Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

jamani mimi nilikuwa msomaji toka mwanzo na nimefuatilia kwa makini sana yote yaliyojadiliwa, na mwanzoni ilinibidi nifanye dodoso kwa wafanyakazi wenzangu ambao ni wadini ya kislamu ili kujua kama waliwai kuhisi ama kugundua au kudhani kwa sababu moja ama nyengine waliwai kunywimwa fulsa yoyote hapa kazini kwetu ama ktk shule walizosoma ama mahala popote ambapo ni pakitaifa zaidi.ktk waislamu 43 wa idara yangu kakika narudia tena hakika hakuna hata mmoja ambaye amesema kuwa alinyimwa fulsa ambazo ni haki yake kimsingi labda kkt mazingira ya rushwa,pili ktk mjadala huu cjafurahiswa na mtindo wa mzee said kujibu hoja kwa kubase kwenye mandiko ya kitabu chake mwenyewe hiyo inaashiria kuna udhahifui flani ama hana vyanzo vingine isipokuwa kitabu chake mwenyewe.
 
Ndugu yangu Bukyanagandi, ni pigo kubwa sana kwa wanaotafuta "muujiza" ili kumpandisha Nyerere kutoka alipo "mwenyeheri" kumpeleka kwenye "mtakatifu". Muujiza walioutegemea ni kumfanya kuwa yeye ni "super hero" wa Tanganyika aliyeweza kuwakabili wakoloni peke yake na kuipatia Tanganyika Uhuru alioudai yeye pekee. Lingethibitishwa hiilo ni moja kwa moja linampa status Nyerere ya kuwa ni mfanya "miujiza" (miracles) ambao ni kigezo cha u "sainthood".

Ukweli anaouweka wazi Mohamed Said, unaharibu hicho kigezo na ni lazima wagalatia wampinge Mohamed Said kwa nguvu zote. Lakini ukweli ni ukweli haufutiki na muujiza uwe wa kweli basi, si wa kubuni.

Bukyanagandi nafahamu kuwa wewe si Muislaam kama ulivyojieleza katika moja ya post zako, lakini u katika wale waupendao ukweli na inashangaza kuona watu humu wanapinga lakini wanachokipinga hawakioneshi, iliyobaki wanarusha kila istihizai, kejeli, vijembe kwa kuwa tu wanadhani ndio wanafanya "character assassination", laiti angelikuja mmoja wao akasema, Mshume ni wa kabuni hakuwepo, Abdulwahid Sykes hajawahi kumweka Nyerere, Dossa Aziz hajatowa mchango wake katika harakati za kudai Uhuru na wengine wote aliowataja Mohamed Said, japo mmoja wao au habari yao moja wakaipinga, hapo ningewaelewa, lakini tazama na soma kwa makini hilo hukuti.

Ni maradhi tu yaliyomo mioyoni mwao, na kwa uhakika hayapunguwi yanazidi. Unajuwa adui yako kila unapofanikiwa yeye ndiyo huzidi kuumia? ndio hawa wanaopinga, mradi wapinge tu.


Mtakatifu huyo huyo ambaye "kasamehe wahaini walotaka kumpindua na kuwapa nyadhifa mbalimbali kede wa kede nchi za nje"

Mtakatifu huyo huyo ambaye kaona amtese Bibi Titi Mohamed na awaaachia wengine mpaka awape ubalozi nje

Mtakatifu gani anaupendeleo namna hii?
 
nini maana ya wagalatia?
Ndugu yangu Bukyanagandi, ni pigo kubwa sana kwa wanaotafuta "muujiza" ili kumpandisha Nyerere kutoka alipo "mwenyeheri" kumpeleka kwenye "mtakatifu". Muujiza walioutegemea ni kumfanya kuwa yeye ni "super hero" wa Tanganyika aliyeweza kuwakabili wakoloni peke yake na kuipatia Tanganyika Uhuru alioudai yeye pekee. Lingethibitishwa hiilo ni moja kwa moja linampa status Nyerere ya kuwa ni mfanya "miujiza" (miracles) ambao ni kigezo cha u "sainthood".

Ukweli anaouweka wazi Mohamed Said, unaharibu hicho kigezo na ni lazima wagalatia wampinge Mohamed Said kwa nguvu zote. Lakini ukweli ni ukweli haufutiki na muujiza uwe wa kweli basi, si wa kubuni.

Bukyanagandi nafahamu kuwa wewe si Muislaam kama ulivyojieleza katika moja ya post zako, lakini u katika wale waupendao ukweli na inashangaza kuona watu humu wanapinga lakini wanachokipinga hawakioneshi, iliyobaki wanarusha kila istihizai, kejeli, vijembe kwa kuwa tu wanadhani ndio wanafanya "character assassination", laiti angelikuja mmoja wao akasema, Mshume ni wa kabuni hakuwepo, Abdulwahid Sykes hajawahi kumweka Nyerere, Dossa Aziz hajatowa mchango wake katika harakati za kudai Uhuru na wengine wote aliowataja Mohamed Said, japo mmoja wao au habari yao moja wakaipinga, hapo ningewaelewa, lakini tazama na soma kwa makini hilo hukuti.

Ni maradhi tu yaliyomo mioyoni mwao, na kwa uhakika hayapunguwi yanazidi. Unajuwa adui yako kila unapofanikiwa yeye ndiyo huzidi kuumia? ndio hawa wanaopinga, mradi wapinge tu.
 
jamani mimi nilikuwa msomaji toka mwanzo na nimefuatilia kwa makini sana yote yaliyojadiliwa, na mwanzoni ilinibidi nifanye dodoso kwa wafanyakazi wenzangu ambao ni wadini ya kislamu ili kujua kama waliwai kuhisi ama kugundua au kudhani kwa sababu moja ama nyengine waliwai kunywimwa fulsa yoyote hapa kazini kwetu ama ktk shule walizosoma ama mahala popote ambapo ni pakitaifa zaidi.ktk waislamu 43 wa idara yangu kakika narudia tena hakika hakuna hata mmoja ambaye amesema kuwa alinyimwa fulsa ambazo ni haki yake kimsingi labda kkt mazingira ya rushwa,pili ktk mjadala huu cjafurahiswa na mtindo wa mzee said kujibu hoja kwa kubase kwenye mandiko ya kitabu chake mwenyewe hiyo inaashiria kuna udhahifui flani ama hana vyanzo vingine isipokuwa kitabu chake mwenyewe.


Kwaio unachotaka kusema ni kuwa angekuja mtu mwengine na ku-base majibu yake kutoka kwa kitabu cha Mzee Mohamed Said, ungeyakubali majibu hayo au la?

Naomba jibu tafadhwal
 
Last edited by a moderator:
jamani mimi nilikuwa msomaji toka mwanzo na nimefuatilia kwa makini sana yote yaliyojadiliwa, na mwanzoni ilinibidi nifanye dodoso kwa wafanyakazi wenzangu ambao ni wadini ya kislamu ili kujua kama waliwai kuhisi ama kugundua au kudhani kwa sababu moja ama nyengine waliwai kunywimwa fulsa yoyote hapa kazini kwetu ama ktk shule walizosoma ama mahala popote ambapo ni pakitaifa zaidi.ktk waislamu 43 wa idara yangu kakika narudia tena hakika hakuna hata mmoja ambaye amesema kuwa alinyimwa fulsa ambazo ni haki yake kimsingi labda kkt mazingira ya rushwa,pili ktk mjadala huu cjafurahiswa na mtindo wa mzee said kujibu hoja kwa kubase kwenye mandiko ya kitabu chake mwenyewe hiyo inaashiria kuna udhahifui flani ama hana vyanzo vingine isipokuwa kitabu chake mwenyewe.

Wafanyakazi wa idara gani ya serikali?
 
Hebu Spike Lee, naomba kama hajakuacha mkiwa, mkumbushe ajibu maswali yangu haya. Maanake naona anaanza kujikaanga mwenyewe kwa mafuta yake na hata internet etiquette inaanza kumpa taabu kuifuata...font hizo!... ni zaidi ya zile za THE BIG SHOW! Hiyo si dalili nzuri. Maswali yenyewe haya;

Asante, naendelea kusubiri (remember the vulture is a patient bird)...hii ni safari ya tatu namkumbushia.

Mag3,

Mie sina uwezo huo.
 
Last edited by a moderator:
kaka big,

ndiyo tunasubiri majibu.
sawa sawa mkuu,,
nayakumbuka maneno yako,pale nilipoyasoma nikaanza kulengwa lengwa na machozi ya simanzi kubwa,kwani nilishazoea kuziona busara za ndugu yetu moh said zikimwagika pasi na tozo ya aina yoyote,,
"mohammed said,unaondoka unatuachia ukiwa"
kwa hakika niliposoma hayo maneno niliingiwa na simanz sana.
Mungu ambariki sana ndugu moh said.
 
Jana Ritz, alikuuliza maswali mawili ulijibu la wanachama wa TANU, bado orodha ya viongozi wa TAA.

Kama anawajua hao viongozi wa TAA si awataje yeye? Ritz mara nyingine huwa ana maswali ambayo huwa hayaeleweki yanalenga nini, ndio maana mara nyingine huwa nayapuuza. Vinginevyo nilishajadili kuhusu uhusiano wa TAA na Nyerere, hasa jinsi gani Mwalimu hakuwa na uzito wowote ndani ya TAA mpaka alipoanza kunga'ara na kuonekana ni potential in the eyes of TAA leaders and founders. In this light, niikamuliza Zomba na Ritz, JE - iwapo Nyereer alikuwa na mahusiano marefu na TAA, kwanini basi asingepewa Urais humo humo ndani ya TAA na badala yake makubaliano ya uongozi wa TAA taifa na Mwalimu ikawa TAA ife kwanza ili TANU izaliwe na hapo ndio Nyerere apewe nafasi ya territorial president? Kwanini TAA ilikufa na TANU ikazaliwa? Kama kawaida, majibu kutoka kwa hawa jamaa zetu hakuna;

Zomba: Hoja yako kuhusu Mohamed Said na Pratt (Critical Phase), nilipitiwa, nikipata muda nitaijibu ndani ya masaa 24;
 
Unajua huu Munaaqasha ungekua wa faida nyingi kama ungeendelea kwenye radio au tv

Upande Yericko Nyerere upande Mzee Mohamed Said. Manake hapa, kama tulivoona, Munaaqasha ulikua interrupted mara kwa mara

Ni wazo tu
 
Last edited by a moderator:
Zomba,

This is per post number 3139; naomba unijengee hoja kwa mujibu wa maelezo hayo ya Mohamed Said ili nijue najibu hoja gani hasa, kwani as it stands, sana sana kwangu ni taarifa tu ambayo haitingishi historia iliyopo tofauti na mnavyopenda iwe. Ingekuwa vizuri zaidi iwapo wewe binafsi ungejengea hoja badala ya kudandia hoja. As it stands, sioni ni jinis gani inabadilisha role of Nyerere in the post TAA era, na pia haibadilishi ukweli kwamba kama kulikuwa na madudu ndani ya uongozi wa TAA na waasisi wake, kama nilivyokwisha jadili, Nyerere had less to do with that. Ningependa hapa pia katika maelezo yako, unganisha na majibu yako kwa maswali yangu kwenye bandiko namba 3259;

cc: Mohamed Said.
 
sawa sawa mkuu,,
nayakumbuka maneno yako,pale nilipoyasoma nikaanza kulengwa lengwa na machozi ya simanzi kubwa,kwani nilishazoea kuziona busara za ndugu yetu moh said zikimwagika pasi na tozo ya aina yoyote,,
"mohammed said,unaondoka unatuachia ukiwa"
kwa hakika niliposoma hayo maneno niliingiwa na simanz sana.
Mungu ambariki sana ndugu moh said.
i think u r hvg a bad day at the office-u nd tampax 2 cool up
 
Wild Card,

Wapi nimekiri makosa na upungufu wa kitabu changu?
Huu ndiyo ujanja wenu wa kumaliza mnakasha?

Haifai kabisa kutiliana maneno kinywani.
Ikiwa mnataka tumalize mnakasha na tumalize kiungwana.

Wala mimi sitakuulizeni kuhusu suala la ''uchochezi wangu.''
Nimekuwa hapa jamvini siku zote.

Wasikilizaji watatuhukumu.
Ah! Mzee Mohamed, mbona sio mara ya kwanza nimekupongeza kwa hilo? Sina utaalam wa kufukunyua kurasa hizi. Ningekuonyesha pale ulipokiri kuwa makosa yamo mle kwenye kitabu chako tunaoweza kuandika kitabu kingine tuandike ili kuyasahihisha. "Senility" inakunyemelea nini!
 
Ah! Mzee Mohamed, mbona sio mara ya kwanza nimekupongeza kwa hilo? Sina utaalam wa kufukunyua kurasa hizi. Ningekuonyesha pale ulipokiri kuwa makosa yamo mle kwenye kitabu chako tunaoweza kuandika kitabu kingine tuandike ili kuyasahihisha. "Senility" inakunyemelea nini!
Mchochezi Mkuu katimka kakimbia baada ya kugundua kuwa JF si kama uwanja wa mihadhara, watu wanahoji na wanadadisi...sasa wamebaki "cheerleaders" kumlilia kwa kuwaacha wakiwa! Jf kiboko, huko nyuma wako wengi waliokimbia kama yeye na hadi leo hata kuingia humu wanaogopa. Eti hadithi na simulizi za mtaa wa Gerezani zinaitwa historia!...hapana, hapa JF zinaitwa kwa jina lake halisi, ngano.

Nina hakika waliofuatilia mjadala huu kwa makini watakuwa wamejifunza mengi lakini tusije tukawashangaa wale ambao wameambulia sifuri...uelewa watu hutofautiana, wapo ambao wataendelea kulalamikia mtihani badala ya mapungufu yao, oh tunaonewa! Common sense is not that common otherwise id.io.ts would have no domicile! Wapo wanaoamini kwa akili finyu kwamba wanatoa darsa kumbe ni wao wanapewa darasa!

Baada ya maswali yangu kwa mchochezi kukosa majibu, na mimi naaga nikiwaachia uwanja the Barubaru's, the zomba's, the vichwangumu and company. You are free to go ahead and dance yourselves lame...unfortunately the music has long stopped playing!
 
Kama anawajua hao viongozi wa TAA si awataje yeye? Ritz mara nyingine huwa ana maswali ambayo huwa hayaeleweki yanalenga nini, ndio maana mara nyingine huwa nayapuuza. Vinginevyo nilishajadili kuhusu uhusiano wa TAA na Nyerere, hasa jinsi gani Mwalimu hakuwa na uzito wowote ndani ya TAA mpaka alipoanza kunga'ara na kuonekana ni potential in the eyes of TAA leaders and founders. In this light, niikamuliza Zomba na Ritz, JE - iwapo Nyereer alikuwa na mahusiano marefu na TAA, kwanini basi asingepewa Urais humo humo ndani ya TAA na badala yake makubaliano ya uongozi wa TAA taifa na Mwalimu ikawa TAA ife kwanza ili TANU izaliwe na hapo ndio Nyerere apewe nafasi ya territorial president? Kwanini TAA ilikufa na TANU ikazaliwa? Kama kawaida, majibu kutoka kwa hawa jamaa zetu hakuna;

Zomba: Hoja yako kuhusu Mohamed Said na Pratt (Critical Phase), nilipitiwa, nikipata muda nitaijibu ndani ya masaa 24;

Kwi kwi kwi teh teh teh! list ya kigamboni ni rahisi kuielewa listi ya gerezani ni taabu kuielewa.
 
Back
Top Bottom