kichwakigumu
Senior Member
- Oct 10, 2008
- 122
- 52
Thank you sir, i am not an English speaker, but the little English i know tells me that English words are used basing on context and not the way you used the word "Dichotomous" out of context.
Good boy/girl
Dichotomous was not used out of context!
Labda nikusaidia "double standards"
Ndugu yangu Bukyanagandi, ni pigo kubwa sana kwa wanaotafuta "muujiza" ili kumpandisha Nyerere kutoka alipo "mwenyeheri" kumpeleka kwenye "mtakatifu". Muujiza walioutegemea ni kumfanya kuwa yeye ni "super hero" wa Tanganyika aliyeweza kuwakabili wakoloni peke yake na kuipatia Tanganyika Uhuru alioudai yeye pekee. Lingethibitishwa hiilo ni moja kwa moja linampa status Nyerere ya kuwa ni mfanya "miujiza" (miracles) ambao ni kigezo cha u "sainthood".
Ukweli anaouweka wazi Mohamed Said, unaharibu hicho kigezo na ni lazima wagalatia wampinge Mohamed Said kwa nguvu zote. Lakini ukweli ni ukweli haufutiki na muujiza uwe wa kweli basi, si wa kubuni.
Bukyanagandi nafahamu kuwa wewe si Muislaam kama ulivyojieleza katika moja ya post zako, lakini u katika wale waupendao ukweli na inashangaza kuona watu humu wanapinga lakini wanachokipinga hawakioneshi, iliyobaki wanarusha kila istihizai, kejeli, vijembe kwa kuwa tu wanadhani ndio wanafanya "character assassination", laiti angelikuja mmoja wao akasema, Mshume ni wa kabuni hakuwepo, Abdulwahid Sykes hajawahi kumweka Nyerere, Dossa Aziz hajatowa mchango wake katika harakati za kudai Uhuru na wengine wote aliowataja Mohamed Said, japo mmoja wao au habari yao moja wakaipinga, hapo ningewaelewa, lakini tazama na soma kwa makini hilo hukuti.
Ni maradhi tu yaliyomo mioyoni mwao, na kwa uhakika hayapunguwi yanazidi. Unajuwa adui yako kila unapofanikiwa yeye ndiyo huzidi kuumia? ndio hawa wanaopinga, mradi wapinge tu.
Ndugu yangu Bukyanagandi, ni pigo kubwa sana kwa wanaotafuta "muujiza" ili kumpandisha Nyerere kutoka alipo "mwenyeheri" kumpeleka kwenye "mtakatifu". Muujiza walioutegemea ni kumfanya kuwa yeye ni "super hero" wa Tanganyika aliyeweza kuwakabili wakoloni peke yake na kuipatia Tanganyika Uhuru alioudai yeye pekee. Lingethibitishwa hiilo ni moja kwa moja linampa status Nyerere ya kuwa ni mfanya "miujiza" (miracles) ambao ni kigezo cha u "sainthood".
Ukweli anaouweka wazi Mohamed Said, unaharibu hicho kigezo na ni lazima wagalatia wampinge Mohamed Said kwa nguvu zote. Lakini ukweli ni ukweli haufutiki na muujiza uwe wa kweli basi, si wa kubuni.
Bukyanagandi nafahamu kuwa wewe si Muislaam kama ulivyojieleza katika moja ya post zako, lakini u katika wale waupendao ukweli na inashangaza kuona watu humu wanapinga lakini wanachokipinga hawakioneshi, iliyobaki wanarusha kila istihizai, kejeli, vijembe kwa kuwa tu wanadhani ndio wanafanya "character assassination", laiti angelikuja mmoja wao akasema, Mshume ni wa kabuni hakuwepo, Abdulwahid Sykes hajawahi kumweka Nyerere, Dossa Aziz hajatowa mchango wake katika harakati za kudai Uhuru na wengine wote aliowataja Mohamed Said, japo mmoja wao au habari yao moja wakaipinga, hapo ningewaelewa, lakini tazama na soma kwa makini hilo hukuti.
Ni maradhi tu yaliyomo mioyoni mwao, na kwa uhakika hayapunguwi yanazidi. Unajuwa adui yako kila unapofanikiwa yeye ndiyo huzidi kuumia? ndio hawa wanaopinga, mradi wapinge tu.
jamani mimi nilikuwa msomaji toka mwanzo na nimefuatilia kwa makini sana yote yaliyojadiliwa, na mwanzoni ilinibidi nifanye dodoso kwa wafanyakazi wenzangu ambao ni wadini ya kislamu ili kujua kama waliwai kuhisi ama kugundua au kudhani kwa sababu moja ama nyengine waliwai kunywimwa fulsa yoyote hapa kazini kwetu ama ktk shule walizosoma ama mahala popote ambapo ni pakitaifa zaidi.ktk waislamu 43 wa idara yangu kakika narudia tena hakika hakuna hata mmoja ambaye amesema kuwa alinyimwa fulsa ambazo ni haki yake kimsingi labda kkt mazingira ya rushwa,pili ktk mjadala huu cjafurahiswa na mtindo wa mzee said kujibu hoja kwa kubase kwenye mandiko ya kitabu chake mwenyewe hiyo inaashiria kuna udhahifui flani ama hana vyanzo vingine isipokuwa kitabu chake mwenyewe.
nini maana ya wagalatia?
jamani mimi nilikuwa msomaji toka mwanzo na nimefuatilia kwa makini sana yote yaliyojadiliwa, na mwanzoni ilinibidi nifanye dodoso kwa wafanyakazi wenzangu ambao ni wadini ya kislamu ili kujua kama waliwai kuhisi ama kugundua au kudhani kwa sababu moja ama nyengine waliwai kunywimwa fulsa yoyote hapa kazini kwetu ama ktk shule walizosoma ama mahala popote ambapo ni pakitaifa zaidi.ktk waislamu 43 wa idara yangu kakika narudia tena hakika hakuna hata mmoja ambaye amesema kuwa alinyimwa fulsa ambazo ni haki yake kimsingi labda kkt mazingira ya rushwa,pili ktk mjadala huu cjafurahiswa na mtindo wa mzee said kujibu hoja kwa kubase kwenye mandiko ya kitabu chake mwenyewe hiyo inaashiria kuna udhahifui flani ama hana vyanzo vingine isipokuwa kitabu chake mwenyewe.
spike lee,,
ndugu moh said hupenda kukuita "mtu usie na maneno mengi"
thanks,mimi pia nasubiria jibu lake..
I second you..!
Hebu Spike Lee, naomba kama hajakuacha mkiwa, mkumbushe ajibu maswali yangu haya. Maanake naona anaanza kujikaanga mwenyewe kwa mafuta yake na hata internet etiquette inaanza kumpa taabu kuifuata...font hizo!... ni zaidi ya zile za THE BIG SHOW! Hiyo si dalili nzuri. Maswali yenyewe haya;
Asante, naendelea kusubiri (remember the vulture is a patient bird)...hii ni safari ya tatu namkumbushia.
sawa sawa mkuu,,kaka big,
ndiyo tunasubiri majibu.
Jana Ritz, alikuuliza maswali mawili ulijibu la wanachama wa TANU, bado orodha ya viongozi wa TAA.
i think u r hvg a bad day at the office-u nd tampax 2 cool upsawa sawa mkuu,,
nayakumbuka maneno yako,pale nilipoyasoma nikaanza kulengwa lengwa na machozi ya simanzi kubwa,kwani nilishazoea kuziona busara za ndugu yetu moh said zikimwagika pasi na tozo ya aina yoyote,,
"mohammed said,unaondoka unatuachia ukiwa"
kwa hakika niliposoma hayo maneno niliingiwa na simanz sana.
Mungu ambariki sana ndugu moh said.
Ah! Mzee Mohamed, mbona sio mara ya kwanza nimekupongeza kwa hilo? Sina utaalam wa kufukunyua kurasa hizi. Ningekuonyesha pale ulipokiri kuwa makosa yamo mle kwenye kitabu chako tunaoweza kuandika kitabu kingine tuandike ili kuyasahihisha. "Senility" inakunyemelea nini!Wild Card,
Wapi nimekiri makosa na upungufu wa kitabu changu?
Huu ndiyo ujanja wenu wa kumaliza mnakasha?
Haifai kabisa kutiliana maneno kinywani.
Ikiwa mnataka tumalize mnakasha na tumalize kiungwana.
Wala mimi sitakuulizeni kuhusu suala la ''uchochezi wangu.''
Nimekuwa hapa jamvini siku zote.
Wasikilizaji watatuhukumu.
Mchochezi Mkuu katimka kakimbia baada ya kugundua kuwa JF si kama uwanja wa mihadhara, watu wanahoji na wanadadisi...sasa wamebaki "cheerleaders" kumlilia kwa kuwaacha wakiwa! Jf kiboko, huko nyuma wako wengi waliokimbia kama yeye na hadi leo hata kuingia humu wanaogopa. Eti hadithi na simulizi za mtaa wa Gerezani zinaitwa historia!...hapana, hapa JF zinaitwa kwa jina lake halisi, ngano.Ah! Mzee Mohamed, mbona sio mara ya kwanza nimekupongeza kwa hilo? Sina utaalam wa kufukunyua kurasa hizi. Ningekuonyesha pale ulipokiri kuwa makosa yamo mle kwenye kitabu chako tunaoweza kuandika kitabu kingine tuandike ili kuyasahihisha. "Senility" inakunyemelea nini!
Oh! poor old man, kindly go back to where you used the word for the first time;Good boy/girl
Dichotomous was not used out of context!
Labda nikusaidia "double standards"Does the word bring sense? I would advise you to go to the root of the word before translating it to your kiswahili!One word for you!
Dichotomous!
Oh! poor old man, kindly go back to where you used the word for the first time;
Does the word bring sense? I would advise you to go to the root of the word before translating it to your kiswahili!
Naona hatuelewani. Bora nikuache tu kwa salama na amani, au unaonaje?
Kama anawajua hao viongozi wa TAA si awataje yeye? Ritz mara nyingine huwa ana maswali ambayo huwa hayaeleweki yanalenga nini, ndio maana mara nyingine huwa nayapuuza. Vinginevyo nilishajadili kuhusu uhusiano wa TAA na Nyerere, hasa jinsi gani Mwalimu hakuwa na uzito wowote ndani ya TAA mpaka alipoanza kunga'ara na kuonekana ni potential in the eyes of TAA leaders and founders. In this light, niikamuliza Zomba na Ritz, JE - iwapo Nyereer alikuwa na mahusiano marefu na TAA, kwanini basi asingepewa Urais humo humo ndani ya TAA na badala yake makubaliano ya uongozi wa TAA taifa na Mwalimu ikawa TAA ife kwanza ili TANU izaliwe na hapo ndio Nyerere apewe nafasi ya territorial president? Kwanini TAA ilikufa na TANU ikazaliwa? Kama kawaida, majibu kutoka kwa hawa jamaa zetu hakuna;
Zomba: Hoja yako kuhusu Mohamed Said na Pratt (Critical Phase), nilipitiwa, nikipata muda nitaijibu ndani ya masaa 24;
Nakushukuru kwa busara yako! kwani kauri zako za awali zilikuwa na ukakasi kwa jambo dogo tu! lugha ya kiingereza ni utamaduni wa waingereza, wanapoongea au kuandika maneno yao huleta maana yatumikapo mahali muafaka!Naona hatuelewani. Bora nikuache tu kwa salama na amani, au unaonaje?