Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Aisee wakimbizi wanatuvurugia nchi

Ponda mrundi
Kinana msomali
Farid-wa mashariki ya akina osama
Sasa kumbe Mohame Saidi naye mkimbizi ndo maana anatuchonanisha tuwe kama jamaa wa Goma, na Mbuji mayi!!! Lahaula kwata leo nimejuwa ......

Mkuu umewasahau na hawa mwl/Nyerere mtutsi ( Rwanda ) Mkapa m-makua ( mozabiqui ) Padri mstaafu wilbrod slaa m-masai ( Kenya )
 

Asante sana mkuu, majibu yako yanazidi kuzaa maswali tena yamsingi mpana.

1) Maandishi ya bluu: Hujamuhoji Baba yako na hukuona umuhimu hivyo Watanzania milioni 44.5 ulioamua kuwabadilishia historia yao tukuamini wewe tu kwa ngano zako bila ushahidi yakinifu?

2) Maandishi ya kijana: Kwa umri alioishi mzee wako, huyo alikuwa ni kiungo muhimu cha maboresho ya historia ya nchi yetu, lakini kwakuwa uliadhimiria kuibadili historia ya Uhuru wa nchi hii, USHAHIDI pekee wenye ushawishi ulikuwa ni wa video na sauti tu za mahojiano yako na yeye kuliko wewe kumlisha maneno mzee wawatu aliyefariki huku ukiamini hana uwezo tena wakuja kukukana hapa.

3) Maandishi mekundu: umejibu hivi, "Mambo yanatokea anayaona kwa macho yake.
Mimi nikaja nikaishi katika nyakati hizo."

Kwamjibu wa jibu hili ni kuwa ulikuwepo enzi za harakati za kupigania uhuru wa Tanganyika mpaka Uhuru kamili, Sasa naomba ufafanuzi wa haya:

a) Ulishiriki kwa namna ipi vita vya ukombozi ambavyo WAISLAMU wamekuja kudhulumika na Hayati Mzee nyerere?
b) Wewew ni mmoja ya waislamu wapigania Uhuru waliodhulumika na Nyerere?
c) Katika mda wote huo ulioishi uliwahi kumuuliza Nyerere juu ya kero yako? naomba sauti au video.
 
Mohamed Said hakuna anayemjibu kwa hoja na ushahidi kama anavyofanya yeye.Wengi ni jazba na ukereketwa wa kidini.Kwa muda mrefu amekuwa akishambuliwa yeye binafsi na si kile anachosema.Bado tunaamini anachosema mpaka pale utakapoletwa ushahidi mwanana dhidi ya kile alichosema yeye.Ajabu vitabu vyake vinakubalika na wasomi wakubwa na kufundishwa vyuo vikuu vikubwa huko ulaya,vipi wewe usiyekuwa na hoja makini wala weledi ktk historia ya nchi hii utake tukuamini katika porojo zako? Eti alichoandika ni uchochezi,chako wewe ulichoandika nini,porojo?...uongo...? ...Uzushi..? au Ukereketwa wa dini...? pinga hoja kwa hoja si kulazimisha na kushawishi wengine kwa Mohamed Said ni mchochezi. Ukitaka kujua kama Mohamed Said ni great thinker pitia post zake zote alizowahi kutoa humu,pamoja na mijadala aliyowahi kufanya hapa JF.Utaona si mtu wa jazba wala maneno ya kashfa,japo wengi humkashifu yeye binafsi bila ya kujibu anachosema
 
Last edited by a moderator:

...!!! ???
 
...!!! ???

Hahaha mkuu inasemekana semekana zimekuwa nyingi hana hoja naona anajikanyaga na hii nikutokana na hao anaowaandikia kutokuwa na uwezo wa kuhoji haya mambo kwa undani wao wanalishwa tu maneno
 

Mkuu anachofanya Mohamed Said, ni kujibu hoja bila matusi wala kejeli. Tena ni mvumilivu sana hakuna wa kupambana naye kwa hoja.
 
Last edited by a moderator:
Dada/Mama, JF ni jukwaa huru kama navuruga mjadala ripoti kwa Mods. Usinifunge mdomo naendelea kuchangia.

Nimekushauri kwa mafaa yako mkuu, ili unufaike na mjadala huu ni vema ungekuwa msomaji tu
 
Ndugu yangu usijitese bure.
Kitabu hiki wala si cha kujadili leo.

Kitabu kina miaka 15 leo.
Kwa hakika maswali yako mengine yanashangaza.

Nikupe video...

Usihangaike na hayo yote.

Hiki kitabu kinasomwa kama vinavyosomwa vitabu vingine.
Wasomi wanakisomesha kama wanavyosomesha vitabu vingine vya historia.

Hivi kubwa lipi khasa hadi hupati raha na kitabu hiki.
Nakushauri kisome kitabu na ukimaliza kipuuze na endelea na maisha yako.

Hiki kitabu kwa sasa ndiyo "authority" katika historia ya TANU.
Kimekuwa hivyo kwa kuwa kitabu kilichoandikwa na Chuo Cha Kivukoni na
utangulizi kuandikwa na Nyerere hakikukidhi haja.
 
Mkuu anachofanya Mohamed Said, ni kujibu hoja bila matusi wala kejeli. Tena ni mvumilivu sana hakuna wa kupambana naye kwa hoja.

Mkuu pevuka ndugu, ni hoja ipi aliyojibu mpaka tukaimaliza?

Tangu tuanza mjadala huu ndugu Mohamed hajajibu hoja yoyote na kuimaliza, anaziachia njiani ama anazikwepa kabisa!

Sasa ni hoja ipi uliyoileta hapa na akaijibu zaidi ya ukimsifu tu?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu anachofanya Mohamed Said, ni kujibu hoja bila matusi wala kejeli. Tena ni mvumilivu sana hakuna wa kupambana naye kwa hoja.

Ahsante sana ndugu yangu.
Mwalimu wangu wa madras Sheikh Haruna Mungu amrehemu akitufunza adabu ya mnakasha. Akisema jibu swali huku umetulia na chunga heshima wa yule unayejadiliananae. Akisema watu watauhukumu Uislam kwa kukuangalia wewe.

Haya ndiyo mafunzo yetu.
 
Last edited by a moderator:

Mkuu wangu Mohamed Said, kitabu chako hata kama kilitungwa/kuandikwa miaka 300 iliyopita na umefanya mijadala zaidi ya milioni, bado hatuzuiliwi kuendeleza mjadala huu kwa faida ya kizazi kilichopo na kijacho!

Jaa kwenye mjadala, usiukimbie kwa hoja nyepesi hivyo mkuu wangu!
 
Nimekushauri kwa mafaa yako mkuu, ili unufaike na mjadala huu ni vema ungekuwa msomaji tu


Hakika Nyerere Yericko kaumia sana.
Abdulwahid aliishi na alikuwa rafiki mkubwa wa Nyerere.

Nyerere kaondoka nyumbani kwa Abdu Mtaa wa Stanley kwenda Musoma kumuoa Mama Maria.
Wameishi nyumba moja.

Mama yake Nyerere alikuwa shoga wa mama yake Abdu Bi Mluguru.
Wameishi kwa hisani kubwa sana hadi uhuru umepatikana.

Nyerere kakichukua chama mikononi mwa Abdu kwenye nyumba hiyo ofisi ya TANU ambayo
alijenga baba yake Abdu kati ya mwaka 1929 - 1933.

Hii ndiyo historia ya wazee wangu na ndiyo mazungumzo nikiyasikia wazee wangu wakizungumza.
Nakushauri hebu na wewe fanya utafiti lau mchache katika haya.
 
Ndugu yangu Mohamed Said nakwenda kanisani nikirudi nitasonga na wewe kwa faida ya watanzania wenzetu!
 

Umesema kweli haki ya kukizungumza lazima iwepo na kwangu ni faraja kubwa.
Mimi nakushauri endeleza mjadala lakini na wengine.

Mchango wangu mimi nishatoa.
Ni hicho kitabu.
 
Wakuu kama takwimu zilizo tolewa na ndugu zetu hawa Waislaam niza kweli - basi kuna tatizo kubwa nchini mwetu!! Kuna haja ya kujitazama upya kama TAIFA, hili si jambo la kupuuzia hata kidogo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…