by a moderator:

Hakika kabisa,

Katika michango yangu huko nyuma ya uzi huu, niliwamba wadau wote hapa tuungane na kuandika kitabu kuhuisha yale ya Kivukoni na kukanusha uzushi huu wa Mohamed Said,

Bila shaka tutakuwa tumeliokoa taifa letu dhidi ya binadamu huyu GAIDI na haini katika Jamuhuri yetu!
 
Huwa nasikitika nikisoma mnatumia maneno "mshamba" nk.
kisha mkanihusishanayo.

Hivi tija gani itapatikana kwa uandishi kama huo?
 
Last edited by a moderator:
Sio kutekwa unatakiwa ufuatilie nenda hadi DODOMA kwenye hazina ya taifa usome kama upo Dar nenda maktaba uombe zile adidu za rejea zake uzisome ule ububusa wa kusoma kitu na kupuuzia au kukisemea ndio unao turudisha nyuma.
Mengi anayo yaandika ni ukweli mtupu
 


Mkuu Ritz

Mawazo yako yanaweza kuwa mazuri, lakini umemalizia vibaya.

Hakuna anayepigania ukristu, ukabila au wazee wake kwenye kundi ulilolimensheni. Sisi tunahitaji mambo yanayo husu watanzania wote (waislam, wakristu, wahindu imani zingine na wote wasioamin) yanafanywa bila ubaguzi wa aina yoyote.

lengo kubwa ni kuona Tanzania inabakia kuwa moja ya watanzania wote na kuhakikisha kwamba kwa umoja wetu (waislam, wakristu na wengineo) tunaunganisha nguvu zetu kuilazimisha serikali kutekeleza wajibu wake wa msingi kwa watu wake bila ubaguzi

-Elimu bora

-Afya bora

-Siasa safi kwa maana ya utawala bora.

Kumalizia na neno hilo lako la blue kwangu mimi halina tija, Tija na kipaumbele kwangu ni umoja wa watanzania bila kujali imani zao.
 
Tutawajumuisha wewe na wenzio wote akiwamo Mohamed Said!
Tusisahau haya yaliyomo kwenye thread hizi tatu, ipo ile ya Mohamed Said, ile ya Mag3 na hii ya Yericko Nyerere. Tuwashirikishe pia watu na taasisi nyingi kama MNF, Kigoda cha Mwalimu, BAKWATA,..., nia ni kuweka sawa historia ya nchi yetu na kiongozi mkuu wa kwanza wa Taifa hili.
 
Last edited by a moderator:

Umesahau Kanisa Katoliki. Huyu kiongozi alikuwa peke yake.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…