Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Kuna mfuasi mmoja wa nyerere, anaitwa Mag3,

Anasema hao wazee wote walikuwa wasaidizi wa Nyerere.

Nguruvi3, yeye hataki kabisa kusikia majina ya hao wazee anawaita kina mwanameka.

huyo ndio kabisa, anaandika yeye na kujijibu yeye. Hakuna aliyetajwa na Mohamed Said zaidi ya nyerere ambae anamjua kabla ya kumsoma Mohamed Said.

Ukimwambia nyerere aliwekwa nyumbani kwa kina Sykes mtaa wa Stanley atakataa. Kwi kwi kwi teh teh teh.
 

Wewe ni mfuasi wa Nyerere pamoja na Kanisa na adui mkubwa wa Uislam na Waislam. Akili zako ni za kushikiwa Nyerere kwako ni mtakatifu. Bora ungekaa kimya tu kuliko kujidhalilisha.

Nyie kwenu hawa wazee wazalendo hawana jema hata moja kila kitu Nyerere. Hata mitume wa Mungu walikuwa na wenzao ambao wanafanya nao kazi.
 

Mohamed Said kisha Sema kama una maandiko anayaona hayana maana hakujibu, hayupo hapa kuutafuta mshindi, yupo hapa kuelezea historia ya wazee wa dar na jinsi walivyoasisi kudai Uhuru na jinsi walivyomkaribisha nyerere nyumbani kwao na jinsi jina la TANU lilipotokea, bado tu hujaelewa?

Wewe kabka ya kumsoma Mohamed Said ulijuwa kuwa fedha za kukamilisha safari ya nyerere kwenda umoja wa mataifa zilitokea Tanga na zililetwa kiufundi na kiujasiri mkubwa na Waislaam na kuwahadaa Askari wa muingereza? Nna uhakika ulikuwa hujuwi na mpaka sasa unakataa kuamini, kwa kuwa tu hukufundishwa hayo na wana historia wako. Kaa upate darsa, ujuwe ushujaa wa Waislaam. .

Na sasa wanaonesha ushujaa wao huko Kusini wakifata nyayo za wazee wao waliopigana vita ya jihad ya majimaji. Unaujuwa ukweli wa majimaji? Kama huujuwi mtafute Mohamed Said akudokezee utafaidika.
 
Ritz,

Hivi sasa mnakasha umepambika na ghadhabu.
Wachangiaji wanaingia ukumbini wamehamaki.

Hii inatoa umakini wa kujadiliana na matokeo yake
ni kutukanana.

Katika hali kama hii ni vigumu kupata tija yoyote.

Hata hivyo hapa tulipofika naamini kuna mengi ambayo
yalikuwa hayafahamiki sasa yako wazi.

Natulia kidogo hasira zipungue na wakishapoa na kuanza
kuandika kwa utulivu na heshima Insha Allah tutaendelea
na mnakasha.

Namshukuru sana Bwana Yaricko Nyerere kwa nyuzi hizi mbili.

Kwanza ile ya Maaskofu na hii yangu binafsi ya Uchochezi.
Kanifanyia ikhsani kubwa sana.

Kama si yeye nisingeweza kupata watu 22,000+ kunisikiliza.
Namshukuru sana.
 
mkuu kimsingi kitabu chako kimebebwa ta udini, hilo huwezi kulikana wala kulikwepa, hata waungaji mkono wako wote kwajicho la tatu wamebeba itikadi ya kidini zaidi.

tafadhali usitumezeshe maneno yako,na pia usituchagulie upande,kila mtu ana akili zake na hakuna anaeshawishiwa kwa hisia zozote isipokuwa kwa nguvu za hoja tuh,huu udini mnataka kuuleta nyie,niambie ni nani miongoni mwenu ambae kajipambanua ni christian anaafikiana na hoja za moh said?je anapigana crusade war?si ameridhika na hoja za upande huo?iweje wanaonekana ni muslims na wanakubaliana na hoja za moh said waonekane wanapigania jihad?hatuwez fika,pia mnakera mara nyingi mnatumia lugha za kejeli,uhuni na matusi kwa lengo la kumuudhi na kumfrustuate ndugu moh said ili mumtoe nje ya mstari na kumtoa maana,mara nyingi anawakwepa?
Hiyo ndiyo heshima ya mnakasha kama unavosema?
Haileti maana yoyote zaid zaid mnajishusha.
 

sawa sawa,ha hizi jazba zao ma ghazabu ni ishara ya kuishiwa hoja tuh,na hawajalazimishwa kukubali,na hatupo hapa kugombea tuzo au nishani flani baada ya kumalizika kwa mjadala huu,
kama na wao wanahisi wana mchango wao wa kuutoa,wakae chini waandike kitabu chao kuelezea wanachokijua wao,uwongo hufutwa kwa ukweli.,
wauandike sasa ukweli wanaoufaham wao.
 
Mohamed Said amefungua mlango katika kitabu chake wala ajasema kuwa ndiyo kitabu cha historia ya Tanganyika.

Ndiyo maana kwenye gamba la kitabu ameandika maneno haya.

"Historia iliyofichwa kuhusu harakati za Waislam dhidi ya Ukoloni wa Waingereza katika Tanganyika."

Kama kuna watu wenye habari zingine kuhusu wapigania uhuru wa Tanganyika ni vizuri wakaziandika tupate kuzisoma.

Mohamed Said kwa nafasi yake katufundisha mengi tunaitaji na wengine wafanye kama Mohamed Said.
 

tunaposema mmeishiwa hoja ni hapo mnapoamua kwa wazi wazi kutumia lugha za kejeli na dhihaka dhidi yake,na kuacha kwa makusudi kuegemea kwenye hoja zinazopaswa kuulizwa na kujibiwa.
 

then ile hotuba vipi??
Wamegoma kuiweka?si waliahid hilo au wamekimbia moja kwa moja kama kawaida yao.
 
Kwani kuna mtu amepinga hoja zote za Mohamed Said? Mimi binafsi kuna baadhi ya vitu nimejifunza humu. Kinachokera ni pale anapotakiwa atoe maelezo kwenye vitu ambavyo havileti logic halafu anashindwa na kubaki kusema hayuko humu kujibu maswali. Mara anasema watu wamehamaki. Wasihamaki kwanini wakati mzee wetu analeta dharau na kupuuzia hoja za msingi kabisa! Wewe hizi simulizi zake zote unaziamini tu bila kutafakari au umetafakari na kujiuliza maswali na baada ya kupata majibu ndiyo umeamini?
 
then ile hotuba vipi??
Wamegoma kuiweka?si waliahid hilo au wamekimbia moja kwa moja kama kawaida yao.
Kama ungetumia kigezo hicho cha hotuba basi ungeyafuta maandishi yote ya Mohamed Said. Maana ni angalau hata hiyo hotuba iliyowekwa kwa maandishi inaonyesha ushahidi fulani.
Mzee Mohamed Said amesema si mara moja, hahitaji kutoa ushahidi wa kimahakama, cha ajabu yeye mwenyewe na wafuasi wake wanataka ushahidi wa kimahakama. Hivi nyinyi watu hamjioni mapungufu yenu kweli?
 
Mkuu sweke 34
hapo kuna masilai ya watu wanaojua wanatudanganya badala ya kuwa chanzo cha mabadiliko wao wanatafuta wa kulaumiwa. Mbona Bagamoyo makanisa ya kale yapo yanazuia kujengwa kwa mashule na vyuo vya Waislamu lakini yanashindwa kuzuia ujenzi wa misikiti?
Ni Aibu kwetu kusubiri tufanyiwe kila kitu wakati uwezo tunao na tunaona wenzetu wakifanya. Kwani wao waweze wana nini na sisi tunashindwa kwanini?. Lakini Inshalah tumeanza na nawaomba wenye nia ya kutudhofisha waache.
 


Mkuu MS, mi huwa najiuliza maneno yako huwa unatoa wapi, Hiyo Hoja ya Nyerere kusema yeye ndio mwanzilishi pekee wa TANU sijuhi inaingiaje haya Chini ni maneno ya Nyerere katika hotuba yake ya kuaga wazee 1985

"Baada ya miezi 13, hapo 1954, tukaanzisha TANU. Jina hili lilipendekezwa na akina Abdul Sykes. Walikuwa wamelifikiria tangu zamani, walipokuwa askari vitani huko Burma (Vita vya Pili)."
 

Weka vyako vinavyoleta logic, kwani ni lazima Mohamed Said akujibu hata kama unaleta utumbo?
 

na ndio maana ya mjadala,kama wewe unavosema kuna vitu umejifunza kutoka kwake na vivo hivyo wengine tunavojfunza kutoka upande mwingine,si kila mtu alikuawa anafaham vyote hivo,ila kwa busara na uvumilivu mjadala huu utakuwa na mwisho mzuri kama ulivyoanzishwa,sasa kama kila mtu akianza kuleta kejeli kwa mwenzake tutafika mwisho?
Hatuamini kitu eti kwa kuwa moh said kasema la hasha,tunapima mantiki na uzito wa kile anachokisema kwanza.
 
Mkuu Pasco naunga mkono wazo lako niko tayari kuchangia,uandaliwe utaratibu wa haraka sana kuacha haya mambo ya kijinga yaendelee bila kufanyiwa kazi itakuwa ni dhambi kubwa kwa kizazi kijacho.

 
Last edited by a moderator:

Unajijua kuwa wewe ni mjuvi?

Unatuthibitishiaje kuwa watu wote wanakusoma wewe tu?

Hivi wachangiaji wote hawanamaana kwa watazamaji hao 22,000 isipokuwa wewe tu
 
Nikiikumbuka Tanzania nakumbuka ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI WA CCM. Na wakti huo Mwenyekiti ni CCM ni Nyerere. Kwa kufikiri kidogo tu utaona huyu alikuwa Mungu mtu yaani zidiume fikra zake zote hata zikiwa za kuangamiza Taifa lake.


Kweli enzi za Nyerere tulijifunza na kuona mengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…