Mode, kwa heshima ya utu, naomba uifute hii post!. Kama lugha zisizofaa kuwa zinawekewa nyota please do the need!.
Pasco.
Uliona Muislaam anaidharau na kuianika maiti ya jamaa yake? maiti hustiriwa haraka iwezekanavyo, huo ndio Uislaam. Unataka kusema nini wewe? Unatafuta pakutokea? hapatokeki hapa mtajibadili kama vinyonga, nondo zile zile tu. Jee, unajuwa kuwa nyerere alikuwa alikaribishwa na kuishi mtaa wa stanley nyumbani kwa Abdulwahid, Ally na Abbas Sykes?
Hivi watu wengine mbona wepesi sana kudanganywa/kudanganyika! zomba, huyu Ayatollah hakuwa Muislaam? Si ajabu mnameza ngano za Mohamed Said nzima nzima!Ayatollah khomeini died on 3 June 1989 and his body was kept frozen for three days so that people could pay him their last respects. Khomeini's body was finally moved to his final resting place, at Behesht-e Zahra cemetery (south of Tehran), his body was accompanied by millions of people. Hundreds of people were injured and there were even deaths due to the immense crowd.
Kama ungekuja hapa na kuchangia kama Yericko Nyerere sidhani kama kuna ambaye angesisitizia kutaka kukujua zaidi,msisitizo unakuja pale ambapo wewe unadai kutaka kuiandika historia ya nchi! hivyo mimi kama mwananchi ninataka kumjua nani anayeniandikia historia ya nchi yangu ambayo itasomwa na mtoto wangu!Hilo halihusiana na mada iliyombele yetu mkuu,
Na jambo hilo ni la ndani zaidi (binafsi) halina mafaa kwa taifa kabisa!
Be fair!Pasco said:Mode, kwa heshima ya utu, naomba uifute hii post!. Kama lugha zisizofaa kuwa zinawekewa nyota please do the need!.
Pasco.
Hivi watu wengine mbona wepesi sana kudanganywa/kudanganyika! zomba, huyu Ayatollah hakuwa Muislaam? Si ajabu mnameza ngano za Mohamed Said nzima nzima!
hilo halihusiana na mada iliyombele yetu mkuu,
na jambo hilo ni la ndani zaidi (binafsi) halina mafaa kwa taifa kabisa!
......
Mie niliokuwa natazama kwenye tv mwili wa julius nyerere niliona miji-nzi ikinyemelea maiti, mpaka maiti ikajengewa kioo haraka haraka, hukuona?
Haujamwelewa. Ungeifuta kauli ile. Au ulitegemea maiti ya Mwalimu iwafukuze hiyo miji-inzi!Nimekuelewa.
zomba kwa Mwalimu ni zaidi ya Mohamed Said. Asingekuwa kwenye tv akawa karibu na maiti ile, angeipiga teke na kuitemea mate. Haukuona yaliyoikumba maiti ya Gadaffi kule Libya?Mkuu adabu na heshima ni kitu adhimu sana hasa ukiwa binadamu,
Unafadika nini kwa dhihaka na matusi hayo kwa Mwalimu Nyerere?
Mkuu adabu na heshima ni kitu adhimu sana hasa ukiwa binadamu,
Unafadika nini kwa dhihaka na matusi hayo kwa Mwalimu Nyerere?
.........
Wana JF, tulianzia mbali...huyu hapa chini ni cousin wake zomba akiyatamka haya humu humu JF, nadhani kuna uwezekano wengi wakati huo hamkuwa mmejiunga na jamvi hili ila JF kwa kumbukumbu! Usidanganyike ukafikiri uko kwenye zile blogu za uswahilini. Shuhudieni cousin wake zomba akimpa somo Mohamed Said hapo zamani kidogo...kweli tulianzia mbali!Historia huchakachuliwa pale tu waliokuwepo wawe hawapo, hapa Tanzania bado wapo na Mohamed Said anawapa darsa Zuri kabisa, ingekuwa hamlipendi msingeendelea kuwepo.
Hivi sasa zomba mwenyewe yuko humu ndani na bila haya wala aibu eti anamfagilia Mohamed Said, anatetea simulizi alizopewa na wazee wake Manyema na Wazulu...je, amewatupa wenyeji...hamnapo hakunapo! Dunia kweli mviringo.Faizafoxy said:31st October 2011...Sasa inanifanya niamini maneno ya zomba (my cousin) ameni PM na kuniambia hakuna cha Mohamed Said wala Mwanakijiji wote hao ni system na wanawacheza shere. Ahsante zomba kwa kunitanabahisha hayo, sasa sitopoteza usingizi wangu. Na nimeona ukweli.
Mohamed Said, nimekutetea sana na ni mwandishi mzuri sana, lakini kweli hukuwa unatetea Uislaam wala Waislaam, unatetea na kuandika Historia ya wazee wako, na hata Uislaam unapoandikwa ndivyo sivyo hukuweza hata kutanabahi na japo kuuweka msimamo wako Kiislaam na wala kusema kweli hapo kuna kosa.
Nilichokitathmini, ni kuwa unataka ieleweke kuwa Wamanyema na Wazulu ndio waliokuja kuwafungua macho wenyeji na wenyeji wote ni hamnapo hakunapo.
Naamini, Waislaam mlichokipanda ndio mnachokivuna. Mmeshindwa hata kuitetea aya ya Qur'an ilivyobandikwa ndivyo sivyo, mtaweza kuutetea Uislaam? Mtabaki kutetea wazee wenu, alifanya hivi walikuwa hivi wakawa vile, na hao wazee wenu kwa unafik wao ndio wakawapa msemo na nguvu watu kama kina Nyerere.
Kama ungekuja hapa na kuchangia kama Yericko Nyerere sidhani kama kuna ambaye angesisitizia kutaka kukujua zaidi,msisitizo unakuja pale ambapo wewe unadai kutaka kuiandika historia ya nchi! hivyo mimi kama mwananchi ninataka kumjua nani anayeniandikia historia ya nchi yangu ambayo itasomwa na mtoto wangu!
Umemuona Mohamed Said ametoa zaidi ya majina yake manne,asili yake n.k
Yericko! maadamu hujaifuta kauli yako ya kutaka kuiandika historia ya nchi yangu swali litabakia palepale!
swali lako lina machaguo matatu,
kulijibu,
kukataa kujibu, na kunyama.
Mimi nimechagua kukataa kujibu!
Haujamwelewa. Ungeifuta kauli ile. Au ulitegemea maiti ya Mwalimu iwafukuze hiyo miji-inzi!
Una mambo mawili ya kuchagua:Swali lako lina machaguo matatu,
Kulijibu,
Kukataa kujibu, na kunyama.
Mimi nimechagua kukataa kujibu!
basi futa jina la nyerere hapo mwishon mwa bandiko la jina lako.
Unatuchanganya tuh,kwani kuna tatzo gan kusema ya kwamba wewe ni mjukuu ama ni kitukuu cha nyerere?
Bila shaka huna uhusiano nae wowote.
Unajipendekeza tuh kwa mtakatifu julius.
Mtu anakuwa muongo au mnafiki halafu anakuwa msahaulifu tena.Wana JF, tulianzia mbali...huyu hapa chini ni cousin wake zomba akiyatamka haya humu humu JF, nadhani kuna uwezekano wengi wakati huo hamkuwa mmejiunga na jamvi hili ila JF kwa kumbukumbu! Usidanganyike ukafikiri uko kwenye zile blogu za uswahilini. Shuhudieni cousin wake zomba akimpa somo Mohamed Said hapo zamani kidogo...kweli tulianzia mbali!Hivi sasa zomba mwenyewe yuko humu ndani na bila haya wala aibu eti anamfagilia Mohamed Said, anatetea simulizi alizopewa na wazee wake Manyema na Wazulu...je, amewatupa wenyeji...hamnapo hakunapo! Dunia kweli mviringo.
Kuna aliyedai hapa kuwa usemi wake ni torati au msahafu?Wewe wasema, lakini usemi wako si torati wala msahafu!
Una mambo mawili ya kuchagua:
Aidha weka masuala yako ya binafsi mbele kwa kuifuta kauli yako ya kutaka kuiandika historia ya nchi..au
Weka maslahi ya Taifa mbele kwa kuyafanya masuala yako yaeleweke na uendelee na nia yako ya kuandika historia ya nchi.
Unachagua lipi kati ya hayo?
Kama hutaki kufuta kauli yako ya kuiandika historia ya nchi basi swali hili halikuondoki:Hayo yote kwangu hayana mafaa,
Imani yangu kwa niyasimamiayo ipo imara kama mlima sayuni!