Mohamed Said hakuna anayemjibu kwa hoja na ushahidi kama anavyofanya yeye.Wengi ni jazba na ukereketwa wa kidini.Kwa muda mrefu amekuwa akishambuliwa yeye binafsi na si kile anachosema.Bado tunaamini anachosema mpaka pale utakapoletwa ushahidi mwanana dhidi ya kile alichosema yeye.Ajabu vitabu vyake vinakubalika na wasomi wakubwa na kufundishwa vyuo vikuu vikubwa huko ulaya,vipi wewe usiyekuwa na hoja makini wala weledi ktk historia ya nchi hii utake tukuamini katika porojo zako? Eti alichoandika ni uchochezi,chako wewe ulichoandika nini,porojo?...uongo...? ...Uzushi..? au Ukereketwa wa dini...? pinga hoja kwa hoja si kulazimisha na kushawishi wengine kwa
Mohamed Said ni mchochezi. Ukitaka kujua kama
Mohamed Said ni great thinker pitia post zake zote alizowahi kutoa humu,pamoja na mijadala aliyowahi kufanya hapa JF.Utaona si mtu wa jazba wala maneno ya kashfa,japo wengi humkashifu yeye binafsi bila ya kujibu anachosema